Wizi m2pu vyuo vikuu nchini

Jun 30, 2009
22
0
Hello jamiiforum!

Sijui ni uwelewa wangu mdogo au kuna wizi unaoendelea katika Vyuo vikuu nchini, yaani hii ni too much primitive accumulation,"WIZI MTUPU". Ni jambo la kushangaa ambalo alingii akilini, Mtanisamehe kama nimepotoka,Wanafunzi walio hitimu masomo mwaka huu(kidato cha sita) na wengine waliohitimu miaka ya nyuma, walio omba kujiunga na Vyuo Vikuu kwa mwaka wa Masomo 2009/2010,Wengi wao wamekosa nafasi,cha kushangaza ni kwamba vyuo vyenu wametanga tena Wanafunzi kuomba kujiunga na Vyuo kwa Second admission,kwa wanafunzi waliomba awamu ya kwanza na kukosa kuandika barua kuomba tena na wambao hawakuomba kuomba kujiunga na Vyuo kwa kujaza fomu ya maombi, take note kwamba fomu ya maombi ni Tsh kuanzia 15,000,20,000,25,000 kulingana na chuo husika.SWALI la kujiuliza iweje walio omba awamu ya kwanza wamekosa,huku wakiwa na daraja la kwanza ,pili hadi tatu hawakujaguliwa,Je watakao omba awamu ya pili mtindo si sawa na wale wa kwanza kukosa?Na kwanini uombe kwa kuandika barua wakati ulishaomba, fomu yako pending kwao?Kwanini Vyuo wasiwachague kwanza wale wote waliokosa awamu ya kwanza ndipo watangaze nafasi ya kujiunga kwa awamu ya pili kama nafasi zipo?Nahizi Vyuo Vikuu wanafanya WIZI MTUPU wa Tsh 15,000,25.000,20,000.Je mtindo huu tutafika?
NAWASILISHA KWANU JAMIIFORUM TUJADILI.
 
Mkuu kinachotangazwa sasa ni kwa ajili ya private sponsorship na ile ya kwanza watu waliomba ili wapate ufadhili toka bodi ya mikopo...sasa hawawezi kuanza kuchagua kutokana na maombi yale yaliyopita kwa kuwa unaweza kuwa huna uwezo wa kujilipia as private student ndo mana wanasema..kwa ambaye tayari aliomba na kulipia form kabla basi aandike tu barua kuomba apatiwe nafasi as private candidate..ila ambaye hakuomba kabisa ndo anatakiwa aanze mchakato upya wa form, malipo na vitu vingine.
 
Mkuu kinachotangazwa sasa ni kwa ajili ya private sponsorship na ile ya kwanza watu waliomba ili wapate ufadhili toka bodi ya mikopo...sasa hawawezi kuanza kuchagua kutokana na maombi yale yaliyopita kwa kuwa unaweza kuwa huna uwezo wa kujilipia as private student ndo mana wanasema..kwa ambaye tayari aliomba na kulipia form kabla basi aandike tu barua kuomba apatiwe nafasi as private candidate..ila ambaye hakuomba kabisa ndo anatakiwa aanze mchakato upya wa form, malipo na vitu vingine.

Jibu zuri na linajitosheleza, asante
 
umesomeka vilivyo ....huo ndio ukweli wa mambo.Mwandishi acha jazba.
ila kuna hili la reserve list mi linanipa tabu sana,nasikia hiyo list inawekwa makusudi kwa ajili ya kujipatia ulaji wao.Ni mtego tu ili mzazi au mlezi aanze kuhangaika kufuatilia ambapo mwisho wa siku atajikuta anajiingiza kwenye utoaji rushwa ili mwanae asome.Hili linanikera kwelikweli....
Mkuu kinachotangazwa sasa ni kwa ajili ya private sponsorship na ile ya kwanza watu waliomba ili wapate ufadhili toka bodi ya mikopo...sasa hawawezi kuanza kuchagua kutokana na maombi yale yaliyopita kwa kuwa unaweza kuwa huna uwezo wa kujilipia as private student ndo mana wanasema..kwa ambaye tayari aliomba na kulipia form kabla basi aandike tu barua kuomba apatiwe nafasi as private candidate..ila ambaye hakuomba kabisa ndo anatakiwa aanze mchakato upya wa form, malipo na vitu vingine.
 
Back
Top Bottom