Iran kushambulia maeneo ya Pakistan na Iraq kutapunguza nguvu za kupambana na Israel

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
 
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
Serikali zote zilikuwa zinajua na washataarifiwa juu ya hayo mashambulizi
 
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
Pakistan imeshambuliwa halafu ajabu Pakistan hiyo hiyo jana pakistan navy zilikuwa kwenye mazoezi na iran navy mengi huwa yanaendelea behind the scene ya intelligence community wao moja hao huku nje wanadownplay for public comsumption pakistan walikuwa na uwezo wa kutungua missile ila airdefence hazikuwa scrambled it says alot.
 
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
PUMBA.
 
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
Kwanini mnapenda kuingiza uislamu kwenye vita vya wapalestina na Israel kwani mliambiwa vile ni vita vya kugombania udini au ardhi
 
Pakistan imeshambuliwa halafu ajabu Pakistan hiyo hiyo jana pakistan navy zilikuwa kwenye mazoezi na iran navy mengi huwa yanaendelea behind the scene ya intelligence community wao moja hao huku nje wanadownplay for public comsumption pakistan walikuwa na uwezo wa kutungua missile ila airdefence hazikuwa scrambled it says alot.
Makundi ya ugaidi ya Pakistan, yanafugwa na ISI, kuna wakati yanaachiwa yapige matukio kwa majirani kuwachachafya kidogo halafu kuna wakati Pakistan nayo inaachia yapewe kichapo kidogo kutoka kwa majirani zake kuyafanya yasiote mapembe, Idara ya ujasusi ya Pakistan ni puppet master wa hayo makundi, inajua jinsi ya kucheza nayo kufanikisha malengo ya muda mfupi na mrefu ya Pakistan.
 
Hujui chochote,
Makundi ya kigaidi ya Pakistan yameanzishwa na Taasisi za ujasusi za Pakistan(ISI) kama buffer zone dhidi ya India, Iran na Afghanistan pamoja na kufanikisha kupata mabilioni ya dola za msaada kutoka Marekani
Labda ungeongelea India lakini kwa Iran sina uhakika.
 
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
Pakistan walitaarifiwa mbona
 
Iran ni Taifa la watu wenye akili. Unadhani bila akili wangeweza kuinyima USA usingizi pamoja na satellite state zake za UK na Israel?
Maamuzi ya Iran kushambulia maeneo ndani ya Iraq na Pakistan bila ruhusa ya nchi hizo kwa kisingizio cha kuwafuata maadui zake yanaweza yakawa ni maamuzi ya kizembe katika kipindi hiki kigumu kupambana na Israel ili aiachie Palestina.
Iran isingepaswa kuchukua maamuzi ya kibabe kama yale yanayochukuliwa na Marekani na washirika wake na kwa kweli haijawa na nguvu za kufanya ubabe kama wa nchi hizo.
Pakistan ni moja ya mataifa muhimu kati ya nchi za kiislamu ambayo japo haijaamua kuingia vitani rasmi kutetea wapelestina lakini wananchi wake ni miongoni mwa makundi makubwa yenye hasira sana kutokana na maumivu wanayoyapata wapalestina chini ya mikono ya Israel
Ilichopaswa kufanya Iran hasa kwa Pakistan ilikuwa ni kuishawishi iungane naye kwa kutoa silaha zake ili kuwasaidia wale wote wanaopigania Palestina kama vile wanamgambo wa Houth.
Wanamgambo wa Houth wana nia thabiti na wameiweka wazi ya kutaka kuipiga Israel ili isiendelee kuwaua watu wa Palestina hasa kule Gaza.Pamoja na nia hiyo na majaribio yao kadhaa bado Houth hawajafanikiwa kuizamisha meli yoyote wala kuleta mripuko kwenye meli inazozipiga kiasi ya kusababisha hasara kubwa kwa Israel.
Miongoni mwa nchi ambazo zina silaha na teknolojia kubwa za kivita kati ya mataifa yanayopaswa kuwatetea watu wa Gaza ni Uturuki na hiyo Pakistani.Katika ukweli huo Iran ilipaswa kulielewa hilo na bila sha inalielewa na hivyo ilitakiwa wawafuate kidiplomasia kuwaomba watoe ushirikiano ili kuidhabu Israel badala ya wao kwenda kupiga maeneo ya nchi zao hata kama kuna wapinzani wao.
 
Makundi ya ugaidi ya Pakistan, yanafugwa na ISI, kuna wakati yanaachiwa yapige matukio kwa majirani kuwachachafya kidogo halafu kuna wakati Pakistan nayo inaachia yapewe kichapo kidogo kutoka kwa majirani zake kuyafanya yasiote mapembe, Idara ya ujasusi ya Pakistan ni puppet master wa hayo makundi, inajua jinsi ya kucheza nayo kufanikisha malengo ya muda mfupi na mrefu ya Pakistan.
Mpaka sasa ni faida gani Iran wamepata baada ya kupiga hayo makundi?
 
Back
Top Bottom