Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
mmmmm wivu wa nini huyo mume ankosa kazi tu..yaani hata kanga za mama anazijua zote...hivyo hata chupi anazifahamu..akikuona na ya pink ambayo hakununua yeye balaa inazuka. huyo binti naye kachemsha angemwambia tu change ya pesa za matumizi ndio amesave mpak itatimia. am just thinking hiyo mob justice ikiendela mkewe alikuwa hapo hapo ama alihamia kwa hossen kabisa waaaaaaaaaaaaaaah!