Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,382
Sote tunadanganyana.....Ila uwongo wa hawa viumbe huwa hatuutegemei unakuja kama suprise!
Wizi mtupu!
Girl: Hellow
Boy: Sweety mambo vip?
Girl: poa
Boy: Utakua free weekend hii? Nilikua nataka uje home.
Girl: Ooh Sorry, sitoweza kuja coz kuna harusi ya Aunt yangu na kesho yake kutakua na wageni nyumbani.
Boy: kama ni hivo sawa just nilikua nataka nikufanyie surprise, nimekununulia Blackberry Torch
Girl: ooh!! Usijali mpenz wangu ntakuja, hata ukitaka nilale uko uko nitalala
Boy: vipi kuhusu harusi??
Girl: harusi ipi?? Nilikua nakutani honey.
Boy: ok, na mimi pia nilikua nakutania tu.....
hii post yenyewe imeibiwa toka kwa masanja mkandamizaji huko pande za fb
Taratibu Matola,kha, mbona lugha kali sana?Utakuja kuolewa au kukandamizwa na huyo Mkandamizaji, unajuwa Masanja ameicopy wapi hii wewe bwegge? hapa watu hawashindani nani wa kwanza wala hakuna malipo yeyote hapa kupost habari, kilichopo hapa tunashre kila mtu alichonacho anashare na wenzake, utakufa na wivu wa kijinga bwegge wewe.
Unaweza kutuonesha copyright ya huyo anayekukandamiza hapa?
kwi kwi kwi! umenichekesha sana! kha!Utakuja kuolewa au kukandamizwa na huyo Mkandamizaji, unajuwa Masanja ameicopy wapi hii wewe bwegge? hapa watu hawashindani nani wa kwanza wala hakuna malipo yeyote hapa kupost habari, kilichopo hapa tunashre kila mtu alichonacho anashare na wenzake, utakufa na wivu wa kijinga bwegge wewe.
Unaweza kutuonesha copyright ya huyo anayekukandamiza hapa?