Kama hii stori ni kweli, nimeamini binadamu tuko tofauti saana.
Bi dada ana wanae lakini bado ukawa unahudumia kila kitu, means Kuna kidume alimzalisha akamtelekeza wewe umekuja kumuokota tu.
Wanaume wa dizain yako huwa wanamatatizo mkuu mawili.
1.hujiwezi kabisa kitandani na una upungufu wa nguvu za kiume, hivyo ukipata mwanamke huwa unajihami sana kwenye kuhudumia Lakin mwisho wa siku ukweli utabaki pale pale, chakula ya mwanamke yeyote yule duniani ni dushe.
2. Wewe ni raisi wa madomo zege, na huyo bidada ulimbahatisha kwa hiyo unaona akikuacha huwezi kupata mwingine.
Ushauri kwako......
Mwanaume siku zote ni mtawala na kiongozi. Wewe unapaswa uwe na uwezo wa kumuongoza mwanamke yeyote yule, usimpe mwanamke madaraka yako, usiruhusu mwanamke acheze na akili yako kwani utakua umetenda dhambi kubwa sana maana Mungu alikuamini na kukupa mwanamke ili umuongoze,
Jaribu kumpotezea huyo bibie na usijaribu hata siku moja kumtafuta, tuliza akili kwanza kwa miezi 3 alafu tafuta mtoto mmoja mkali tulia nae
Sent using
Jamii Forums mobile app