Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Wizara ya Ardhi, ikiwa wizi na utapeli wa Viwanja na Nyumba kwa kutumia Hati halalali ya Wizara ya Ardhi Tanzania unafanikiwa, je ni Mwananchi yupi atakayewaamini?
Tafsiri yake ni kuwa Hati yenu imenyewa
Imekuwaje mkakubali kutoa Hati batili?
Je Wizara mnapotenda makosa haya mnatengeneza picha gani kwa nchi na dunia?
Mamlaka za Serikali ndizo zinatakiwa kuwa legit kama sivyo basi nchi ipo kwenye hatari kubwa sana
Je mtachukua hatua gani kujisafisha?
Je mtachukua hatua gani kulinda hati yenu?
Hati inapofanikiwa kuingiliwa na wahalifu ni sawa na kuundwa fedha bandia za Tanzania !
View: https://www.facebook.com/share/v/1MYGv7Avdm/
Tafsiri yake ni kuwa Hati yenu imenyewa
Imekuwaje mkakubali kutoa Hati batili?
Je Wizara mnapotenda makosa haya mnatengeneza picha gani kwa nchi na dunia?
Mamlaka za Serikali ndizo zinatakiwa kuwa legit kama sivyo basi nchi ipo kwenye hatari kubwa sana
Je mtachukua hatua gani kujisafisha?
Je mtachukua hatua gani kulinda hati yenu?
Hati inapofanikiwa kuingiliwa na wahalifu ni sawa na kuundwa fedha bandia za Tanzania !
View: https://www.facebook.com/share/v/1MYGv7Avdm/