Wizara ya Viwanda na Biashara ipo kwenye mchakato wa kuanzisha Wakala wa Shopping Malls Tanzania

Back in time !!!! It's like RTC (Regional Trading Company); but in a different form.
 
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo:

1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu uliopo kwa kila Wilaya.

2: Kuajiri watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia kwa mujibu wa utaratibu/kanuni zilizopo.

3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali kwa mujibu wa miongozo.

4: Kushauri Wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini.

5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa.

6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji kwa kutoa ushauri wapi zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji.

7: Kutoa ushauri kwa Wizara ya Viwanda na Biashara ya namna bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika.

Tag kuongeza watu wa kupanda ndege, reli na kupunguza utitiri wa majengo yasiyotumika.



Nani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?

Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?

Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!

Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
 
Nani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?

Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?

Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!

Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
Ni Bora walifanikiwa wanashangaa kununua bidhaa Tu yawezekana elimu zenu zinawanufaisha IPO siku tutaenda Ujerumani
 
Mkuu

Barabara ni public utility infrastructure!

Infrastructure hujenga serikali!

Vitu ambavyo sio infrastructure/miundombinu wanajenga sekta binafsi na kuna reason for that!

Leo serikali inajenga maduka?

Man,they must be insane!

Wananchi wafanye nini sasa?
Labda hujui nini maana ya sekta binafsi kwako ni maamuzi au mtaji!? Ni bora tupo wengi kila MTU huendelea na maisha maana siyo KAZI shopping malls na soko nini tofauti!?
 
Nani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?

Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?

Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!

Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
Ni rahisi kupigaiza mzunguko Tu Unajenga flame IPO siku itakuwa shopping malls watu wake kununua vitu public utilities Tuendelee Kufanya maendeleo ambayo IPO siku tutayachukia
 
Labda hujui nini maana ya sekta binafsi kwako ni maamuzi au mtaji!? Ni bora tupo wengi kila MTU huendelea na maisha maana siyo KAZI shopping malls na soko nini tofauti!?

Shopping mall na soko ni vitu viwili tofauti acha upumbavu mzee!

Soko hadi watu wanakunya mchana peupe!

Mall is modern well organized facility with sophisticated running procedures only private ownership can assure,govt can not!

Najua maana ya sekta binafsi,dont test my skills!
 
Shopping mall na soko ni vitu viwili tofauti acha upumbavu mzee!

Soko hadi watu wanakunya mchana peupe!

Mall is modern well organized facility with sophisticated running procedures only private ownership can assure,govt can not!

Najua maana ya sekta binafsi,dont test my skills!
Utatafuta tofauti MILELE daima
 
KAZI Sana ni UTU wa MTU kutokuelewa nimekuwekea taasisi na vitu wanavyoshangaa wengine manunuzi/barabara kwisha

Umeniwekea ujenzi wa “infrastructures” ambazo ni kazi za serikali na ujenzi wa malls ambayo ni kazi ya private sekta mzee?

Kuna reason for that!

Kwamba muundo mbinu ni serikali na vitu vidogo vidogo ni private sekta!

Hueleweki mzee!
 
Back
Top Bottom