maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
Rais ametoa agizo ya kwamba uzazi wa mpango usifuatwe,wazazi wafyatue tu sasa tunatarajia wahusika wa wizara ya afya kusimamisha mara moja vi NGO mara sijui family planning sijui nyota ya kijani vinavyodanganya watanzania wasizaliane,fungia hivyo vitamzuia Rais kutimiza malengo yake.