Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,859
- 50,618
Maana kama wizara si ya kimuungano basi wasiohusika wasiajiriwe kwenye hiyo wizara na taasisi zake.Zipo kibao ila wazenji hawatajibu humu! wataipita hii thread kama ukoma
Inashangaza... Na haijulikani wizara ipi ni ya kimuungano na ipi si ya muungano.Ila huu Muungano! 'sio wa nchi hii'... Yaani mme na mke wanaoa halafu kila mtu akachepuke kivyake
Sasa hazina wazanzibari walioajiriwa humo?Wizara ya utalii na wizara ya ujenz na uchukuz
Zanzibar haajiriw mbongo sekta yoyotr ile labda awe na mkono mref sana, wewe unavzungumzia muktadha gan?Sasa hazina wazanzibari walioajiriwa humo?
Wizara zisizo za kimuungano zinazohusu mambo ya Tanganyika, jee wazanzibari hawaajiriwi?Zanzibar haajiriw mbongo sekta yoyotr ile labda awe na mkono mref sana, wewe unavzungumzia muktadha gan?
Sawa!Waziri wa Samaki
Wizara gan ya tanzania ambqyo inawatoa wazanzibar?. Hiv unajua kama unazungumzia familia na mtoto wa kambo. Zanzibar ni kama mtoto wa kambo katika familia. Vya familia apate sabab ya mzazi wake lakin vya kwake ni vya kwake. Ndio mana zanzibar ina usalama wa zanzibar tu, ambao sio wq muungano wakat huohuo wa muungano zanzibar wapoWizara zisizo za kimuungano zinazohusu mambo ya Tanganyika, jee wazanzibari hawaajiriwi?
Umetoa mfano sahihi Sana!Wizara gan ya tanzania ambqyo inawatoa wazanzibar?. Hiv unajua kama unazungumzia familia na mtoto wa kambo. Zanzibar ni kama mtoto wa kambo katika familia. Vya familia apate sabab ya mzazi wake lakin vya kwake ni vya kwake. Ndio mana zanzibar ina usalama wa zanzibar tu, ambao sio wq muungano wakat huohuo wa muungano zanzibar wapo
Acha kutudanganya bwasheeWizara ya utalii na wizara ya ujenz na uchukuz
Hapo Sasa...Acha kutudanganya bwashee
Utasemaje wizara ya uchukuzi si ya Muungano arf waziri wake ni mzanzibar?
Niliuliza hapo juu ni muktadha gan tunaouonglea? Nitajie wizara moja tu ya kimuungano hapa zanzibar ina waziri mbongoAcha kutudanganya bwashee
Utasemaje wizara ya uchukuzi si ya Muungano arf waziri wake ni mzanzibar?
Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja wa Tanzania, raia wote wa Tanzania wakiwemo Wazanzibari, wana haki zote sawa kwa mambo yote ya JMT, hivyo wana haki kuajiriwa popote.Kwenye Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania zipo wizara za mambo ya muungano na zipo ambazo si za kimuungano.
Kwa mujibu wa makubaliano ya Tanganyika na Zanzibar ya mwaka 1964, kutakuwa na mambo ya muungano na yasiyo ya Muungano.
Jee kuna maelezo mahali ya kisheria kuonesha ni wizara zipi ni za kimuungano na zipi si za kimuungano?
Je, zile zisizo za kimuungano watu wa upande mwingine wa muungano wana haki ya kuajiriwa?