Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Kuna watu wafitini wanaozusha kuwa wizara kuhamia kwenye maeneo 'yanayozunguka' UDOM kutaleta madhara kwa chuo hicho.
Kabla ya hapo wizara hizi zilikuwa zinakizunguka chuo cha IFM mbona sikuona madhara?
Kabla ya hapo wizara hizi zilikuwa zinakizunguka chuo cha IFM mbona sikuona madhara?