Wizi Mabibo Hostel

Wizi Mabibo Hostel

Jaby'z

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
4,319
Reaction score
7,655
Habari wana JF...currently kuna wizi mkubwa sana huku mabibo, weekendi hii nilianika nguo zangu na viatu ile inapita nusu saa tu wadau washapita nazo, na leo best yangu kaibiwa begi lilikua na pc, atm card na 30,000.

Nilikua najiuliza kuhusu hao wanaofanya huu wizi ni wanachuo au ni kikundi fulani cha raia ambao sio wanachuo? kiukweli inaboa yan wazazi wangu wameuza mashamba waninunulie pc inisaidie kupga msuli leo hii mtu anakuja kuibeba?

asee nina hasira !
 
poleni asee.. hao ni miksa yaan kuna wanachuo wanashirikiana na vijana wa mtaani kufanya hayo mambo
 
Hao ni raia kwa msaada wa wanachuo wa mjini
 
Hapo mlimani kulikwepo wanachuo wawili me na ke hao walikuwa maprofesiono.Wanazunguka vyuo vyote Vya Dar.
Muwe makini sana kipindi hiki.Wanachuo ndo wanachonga dili ili kufanikisha wizi.Ni kama wizi wa Benki ulivyo.
 
Hapo mlimani kulikwepo wanachuo wawili me na ke hao walikuwa maprofesiono.Wanazunguka vyuo vyote Vya Dar.
Muwe makini sana kipindi hiki.Wanachuo ndo wanachonga dili ili kufanikisha wizi.Ni kama wizi wa Benki ulivyo.

walikua wanajulikana
 
Wekeni ulinzi mkamate mwizi.
Nilitaka kusema kamateni mwizi mchome lakini roho wa Bwana akanikumbusha kwamba tusihukumu
 
Wekeni ulinzi mkamate mwizi.
Nilitaka kusema kamateni mwizi mchome lakini roho wa Bwana akanikumbusha kwamba tusihukumu

uko sahihi mkuu m ntanunua petroli wanaudhi
 
karibu mabibo, karibu shato pori... hapo bado, subiri kaboom kakate ndo utajua wizi ni nini
 
karibu mabibo, karibu shato pori... hapo bado, subiri kaboom kakate ndo utajua wizi ni nini

nasubiri mkuu ila nami natunza bumu la kununua petroli wakikamatika apo no mercy
 
Hapo mabibo miaka ya mwanzoni paliwah kuwa na jamaa fulani hivi ana kigugumizi (Oswald) akijitambulisha anasomea uhandisi.

Siku ya siku alikutwa na furushi la nguo za ukwe e na baada ya 'kuhojiwa' ikabainika wala si mwanafunzi na kibaka aliekubuhu. Ajabu alikua amebebwa na mtu 'unknowingly'.

Btw.... mabibo hostel imechakaa sana. Well zaidi ya sana. Hivi, wamepiga hata rangi karibuni?
 
wizi upo kila siku,yaani ukitoka hata kwenda chooni hakikisha unafunga chumba,la kuiba nguo halikuwepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom