Wizi unaofanywa na Vodacom

Wizi unaofanywa na Vodacom

Habari wakuu! Nimelipia dstv tar 12/07/2016 hadi leo vodacom wananizungusha hakuna majibu ya kueleweka na huduma sijapata, nikipiga customer care naambiwa ipo hewani
waambie wakuonyeshe uishushe mwenyewe, hujui vili imekaribia? .Zitakuja kuloa. Au ni coins?.
 
Tokea JPM alivyoingia Ikulu makampuni ya simu yanafanya rioting.Mafisadi wanasakwa na nyavu ambayo ni kubwa kupita kiasi. There is too much crudity in the way criminals are pursued. And so the refined criminals are not caught.
 
Habari wakuu! Nimelipia dstv tar 12/07/2016 hadi leo vodacom wananizungusha hakuna majibu ya kueleweka na huduma sijapata, nikipiga customer care naambiwa ipo hewani
Ukitaka kujua UJAMBAZI wa bila siraha unaofanywa na VODA ingia kujibu SMS za shindano lao la kamata mkwanja.....utawajua
 
Back
Top Bottom