figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,897
Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu tukio la kukamatwa kwa ROMA Mkatoliki na watu wasiojulikana.
Imesema imewasiliana na vyombo vya Usalama, na hakuna chombo Kikichomshikilia Msanii Roma.
Wizara ya Habari yawaomba wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa Roma Mkatoliki na wenzake.
Pia Soma: Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara
Imesema imewasiliana na vyombo vya Usalama, na hakuna chombo Kikichomshikilia Msanii Roma.
Wizara ya Habari yawaomba wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa Roma Mkatoliki na wenzake.
Pia Soma: Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara