Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,952
- 46,703
MUONGO, kama ulivyokuwa unasambaza uongo Mbowe atafungwa kwa sababu ana laana ya kuchepuka.Ukraine wamekataa watu wasitoke Sumy kwenda Russia. Mayor wa Sumy kasema atakaetoka ni risasi tu.Poleni sana wanafunzi mlioko Sumy maana Ukraine inawatumia kama Shield.