Wizara ya fedha naomba ufafanuzi wa PAYE (kodi), mbona haijashuka mpaka leo?

Haliali

JF-Expert Member
Oct 1, 2012
574
263
Waziri wa fedha na mipango July 2016 alilitangazia bunge na wananchi kuwa PYE itapungua kutoka asilimia 11 hadi asilimia tisa.

Waajiriwa tulifurahia sana na bunge kwa kauli moja waliipitisha budget hiyo.
Leo ni mwisho wa mwezi wa januari 2017 yaani miezi sita imeshapita na hatujaona hayo madiliko.

Je kuna nini? Mbona kodi nyingine zilianza kazi rasmi 1 august 2016?
Je hii pesa mtakuja kutupa kama arrears?
Lini wafanyakazi tutambunguziwa huu mzigo wa kodi?
Kwa heshima na taadhi nawakilisha

asante.
 
Waziri wa fedha na mipango July 2016 alilitangazia bunge na wananchi kuwa PYE itapungua kutoka asilimia 11 hadi asilimia tisa.

Waajiriwa tulifurahia sana na bunge kwa kauli moja waliipitisha budget hiyo.
Leo ni mwisho wa mwezi wa januari 2017 yaani miezi sita imeshapita na hatujaona hayo madiliko.

Je kuna nini? Mbona kodi nyingine zilianza kazi rasmi 1 august 2016?
Je hii pesa mtakuja kutupa kama arrears?
Lini wafanyakazi tutambunguziwa huu mzigo wa kodi?
Kwa heshima na taadhi nawakilisha

asante.
Peleka haya Malalamiko pale Lumumba yatafanyiwa kazi
 
Waziri wa fedha na mipango July 2016 alilitangazia bunge na wananchi kuwa PYE itapungua kutoka asilimia 11 hadi asilimia tisa.

Waajiriwa tulifurahia sana na bunge kwa kauli moja waliipitisha budget hiyo.
Leo ni mwisho wa mwezi wa januari 2017 yaani miezi sita imeshapita na hatujaona hayo madiliko.

Je kuna nini? Mbona kodi nyingine zilianza kazi rasmi 1 august 2016?
Je hii pesa mtakuja kutupa kama arrears?
Lini wafanyakazi tutambunguziwa huu mzigo wa kodi?
Kwa heshima na taadhi nawakilisha

asante.
Kwa taarifa yako hii nyongeza iliyotokana na Kupunguzwa kwa PAYE kutoka 11% hadi 09% ni Tshs 2,800/= tu kama sikosei. So inawezekana walifanya hiyo adjustment sema kwa vile sio kubwa kivile ndio maana unaona kama hawajafanya
 
Whats the difference anyway? asilimia mbili ndio imepunguzwa na ukipiga hesabu kwa mshahara wa 300,000 unakuta umepunguziwa
(300,000-170,000)x2%=2,600 negligible!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom