Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,871
mkuu yaani hawa watu walishaniumiza vibaya mno!! Machungu niliyo nayo siwezi simulia hapa!! Hata nikikuta wanauwa mwizi hapo siwezi kumwonea huruma hata kama ni ndugu yangu!!!
Mkuu vp hebu elezea walikuumizaje?
Au na wewe waliruka ukuta wakatua?
Fafanua bana.