MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,474
- 8,692
Yaani sijajua how come Serikali inaanza kuuza dawa yaani inafungua maduka ya kuuza dawa.
Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa.
Dawa zinanunuliwa kwa kodi then zinarudi kuuzwa tena, cha kushangaza hospitali na vituo vya afya unakuta kuna panadol pekee.
Aliyetoa wazo la Serikali kuwa na maduka ya madawa ni nani?
Hawa ni wa kupiga Chini tarehe 28 mwezi huu.
Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa.
Dawa zinanunuliwa kwa kodi then zinarudi kuuzwa tena, cha kushangaza hospitali na vituo vya afya unakuta kuna panadol pekee.
Aliyetoa wazo la Serikali kuwa na maduka ya madawa ni nani?
Hawa ni wa kupiga Chini tarehe 28 mwezi huu.