king majuto
Member
- Dec 20, 2020
- 39
- 51
Watu wa PHAMACY ni wezi wa kutupwa, nawaomba hasa wanaotumia Bima ya Afya mjihadhali wagonjwa kupunjwa dawa ukiandikiwa dozi ya dawa na doctor jitahidi I kujua kiasi cha dawa utakazoandikiwa na hiyo dawa ni dozi ya siku ngapi, ukikurupuka ukitoka pale PHAMACY kama umeandikiwa doziya siku nne na Daktari ukifika PHAMACY unapewa dozi ya siku mbili tu na kama mgonjwa wako kalazwa nesi atakuhudumia mara ya kwanza na ya pili dozi imeisha. Utatakiwa ujaze tena fomu ukapewe tena wakati huo nesi yeye hajui kitu atakuambia kalete dawa zingine kumbe dawa umepigwa PHAMACY watu wa PHAMACY mkuwenao makini sana.