esther mashiker
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 616
- 552
Kwa nini dar Na tanga tu
serikali ya magufuri inaangalia mapato juu ya mambo mengine yote. wanyonge endeleeni kuning'iniza vitambulisho vyenu vya umachinga ili tupate hela za kununulia midege ya kutubeba tunapokwenda koromije via chato international airport.Wizara ya Afya watuambie kwanini ugonjwa huu wameugeuza dili kiasi cha kipimo kugharimu kuanzia shs 30,000= mpaka 50,000= kwenye hospitali za serikali!