mzee wa magumashi
Senior Member
- Oct 10, 2012
- 136
- 42
sasa ni miezi 3 web ya wizara ya afya hawaja update vile vile haijarusu watu kutoa maon yao kama zilivyo za wizara zingine nyeti hapa tanzania..kama ile ya mikopo www.olas.go.tz na nyingine nyingi.kwa hiyo maoni yangu ni kwamba hawa ma it wachunguzwe ikibidi wasimamishwe kazi.ujuzi wao mdogo.asanten.....