maelezo niliyoyapata kutoka kwa dereva wangu ni kwamba alimpa kijana mmoja anayemfahamu funguo amuangalizie wakati yeye kaingia kambarage bar kujisaidia,
Sina tatizo na yeye kwenda kujisaidia, tatizo langu kwa nini ampe fungua mtu mwingine.....eti kwa kuwa ameingia kujisaidia....how long could kujisaidia would have taken him mpaka akabidhi funguo....huo ni uwongo.....aliingia Kambarage Bara kukata kilaji...akamwachia DEIWAKA....na huo ni mchezo wake wa siku nyingi!
baada ya hapo yule kijana aliyeachiwa akaondoka na watu wawili ambao kwa madai yake walikuwa washawahi kufanya nao biashara,
Rejea maelezo yangu hapo juu, kwa nini huyo kijana achukue jukumu la kuondoka na wateja...kwa kuachiwa tu ufunguo wa gari? mamlaka ya kuondoka na wateja aliyatoa wapi hapa? Na je dereva wako alijuaje ''hao jamaa wawili'' ndio wale waliowahi kufanya nao biashara wakati yeye hakuwahi kuwaona siku ile kudhibitisha kauli ya kijana? Na je angejuaje yule kijana alikuwa anamdanganya au la?
walimwambia awapeleke mambo club walipofika wakamwambia pale pamepooza watafute bar iliyochangamka, wakaelekea bar moja mitaa ya chamwino inaitwa mriti
Well, huyu kijana hii authority ya kuondoka na gari Kambarage aliipata wapi? nani alimwambia apakie abiria....wewe ndivyo mlivyo kubaliana na dereva wako kuwa anaweza na yeye kuajiri mtu mwingine? nani alithibitisha kuwa yule kijana alikuwa qualified driver na kuzunguka na hao wateja sehemu zote hizo hata bila kumsitua dereva wako kinachoendelea ila hata aweze kuwafuata huko waliko?
Deiwaka anakaa chini kunywa pombe na wateja....bila hata ya kumwambia dereva wake...then na dereva hata baada ya kumaliza kujisaidia alishindwa kumtrace huyo kijana mkuu?
na jamaa akaacha funguo juu ya meza kuelekea maliwatoni.
....Boya, kwa nini aache fungua za gari mezani hapo bar wakati watu aliokaa nao they just wateja?
alivyorudi akakuta meza tupu na jamaa washaondoka na gari
Everyone could expect that mkuu!.....hiyo gari aliwapa hao jamaa!
nitashukuru kwa ushauri wako mkuu napatikana 0715026030
NimekuPM zingatia ushauri huo kama unataka kweli kupata gari lako mkuu!