Something Inside
Senior Member
- Nov 15, 2019
- 165
- 30
Mifumo ya marehemu alikuwa anafanya KAZI Sana na pengo lake haliwezi kuzibika MILELE wataipigania tu
Thanks you recognise is back then projectsBack in time !!!! It's like RTC (Regional Trading Company); but in a different form.
Baada ya uteuzi wa Waziri mpya, Wizara ya Viwanda na Biashara imeanzisha utaratibu wa kuanzishwa kwa Wakala wa Shopping Malls Tanzania na kwa kuwa nchi iliyopata maendeleo fedha haina thamani haya ndiyo makujuku ya wakala huo:
1: Kujenga na kurasimisha shopping malls zilizopo kwa utaratibu uliopo kwa kila Wilaya.
2: Kuajiri watumishi wa kila Shopping Malls na kuwahudumia kwa mujibu wa utaratibu/kanuni zilizopo.
3: Kusimamia ununuzi wa bidhaa na kupata takwimu za manunuzi ya bidhaaa mbalimbali kwa mujibu wa miongozo.
4: Kushauri Wizara katika uratibu wa manunuzi na usimamizi wa mahitaji ya shopping malls nchini.
5: Kushauri mbinu mbalimbali za uongezaji dhamani wa bidhaa mbalimbali ikiwemo vifungashio vya bidhaa.
6: Kushiriki kikamilifu katika shughuli za mipango miji kwa kutoa ushauri wapi zijengwe ili kuongeza thamani ya miji na sekta ya usafirishaji.
7: Kutoa ushauri kwa Wizara ya Viwanda na Biashara ya namna bora ya kuondokana na bidhaa feki pamoja na kushauri taasisi nyingine za kuthibiti bidhaa ili kuharibu bidhaa husika.
Tag kuongeza watu wa kupanda ndege, reli na kupunguza utitiri wa majengo yasiyotumika.
Ni Bora walifanikiwa wanashangaa kununua bidhaa Tu yawezekana elimu zenu zinawanufaisha IPO siku tutaenda UjerumaniNani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?
Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?
Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!
Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
Hata hawa hapa Bora wamefanikiwa kushangaa barabara nzuri saiziNani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?
Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?
Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!
Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
Ni Bora walifanikiwa wanashangaa kununua bidhaa Tu yawezekana elimu zenu zinawanufaisha IPO siku tutaenda Ujerumani
Sisi ni Soka sio wajibu kukata maneno ili uelewe kuwa watu wanashanga mpira 1 watu 22 huelewi kipi!?Sijaelewa ulichoandika mkuu!
Ni wajibu wako kueleza kitu hadhira yako ielewe unachomaanisha!
Labda hujui nini maana ya sekta binafsi kwako ni maamuzi au mtaji!? Ni bora tupo wengi kila MTU huendelea na maisha maana siyo KAZI shopping malls na soko nini tofauti!?Mkuu
Barabara ni public utility infrastructure!
Infrastructure hujenga serikali!
Vitu ambavyo sio infrastructure/miundombinu wanajenga sekta binafsi na kuna reason for that!
Leo serikali inajenga maduka?
Man,they must be insane!
Wananchi wafanye nini sasa?
Ni rahisi kupigaiza mzunguko Tu Unajenga flame IPO siku itakuwa shopping malls watu wake kununua vitu public utilities Tuendelee Kufanya maendeleo ambayo IPO siku tutayachukiaNani anaanzisha na kujenga hizo shopping malls?
Yaani,nani wamiliki wa hizo shopping malls?
Kama ni wafanyabiashara binafsi basi huo wakala ni useless!
Kama mjenzi na mmiliki ni serikali basi naona serikali imekosa kazi za kufanya maana huu ni upumbavu jumlisha upumbavu!
Labda hujui nini maana ya sekta binafsi kwako ni maamuzi au mtaji!? Ni bora tupo wengi kila MTU huendelea na maisha maana siyo KAZI shopping malls na soko nini tofauti!?
Ni rahisi kupigaiza mzunguko Tu Unajenga flame IPO siku itakuwa shopping malls watu wake kununua vitu public utilities Tuendelee Kufanya maendeleo ambayo IPO siku tutayachukia
Sisi ni Soka sio wajibu kukata maneno ili uelewe kuwa watu wanashanga mpira 1 watu 22 huelewi kipi!?
KAZI Sana ni UTU wa MTU kutokuelewa nimekuwekea taasisi na vitu wanavyoshangaa wengine manunuzi/barabara kwishaDuh
Sijaelewa ukiongeacho!
Aliekuelewa anieleweshe!
Wewe itakuwa uingerezaFlame ni nini mzee?
Flame ndio frame?
I’m done with you!
Utatafuta tofauti MILELE daimaShopping mall na soko ni vitu viwili tofauti acha upumbavu mzee!
Soko hadi watu wanakunya mchana peupe!
Mall is modern well organized facility with sophisticated running procedures only private ownership can assure,govt can not!
Najua maana ya sekta binafsi,dont test my skills!
KAZI Sana ni UTU wa MTU kutokuelewa nimekuwekea taasisi na vitu wanavyoshangaa wengine manunuzi/barabara kwisha
Utatafuta tofauti MILELE daima
Nibora nitasikiliza mziki nielewe badala ya sexStill sijakuelewa