Wizara ya Afya...SHAME ON YOU!

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
6,829
1,296
Nitakwenda kinyume na wengi..............mtiriiriko wa yaliyojiri hivi karibuni katika Wizara hii pamoja na mgomo wa Madaktari...........ni matokeo ya uozo na mbinu chafu zilizokuwa zikiendelea wizarani hapo kwa muda mrefu.............!

Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu kubwa watumishi wa wizari hii hasa hapo makao makuu mnabeba nusu ya lawama za mabaya ambayo yamepelekea matatizo lukuki kwenye wizara hii nyeti.

Simtetei Mama Nyoni lakini niseme ukweli kuwa hapa ametumika (si kama kondoo wa kafar kwa sababu naye ana makosa yake kama pia kwenye hili) tofauti na Dr Mtasiwa ambaye mie namuona kama ni kondoo wa kafara kwenye hili..............watumishi wa makao makuu hasa wale kwenye maidara nani aisyejua mmekuwa mkiwanyanyasa madaktari wetu hasa wanapodai haki zao msingi kwa miongo mingi tu hata kabla ya mama Nyoni kuwepo hapo?

Nani asiyejua kuwa ninyi mmemkuwa kikwazo kwa kuwanyima na kuwaibia stahiki zao? Nani asiyejua kuwa mmesabisha hadi baadhi ya madaktari bingwa kuondoka serikalini na hata wengine kuikimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje kwa dhuluma zenu? Nani asiyejua mmekua mkitoa nafasi za masomo kwa upendeleo na hata wakati mwingine kwa rushwa ilhali ninyi hasa msiokuwa madaktari mmekuwa mkijipa nafasi na malipo mbalimbali bila hata ya aibu? Nani asiyejua kua ninyi ndio haswa chanzo cha madaktari wetu kuichukia wizara yao wenyewe, wizara iliyopaswa kuangalia mambo yao na hatimaye kugoma? kero nyingi za madaktari zilipaswa kutatuliwa na nyie.....hebu tuambieni mlichukua hatua gani zilizokuwa chini ya uwezo wenu?

Msibaki kumtupia kila lawama Blandina Nyoni................na hili nalisema alipokuja hapo alizima mbinu zenu chafu za kuiiibia serikali na umma semeni na hilo pia..........pamoja na mbaya yake lakini aliweza kuwadhibiti na hivyo niko sahihi nikisema mmelitumia hili tatizo kuhakikisha mnmaliza .......sawa nyie wenyewe wasafi...............

Blandina Nyoni hakuwa anawaslinaina na kila Daktari moja kwa moja ni nyie hapo makao makuu kupitia idara zenu...........kama ni kusimamishwa kazi.............wote mnastahili mpigwe chini kabisa................muondoke kwenye himaya mlizojijengea hapo wizarani.................

Wanafiki wakubwa..................kama ni kushangilia kuondolewa Blandina Nyoni washangilie madaktari lakini sio ninyi hapo wizarani.....
 
Eeh hayo nayo kumbe yapo nyuma ya pazia! Kwel hii wizara ni muhimu iangaliwe kwa jicho la pili tusiishie kwahayo tu aliyoapiza waziri mkuu
 
Utakua umetumwa wewe mbayuwayu!
Kwani ni nani alitaka huyo bi kidude nyoni atoke hapo wizarani? Madaktari au hao watumishi wa kwenye hizo idara?
Mwambie ajiandae kupanda karandinga yeye na mhehe mwenzake Dr Mtasiwa.
Si walikuwa wanamtegemea Godfather wao Luanjo, now inakula kwao sasa.
 
Duh! Tuhuma nzito hizo M_J. Ngoja nao waje wajitetee!

Na waje nitawapa na vielelezo!

Utakua umetumwa wewe mbayuwayu!
Kwani ni nani alitaka huyo bi kidude nyoni atoke hapo wizarani? Madaktari au hao watumishi wa kwenye hizo idara?
Mwambie ajiandae kupanda karandinga yeye na mhehe mwenzake Dr Mtasiwa.
Si walikuwa wanamtegemea Godfather wao Luanjo, now inakula kwao sasa.

MD25.......kwanza acha kukashifu kwa kuwaita watu majina..........huko ni kuishiwa sera; so watendaji wote waliopo serikalini wenye asili ya Iringa wamekuwa hapo kwa sababu ya Luhanjo?...........bahati nzuri umelitumia hili neno "Mbayuwayu"............linakufaa sana!
 
Utakua umetumwa wewe mbayuwayu!
Kwani ni nani alitaka huyo bi kidude nyoni atoke hapo wizarani? Madaktari au hao watumishi wa kwenye hizo idara?
Mwambie ajiandae kupanda karandinga yeye na mhehe mwenzake Dr Mtasiwa.
Si walikuwa wanamtegemea Godfather wao Luanjo, now inakula kwao sasa.

MD25 usiwe mzushi, Dr Mtasiwa hakuwa mtu wa kumtegemea Luhanjo kwa sababu ya kuwa kabila moja au kutoka mkoa mmoja.

Kama unaugomvi naye useme. Kama umekurupuka basi waulize waliosoma naye au kufanyakazi naye toka akiwa Jiji watakueleza.

MAT walitoa maelezo tosha ni kwanini walimsimamisha Dr Mtasiwa uanachama kwa mwaka 1.

FYI, Dr Mtasiwa ni mhehe wa Iringa vijijini na Luhanjo ni mbena wa Njombe-Lupembe.
 
Maskini Jeuri, wewe unaonyesha kuwa kibaraka wa Mama Nyoni. Huna ushahidi wa tuhuma zako. Ni kweli MoHSW kuna madudu ya miaka mingi lakini si kama unavyoeleza.

Wewe unaeleza kwasababu umenyang'anywa kitumbua ama unayempenda kanyang'anywa kitumbua. Acha hizo. Utaumbuka.
 
mNYAMAHODZO... LABDA TUWE MODERATE KIDOGO TU (INGAWA MIMI MWENYEWE NI EXTREMIST WHEN IT COMES TO HEALTH PROFESSIONALS RIGHTS)...
  1. Tuna matatizo pale wizarani kuanzia scholarships, kupotea kwa files, postings na abuse of power ya wakuu wa baadhi ya idara
  2. tuna shida kubwa sana finance na procurement
  3. Ila Mama Nyoni crossed all the borders beyond repair
  4. Hivi mnakumbuka murders zilizotembea pale? kashfa ya vitendanishi?, expiries?, songombingo za ARV regimes?, kasheshe za vocha za neti, ukosefu wa dawa za TB, hali ya diagnostics nk?

Lets use this opportunity kusafisha wizara na hata wale wanharibifu waliobaki basi wajirekebishe au nao waondoke
 
Hivi huwa mnakuwa wapi kuelezea tuhuma na utendaji mbovu wa wizara mpaka maji yanafika shingoni? Nauliza mko wapi, yaani mpaka nyoni na matasiwa wasimamishwe ndipo tuhuma wizarani zifumuliwe. Huu ni unafiki na kamwe unafiki huwa haujengi..
 
Msibaki kumtupia kila lawama Blandina Nyoni................na hili nalisema alipokuja hapo alizima mbinu zenu chafu za kuiiibia serikali na umma semeni na hilo pia..........pamoja na mbaya yake lakini aliweza kuwadhibiti na hivyo niko sahihi nikisema mmelitumia hili tatizo kuhakikisha mnmaliza .......sawa nyie wenyewe wasafi...............Blandina Nyoni hakuwa anawaslinaina na kila Daktari moja kwa moja ni nyie hapo makao makuu kupitia idara zenu...........kama ni kusimamishwa kazi.............wote mnastahili mpigwe chini kabisa................muondoke kwenye himaya mlizojijengea hapo wizarani.................Wanafiki wakubwa..................kama ni kushangilia kuondolewa Blandina Nyoni washangilie madaktari lakini sio ninyi hapo wizarani.....

Mama Nyoni anahusika kwa asilimia mia moja, kwasababu yeye ndiye mtendaji mkuu wa wizara na idara zote ziko chini, hakuna pesa inayotoka bila idhini yake, hakuna mradi unaofanyika bila kupitia kwake, barua zote lazima zielekezwe kwake, nafikiri umetanguliza ushabiki kuliko uhalisia KAJIPANGE UPYA, kuchagua kumtetea huyo mama ni sawa na Kubeba mzigo wa "KINYESI".
 
Maskini Jeuri, wewe unaonyesha kuwa kibaraka wa Mama Nyoni. Huna ushahidi wa tuhuma zako. Ni kweli MoHSW kuna madudu ya miaka mingi lakini si kama unavyoeleza.

Wewe unaeleza kwasababu umenyang'anywa kitumbua ama unayempenda kanyang'anywa kitumbua. Acha hizo. Utaumbuka.

Hommie!

Unatumia kipimo gani kushusha ukubwa wa tatizo hili tokea enzi?.............wacha kutuletea hadithi za dhambi ndogo ndogo na kubwa kubwa .....................DHAMBI NI DHAMBI...............huo udogo wauona weye lakini waweza kuwa mkubwa sana kwa aliyetendewa.................hebu fikiria kwa mfano Baba yangu alikataliwa nafasi ya masomo enzi zile zalate Dr. chiduo.............piga picha ya athari zake kwa taaluma yake, kwa watanzania na kwake binafsi!

Nimeathirika na hili kama watz wengine
Rudia tena maandishi yangu...........simsafishi Mama Nyoni.................lakini mnapaswa wote mmugane naye kwenye hili fagio!
 
Nitakwenda kinyume na wengi..............mtiriiriko wa yaliyojiri hivi karibuni katika Wizara hii pamoja na mgomo wa Madaktari...........ni matokeo ya uozo na mbinu chafu zilizokuwa zikiendelea wizarani hapo kwa muda mrefu.............!

Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu kubwa watumishi wa wizari hii hasa hapo makao makuu mnabeba nusu ya lawama za mabaya ambayo yamepelekea matatizo lukuki kwenye wizara hii nyeti.

Simtetei Mama Nyoni lakini niseme ukweli kuwa hapa ametumika (si kama kondoo wa kafar kwa sababu naye ana makosa yake kama pia kwenye hili) tofauti na Dr Mtasiwa ambaye mie namuona kama ni kondoo wa kafara kwenye hili..............watumishi wa makao makuu hasa wale kwenye maidara nani aisyejua mmekuwa mkiwanyanyasa madaktari wetu hasa wanapodai haki zao msingi kwa miongo mingi tu hata kabla ya mama Nyoni kuwepo hapo? Nani asiyejua kuwa ninyi mmemkuwa kikwazo kwa kuwanyima na kuwaibia stahiki zao? Nani asiyejua kuwa mmesabisha hadi baadhi ya madaktari bingwa kuondoka serikalini na hata wengine kuikimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje kwa dhuluma zenu? Nani asiyejua mmekua mkitoa nafasi za masomo kwa upendeleo na hata wakati mwingine kwa rushwa ilhali ninyi hasa msiokuwa madaktari mmekuwa mkijipa nafasi na malipo mbalimbali bila hata ya aibu? Nani asiyejua kua ninyi ndio haswa chanzo cha madaktari wetu kuichukia wizara yao wenyewe, wizara iliyopaswa kuangalia mambo yao na hatimaye kugoma? kero nyingi za madaktari zilipaswa kutatuliwa na nyie.....hebu tuambieni mlichukua hatua gani zilizokuwa chini ya uwezo wenu?

Msibaki kumtupia kila lawama Blandina Nyoni................na hili nalisema alipokuja hapo alizima mbinu zenu chafu za kuiiibia serikali na umma semeni na hilo pia..........pamoja na mbaya yake lakini aliweza kuwadhibiti na hivyo niko sahihi nikisema mmelitumia hili tatizo kuhakikisha mnmaliza .......sawa nyie wenyewe wasafi...............Blandina Nyoni hakuwa anawaslinaina na kila Daktari moja kwa moja ni nyie hapo makao makuu kupitia idara zenu...........kama ni kusimamishwa kazi.............wote mnastahili mpigwe chini kabisa................muondoke kwenye himaya mlizojijengea hapo wizarani.................Wanafiki wakubwa..................kama ni kushangilia kuondolewa Blandina Nyoni washangilie madaktari lakini sio ninyi hapo wizarani.....

umeona eeehhh?
wengine wameona bora kutopractice na kuingia fani nyingine!
 
Maskini jeuri unaonekana ni maskini wa mawazo. Kumtetea Blandina Nyoni inakubidi uazime akili za mwenda wazimu. Lakini kwa mtu mwenye akili zako huwezi. Amewa victimize watendaji wengi kwa ajili ya kujisafishia ufisadi. Tunasubiri tume ianze kazi ndiyo tumamwage ushahidi. Blandina lazima akanyee debe segerea
 
mNYAMAHODZO... LABDA TUWE MODERATE KIDOGO TU (INGAWA MIMI MWENYEWE NI EXTREMIST WHEN IT COMES TO HEALTH PROFESSIONALS RIGHTS)...
  1. Tuna matatizo pale wizarani kuanzia scholarships, kupotea kwa files, postings na abuse of power ya wakuu wa baadhi ya idara
  2. tuna shida kubwa sana finance na procurement
  3. Ila Mama Nyoni crossed all the borders beyond repair
  4. Hivi mnakumbuka murders zilizotembea pale? kashfa ya vitendanishi?, expiries?, songombingo za ARV regimes?, kasheshe za vocha za neti, ukosefu wa dawa za TB, hali ya diagnostics nk?

Lets use this opportunity kusafisha wizara na hata wale wanharibifu waliobaki basi wajirekebishe au nao waondoke

MTM, nakubaliana nawe kuwa MoHSW kuna matatizo mengi mno. Hayo uliyataja ni baadhi tu. Kuna watu kwasababu ya kukusa sifa wamejitengenezea gamba. Members wa hilo gamba wanamlinda bosi wao hali wao wakila kupitia huyo gamba mkuu.

Unaweza kufikiria kuwa jambo hili kufumbiwa macho mf pesa inatumwa toka Hazina kupitia Wizarani kwenda Rukwa kwa ajili ya mradi wa macho. Ikifika huko inakatwa kama 30-40% na kurudishwa kwenye akaunti binafsi ya mheshimiwa fulani wa wizarani. Yeye atajua watakavyo gawana na wenzake. Mchezo huo unafanywa sana katika vertical projects/programmes.

Kwa ufupi, ikitokea scandal Wizara ya Afya mara nyingi wadogo hutolewa kafara na wakubwa kupeta.

Mama Nyon alikuwa anasukumiza mikono ya vipofu kila vipofu wanapotaka kumega tonge wakati huo huo vipofu wanamsikia nyam nyam nyam zake anapokula. Manung'uniko yakaanza. Kipofu aliyependwa aliruhusiwa kula.
 
Back
Top Bottom