Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Nitakwenda kinyume na wengi..............mtiriiriko wa yaliyojiri hivi karibuni katika Wizara hii pamoja na mgomo wa Madaktari...........ni matokeo ya uozo na mbinu chafu zilizokuwa zikiendelea wizarani hapo kwa muda mrefu.............!
Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu kubwa watumishi wa wizari hii hasa hapo makao makuu mnabeba nusu ya lawama za mabaya ambayo yamepelekea matatizo lukuki kwenye wizara hii nyeti.
Simtetei Mama Nyoni lakini niseme ukweli kuwa hapa ametumika (si kama kondoo wa kafar kwa sababu naye ana makosa yake kama pia kwenye hili) tofauti na Dr Mtasiwa ambaye mie namuona kama ni kondoo wa kafara kwenye hili..............watumishi wa makao makuu hasa wale kwenye maidara nani aisyejua mmekuwa mkiwanyanyasa madaktari wetu hasa wanapodai haki zao msingi kwa miongo mingi tu hata kabla ya mama Nyoni kuwepo hapo?
Nani asiyejua kuwa ninyi mmemkuwa kikwazo kwa kuwanyima na kuwaibia stahiki zao? Nani asiyejua kuwa mmesabisha hadi baadhi ya madaktari bingwa kuondoka serikalini na hata wengine kuikimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje kwa dhuluma zenu? Nani asiyejua mmekua mkitoa nafasi za masomo kwa upendeleo na hata wakati mwingine kwa rushwa ilhali ninyi hasa msiokuwa madaktari mmekuwa mkijipa nafasi na malipo mbalimbali bila hata ya aibu? Nani asiyejua kua ninyi ndio haswa chanzo cha madaktari wetu kuichukia wizara yao wenyewe, wizara iliyopaswa kuangalia mambo yao na hatimaye kugoma? kero nyingi za madaktari zilipaswa kutatuliwa na nyie.....hebu tuambieni mlichukua hatua gani zilizokuwa chini ya uwezo wenu?
Msibaki kumtupia kila lawama Blandina Nyoni................na hili nalisema alipokuja hapo alizima mbinu zenu chafu za kuiiibia serikali na umma semeni na hilo pia..........pamoja na mbaya yake lakini aliweza kuwadhibiti na hivyo niko sahihi nikisema mmelitumia hili tatizo kuhakikisha mnmaliza .......sawa nyie wenyewe wasafi...............
Blandina Nyoni hakuwa anawaslinaina na kila Daktari moja kwa moja ni nyie hapo makao makuu kupitia idara zenu...........kama ni kusimamishwa kazi.............wote mnastahili mpigwe chini kabisa................muondoke kwenye himaya mlizojijengea hapo wizarani.................
Wanafiki wakubwa..................kama ni kushangilia kuondolewa Blandina Nyoni washangilie madaktari lakini sio ninyi hapo wizarani.....
Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu kubwa watumishi wa wizari hii hasa hapo makao makuu mnabeba nusu ya lawama za mabaya ambayo yamepelekea matatizo lukuki kwenye wizara hii nyeti.
Simtetei Mama Nyoni lakini niseme ukweli kuwa hapa ametumika (si kama kondoo wa kafar kwa sababu naye ana makosa yake kama pia kwenye hili) tofauti na Dr Mtasiwa ambaye mie namuona kama ni kondoo wa kafara kwenye hili..............watumishi wa makao makuu hasa wale kwenye maidara nani aisyejua mmekuwa mkiwanyanyasa madaktari wetu hasa wanapodai haki zao msingi kwa miongo mingi tu hata kabla ya mama Nyoni kuwepo hapo?
Nani asiyejua kuwa ninyi mmemkuwa kikwazo kwa kuwanyima na kuwaibia stahiki zao? Nani asiyejua kuwa mmesabisha hadi baadhi ya madaktari bingwa kuondoka serikalini na hata wengine kuikimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje kwa dhuluma zenu? Nani asiyejua mmekua mkitoa nafasi za masomo kwa upendeleo na hata wakati mwingine kwa rushwa ilhali ninyi hasa msiokuwa madaktari mmekuwa mkijipa nafasi na malipo mbalimbali bila hata ya aibu? Nani asiyejua kua ninyi ndio haswa chanzo cha madaktari wetu kuichukia wizara yao wenyewe, wizara iliyopaswa kuangalia mambo yao na hatimaye kugoma? kero nyingi za madaktari zilipaswa kutatuliwa na nyie.....hebu tuambieni mlichukua hatua gani zilizokuwa chini ya uwezo wenu?
Msibaki kumtupia kila lawama Blandina Nyoni................na hili nalisema alipokuja hapo alizima mbinu zenu chafu za kuiiibia serikali na umma semeni na hilo pia..........pamoja na mbaya yake lakini aliweza kuwadhibiti na hivyo niko sahihi nikisema mmelitumia hili tatizo kuhakikisha mnmaliza .......sawa nyie wenyewe wasafi...............
Blandina Nyoni hakuwa anawaslinaina na kila Daktari moja kwa moja ni nyie hapo makao makuu kupitia idara zenu...........kama ni kusimamishwa kazi.............wote mnastahili mpigwe chini kabisa................muondoke kwenye himaya mlizojijengea hapo wizarani.................
Wanafiki wakubwa..................kama ni kushangilia kuondolewa Blandina Nyoni washangilie madaktari lakini sio ninyi hapo wizarani.....