Wizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania

Bookman Oldstyle

Senior Member
Nov 3, 2019
147
47
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo:

1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu uliopo kwa kila Wilaya.

2: Kuajiri watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia kwa mujibu wa utaratibu/kanuni zilizopo.

3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali kwa mujibu wa miongozo.

4: Kushauri Wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini.

5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa.

6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji kwa kutoa ushauri wapi zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji.

7: Kutoa ushauri kwa Wizara ya Viwanda na Biashara ya namna bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika.

Tag kuongeza watu wa kupanda ndege, reli na kupunguza utitiri wa majengo yasiyotumika.

 
Private sector ni maamuzi au HELA/Fedha

*Wizara ni private sector kwenye maamuzi
*CAG ni private sector kwenye maamuzi
 
Wanataka kufunga shopping malls za private wote tuende shopping malls moja. Kwa karne hii tutaweza?
Nikutumia model ya TANROAD, GPSA la sivyo kuna maisha ya Takwimu hazitakuwa na maana milele na kuondoa watu wa kila kitu chako aka tajiri wa stress Tanzania.. Itasaidia ni kuwapa fidia na fedha itaongia kwenye MZUNGUKO tu
 
Moja ya miradi mikubwa ambayo serikali ya awamu ya TANO unatakiwa kupongezwa ni connection ya mradi wa Reli ya mwendokasi na mradi wa kufua umeme wa Nyerere hakika ni perfect kwa sababu ya value for money ya miradi yote miwili!

1. Umeme itumike wapi!?
2. Kutumia nguzo gani ili kupunguza fidia!?

Lakini tulisahau kuingia kwenye dili la kuhakikisha nguvu za Marekani, Uturuki au China za kutengeneza mabehewa tunazitumia kwani kipaumbele kikubwa kilikuwa ni Steal na Job Creation. Tunashuhudia lifespan ya mabehewa ikiwa imekwisha kabisa, mengi ilibidi kuwa mgodi wa vyuma ili kutengeneza mabehewa mazuri ya reli ya kisasa kabisa.

#tag Important deal must be signed between less developed and developed. Ni utani tu, sifa zilimuuwa Sungura na Fisi. Tutengeneze story za kusimulia wajukuu, mradi wowote ni malighafi na benefits.

Cheers

Copy &pest
 
Hapo wanazidi kuongeza urasimu....Raisi anajitahidi kupunguza urasimu hao wanaongeza
 
Hapo wanazidi kuongeza urasimu....Raisi anajitahidi kupunguza urasimu hao wanaongeza
Urasimu unaondoka Kwa Principles labda KAZI kuwa na stress zaidi ya Kodi aka tax maana JAMII nuksi walitaka kupunguza urasimu Kwa kuongeza fursa lakini yawezekana tatizo la urasimu ni simu

 
Hahaaa Shoping Mulls kila wilaya? Aisee maewzo ya kijinga mno haya. Huko Mijini kwenyewe Shopinga Mulls zinapata wakati mgumu mbo sembuse wilayani?

Kuna Majiji hayana hata hizo shoping Mulls na si kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu za kiuchumi kwamba hazowezi lipa kabisa.

Sasa unaenda kuwawekea watu kule Bahi shoping Mulls.

Hahaaaa aisee sisi bado sana
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo:

1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu uliopo kwa kila Wilaya.

2: Kuajiri watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia kwa mujibu wa utaratibu/kanuni zilizopo.

3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali kwa mujibu wa miongozo.

4: Kushauri Wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini.

5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa.

6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji kwa kutoa ushauri wapi zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji.

7: Kutoa ushauri kwa Wizara ya Viwanda na Biashara ya namna bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika.

Tag kuongeza watu wa kupanda ndege, reli na kupunguza utitiri wa majengo yasiyotumika.

 
Hahaaa Shoping Mulls kila wilaya? Aisee maewzo ya kijinga mno haya. Huko Mijini kwenyewe Shopinga Mulls zinapata wakati mgumu mbo sembuse wilayani?

Kuna Majiji hayana hata hizo shoping Mulls na si kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu za kiuchumi kwamba hazowezi lipa kabisa.

Sasa unaenda kuwawekea watu kule Bahi shoping Mulls.

Hahaaaa aisee sisi bado sana
Ndiyo tatizo la kuwaza mambo makubwa badala ya Mazuri (UJInga ni fursa)

 
Back
Top Bottom