Wizi mpya wa Vodacom: Waziri wa Mawasiliano ingilia kati

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,203
Unapata ujumbe huu kwamba tayari umeinganishwa na matandao wa Playinc., na unakatwa ths 200/= kwa siku.

Ujumbe uko hivi:

"VODACOMLIVE

Hongera! Umeunganishwa na Playinc, Tembelea playinc.com/tz bure siku 3 kisha utatozwa Tsh200/siku. Kujiondoa tuma neno ONDOA Playinc1 kwenda 15599"

Mtu huna interest na mziki, hujaomba kuunganishwa na tayari wamesha kutia shs 200 siku hiyo.

Vodacom ina wateja wengi, kwa hiyo kama wame target siku hiyo wateja wao milioni 5, basi aameshawaibia toka account zao wote BILIONI 1 KWA SIKU.

HUU NI WIZI WA MCHANA

TCRA na wizara ya mawasiliano naomba msilale.
 
Kwa vile haiwezekani kwa mtoa mada kubadili kichwa cha mada hata kama kuna makosa, jiongeze kwa kuhariri kichwa cha mada kabla ya kuposti. Uliandika VIDACOM. Thanks to moderators, wamerekebisha.
Unapata ujumbe huu kwamba tayari umeinganishwa na matandao wa Playinc., na unakatwa ths 200/= kwa siku.
Ujumbe uko hivi:

"VODACOMLIVE

Hongera! Umeunganishwa na Playinc, Tembelea playinc.com/tz bure siku 3 kisha utatozwa Tsh200/siku. Kujiondoa tuma neno ONDOA Playinc1 kwenda 15599"

Mtu huna interest na mziki, hujaomba kuunganishwa na tayari wamesha kutia shs 200 siku hiyo.

Vodacom ina wateja wengi, kwa hiyo kama wame target siku hiyo wateja wao milioni 5, basi aameshawaibia toka account zao wote BILIONI 1 KWA SIKU.

HUU NI WIZI WA MCHANA.
TCRA na wizara ya mawasiliano naomba msilale.
 
Yaweke wazi mkuu!
Nilipokea ujumbe husika. Nikawapigia simu, kwakuwa wamezoea kuniunganisha na upuuzi kisha wanasema nilijiunga mwenyewe nikaanza kwa kuwauliza wanielekeze jinsi ya kujiunga (bahati nzuri mimi sikuwa na salio kwahiyo ujumbe ulitangulia). Wakaropoka weee, kisha nikawauliza ni lini nilijiunga kwenye hizo huduma ikiwa hata menu yenyewe lazima upite sijui mpesa. Muhudumu akaanza kujikanyagakanyaga. Nilimgombeza sana kwasababu alishindwa kujibu maswali kwa ufasaha. Nilirekodi mazungumzo yote na namna alivyonijibu.
 
Unapata ujumbe huu kwamba tayari umeinganishwa na matandao wa Playinc., na unakatwa ths 200/= kwa siku.

Ujumbe uko hivi:

"VODACOMLIVE

Hongera! Umeunganishwa na Playinc, Tembelea playinc.com/tz bure siku 3 kisha utatozwa Tsh200/siku. Kujiondoa tuma neno ONDOA Playinc1 kwenda 15599"

Mtu huna interest na mziki, hujaomba kuunganishwa na tayari wamesha kutia shs 200 siku hiyo.

Vodacom ina wateja wengi, kwa hiyo kama wame target siku hiyo wateja wao milioni 5, basi aameshawaibia toka account zao wote BILIONI 1 KWA SIKU.

HUU NI WIZI WA MCHANA

TCRA na wizara ya mawasiliano naomba msilale.
Sasa hapo umendikiwa neno ondoa kwenda na namba umepewa sasa si ujiondoe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipokea ujumbe husika. Nikawapigia simu, kwakuwa wamezoea kuniunganisha na upuuzi kisha wanasema nilijiunga mwenyewe nikaanza kwa kuwauliza wanielekeze jinsi ya kujiunga (bahati nzuri mimi sikuwa na salio kwahiyo ujumbe ulitangulia). Wakaropoka weee, kisha nikawauliza ni lini nilijiunga kwenye hizo huduma ikiwa hata menu yenyewe lazima upite sijui mpesa. Muhudumu akaanza kujikanyagakanyaga. Nilimgombeza sana kwasababu alishindwa kujibu maswali kwa ufasaha. Nilirekodi mazungumzo yote na namna alivyonijibu.
Hao ni wezi, na kwa uzi huu serikali iichukulie kwa uzito unaostahili.
 
Sasa hapo umendikiwa neno ondoa kwenda na namba umepewa sasa si ujiondoe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona watu mnakuwa wagumu kuelewa?
Kama wewe mkuu una vihela mfukoni, basi naingiza mkono wangu mfukoni kwako bila wewe kujua , na nakupa tangazo ambalo linaweza kukupita kuwa nimechukua jero mfukoni kwako, ukitaka irudi niambie.
UNAEREEWA RAKINI?
 
Lakini si Mtu umepewa option ya kujitoa kama hauko interested.

Wewe unang'aa sharubu 72hrs baada ya kupokea ujumbe halafu wakikufyeka unaita watu wezi.

Huo ujumbe upo toka 2021 tena mwanzoni huko.

BTW:pesa si zimerejea mtaani kwa sasa mzunguko uko fresh, hiyo 6000/mwezi nayo ya kulialia.
 
Lakini si Mtu umepewa option ya kujitoa kama hauko interested.

Wewe unang'aa sharubu 72hrs baada ya kupokea ujumbe halafu wakikufyeka unaita watu wezi.
Lakini kujitoa si hoja. Hoja hapa ni kwamba tayari Voda wamekwishamkata sh 200 yake bila yeye kuridhia kujiunga. Huu ni wizi kwani wateja wake wanalazimishwa kutoa sh 200 kwa ujanja huo wa hao Vodacom.
 
Lakini kujitoa si hoja. Hoja hapa ni kwamba tayari Voda wamekwishamkata sh 200 yake bila yeye kuridhia kujiunga. Huu ni wizi kwani wateja wake wanalazimishwa kutoa sh 200 kwa ujanja huo wa hao Vodacom.
Kukatwa ni uzembe wako tu.

Siku zote tatu toka upokee ujumbe unakuwa hukatwi kitu na huduma unapata,unasubiri nini kujiondoa kama hauko interested?

Hiyo ni negligence yako.
 
Tushalalamika tukachoka saiv Waibe tu, lakini hazitawasaidia chochote
 
Kukatwa ni uzembe wako tu.

Siku zote tatu toka upokee ujumbe unakuwa hukatwi kitu,unasubiri nini kujiondoa.

Hiyo ni negligence yako.
Acha kutetea utapeli wa kijinga unaofanywa na mitandao ya simu.Kinachofanyika ni UTAPELI kama utapeli mwingine sasa usijione uko salama kwasababu halijakuathiri ukasahau kua kesho yaweza kua zamu yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kukatwa ni uzembe wako tu.

Siku zote tatu toka upokee ujumbe unakuwa hukatwi kitu,unasubiri nini kujiondoa.

Hiyo ni negligence yako.
It is unfair kwa a reputable business kuwa na msimamo officially wa kuwaibia wateja wake.
Kuna watu vijijini ambao hawaioni mantiki ya kujitoa kwa vile hawakujiunga voluntarily in the first place.
Kwa kifupi mtandao wa VODACOM inabidi uwe na logo inayosema ZUBAA TUKUIBIE!
 
Acha kutetea utapeli wa kijinga unaofanywa na mitandao ya simu.Kinachofanyika ni UTAPELI kama utapeli mwingine sasa usijione uko salama kwasababu halijakuathiri ukasahau kua kesho yaweza kua zamu yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kama hilo nalo ni utapeli then wewe utatapeliwa na kila mtu.

Utapeli upo ila hilo la mleta mada ni negligence.
 
Mitandao ya simu imekua ya hovyo sana.Tena hii tabia yakuonganisha watu nakukata pesa za watu kinyemela kwenye huduma zao zisizo na mbele wala nyuma limekisiri sana.Tusipopaza sauti nakukemea huu upuuzi hali itazidi kua mbaya zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom