Yan unakaa mjini unaibiwa kizembe ivyo
Hayo ndio madhara ya kutojua matumizi ya side mirror
Duh, aiseeMhhh angalia vizuri lakini aliyeshika pampu anakuwa amekuziba/amekupa mgongo sasa side mirror haina kazi labda ushuke tu ndio dawa
Mkuu una miliki Gari tuanzie hapo, na ulishaenda kuweka mafuta mara ngapi, na sight mirror kazi gani, au hilo Gari umenunuliwa na Shemeji au mumeo kwa hiyo huna haja ya kufuata matumizi sahihi yaliyopo kwenye vifaa vya gari. Kama umemiliki gari au ni Dereva WA muda huwezi kuibiwa kishamba namna hii. Cha kwanza utaangalia kwenye mashine kama kaandika kiasi sahihi ulichosema then utaangalia kupitia sight mirror kinachoendelea. Hakuna mtu mjinga WA kuibiwa namna hii.Yan unakaa mjini unaibiwa kizembe ivyo
Hayo ndio madhara ya kutojua matumizi ya side mirror
Ina mana dashboard ya gari haina mshale Wa kuonyesha kiasi cha mafuta kilichoingia na wewe ukalinganisha na ela iliotoa kulingana na bei ya mafuta kwa lita?Mhhh angalia vizuri lakini aliyeshika pampu anakuwa amekuziba/amekupa mgongo sasa side mirror haina kazi labda ushuke tu ndio dawa
Sorry mkuu nilikuwa namjibu huyo WA juuYan unakaa mjini unaibiwa kizembe ivyo
Hayo ndio madhara ya kutojua matumizi ya side mirror
Angalia picha kwanza utaelewa!!mwenye gari ameaminishwa kuwa mafuta yanawekwa kwa gari lakini ukweli ni kuwa aliyeshika pampu anaweza kwenye dumu ndio kumeibia kunapokuja
Mkuu mimi namiliki gari ndio tena gar langu la kwanza nilimiliki nikiwa na miaka25 tena kwa ela yangu hua nikienda sheli hua nafungua mfuniko wa tank na siangaiki na mhudu mimi nacheza na dashboard tu maana najua kama mafuta lita 1 ni bei hii mshale utafika hapaMkuu una miliki Gari tuanzie hapo, na ulishaenda kuweka mafuta mara ngapi, na sight mirror kazi gani, au hilo Gari umenunuliwa na Shemeji au mumeo kwa hiyo huna haja ya kufuata matumizi sahihi yaliyopo kwenye vifaa vya gari. Kama umemiliki gari au ni Dereva WA muda huwezi kuibiwa kishamba namna hii. Cha kwanza utaangalia kwenye mashine kama kaandika kiasi sahihi ulichosema then utaangalia kupitia sight mirror kinachoendelea. Hakuna mtu mjinga WA kuibiwa namna hii.