Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,614
- 15,942
Hii ndio habari ya hivi punde kutoka makao makuu ya wizara ya Ulinzi ya marekani Pentagon. Marekani kwa muda wa zaidi ya miezi mitatu imekua ikishambuliwa katika kambi zake za kijeshi nchini Iraq na Syria kutoka kwa kundi la Islamic resistance wanaopatiwa msaada na Iran.
Waziri mkuu wa Iraq ameitaka marekani kufungasha virago na kuiacha nchi ya Iraq kwa sasa kwakua kuna usalama wa kutosha.
Binafsi naona kutokana na mashambulizi ya hawa Islamic resistance wa Iraq Marekani kwa sasa amekata tamaa maana akigeuka kulia Yemen wamemtangazia vita, Israel hakukaliki moto unawaka, Ukraine napo hali ni tete, China na Taiwan napo hapajatulia huku Kiduku nae akitest makombora yake kila uchao. Hii ndio tabu ya kujifanya kijogoo mambo yote yamekuja kwa mpigo sasa kazidiwa.
Waziri mkuu wa Iraq ameitaka marekani kufungasha virago na kuiacha nchi ya Iraq kwa sasa kwakua kuna usalama wa kutosha.
Binafsi naona kutokana na mashambulizi ya hawa Islamic resistance wa Iraq Marekani kwa sasa amekata tamaa maana akigeuka kulia Yemen wamemtangazia vita, Israel hakukaliki moto unawaka, Ukraine napo hali ni tete, China na Taiwan napo hapajatulia huku Kiduku nae akitest makombora yake kila uchao. Hii ndio tabu ya kujifanya kijogoo mambo yote yamekuja kwa mpigo sasa kazidiwa.