Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,893
Tafuta mnyonge wako mpe kesi alafu jipigieDunia imegeuka uwanja wa fujo
Tafuta mnyonge wako mpe kesi alafu jipigieDunia imegeuka uwanja wa fujo
Tunamsubir Bi Mkubwa amalize shughul yake na sis tuanze yetuHahahahah hizi special operation naona zimeshika hatamu sasa
Ana Hali ngumu sana mkuu,majeshi ya UKRAINE Sasa yanasema yanataka kuikamata Moscow.Putin Yuko anawabembeleza Sana wasifikie hatua hio mkuu.
Nasisi wanatuibiaje mkuuI was there
Nawajua
Nasisi wanatuibiaje mkuu
Eeh Mungu ameilaani Tanzania yetuMkuu Sisi hata Wachina tu wanatuibia kila kukicha baharini
Samaki wanabebwa ile mbaya
Nakumbuka wale Pirates wa Somalia kuna wakati waliishika meli ya Wachina ina wafanyakazi 500 wanavua na kuwaamdaa samaki na kuwaweka kwenye makopo tayari kuuza
Yaani kiwanda ndani ya meli
Walikomeshwa na pirates ransom ilikuwa $40 m
Walisota miezi ndio hela ikalipwa
Sisi wanatupiga kiulaini sana kila sekta
Eeh Mungu ameilaani Tanzania yetu
Ha ha ha...
Hao sio binadamu. Wao wanashughulika na binadamu kwanza huko UkraineSijajua umoja wa mataifa wanalizungumziaje suala la Uturuki kuivamia Iraq,
Naona vyombo vingi vya magharibi viko kimya kuhusu Hii habari, inafikirisha sana
Alikuwa hajazaliwaKama hujatembea sio wote humu
Wewe huwa unaamini mpaka uone ama
Mimi huwa sibishani bali naweka facts whether you believe it or not is up to you
Hakuna wa kukulazimisha ila kwa Mimi nimetembea sana na Middle East nimekaa sana tangu vita ya Iran na Iraq na uvamizi pia wa Saddam
Sasa wewe mwenzangu ulikuwa wapi wakati huo?
Kama Marekani alivyowafanyia wahindi wekunduUhuni TU,
Wanawafanyia fitna kuwaua kwa malengo Yao binafsi
Inasikitisha SanaHao sio binadamu. Wao wanashughulika na binadamu kwanza huko Ukraine
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app