Wivu umeniponza

Wivu umeniponza

Hakuna jibu lingine zaidi ya kukuuliza kuwa maana ya shangingi huijui? Au unadhani kuna mtu anayeitwa Shangingi? Hapana ila mtu anapewa hilo jina kwa sababu ya matendo yake jiongeze tafuta mwanamke mnayeendana ndio utakuwa na amani
 
Una moyo,yani ushaambiwa ukate mawasliano na muhusika then we bado unajifanya kujifanya kupenda.
 
Una moyo,yani ushaambiwa ukate mawasliano na muhusika then we bado unajifanya kujifanya kupenda.
 
Shukuru Mungu ulikua ujamuoa uchumba tu anakua na jeuri kiasi iko ungemuoa uyo cku zako za kuish zngehesabika na angezipunguza kwa kasi mnoooo, achana nae uyo utapata wa aina yako bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani kwanza wenzio weshafungua kizibo cha konyagi, wamengonga mzinga umebaki nusu, halafu we ukaurudia, halafu unakupa shida chaaa hali konyagi mpya na nzima zipo chungu mzima, tena zinatafuta mnywaji we unahangaika na makombo doh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu acha mambo ya kipumbavu .......hivi hata unavyohadithia hiki kisa haujioni kuwa ni mpuuzi. Yaani unaacha kufikiria maisha unakaa unawaza ujinga wa kubembelezana......kwanza unamiaka mingapi wewe, maana mwanaume ambaye amepevuka hawezi kulalamika ujinga kama wewe!

SONY Xperia Z5 Premium
 
Kama hii stori ni kweli, nimeamini binadamu tuko tofauti saana.

Bi dada ana wanae lakini bado ukawa unahudumia kila kitu, means Kuna kidume alimzalisha akamtelekeza wewe umekuja kumuokota tu.

Wanaume wa dizain yako huwa wanamatatizo mkuu mawili.

1.hujiwezi kabisa kitandani na una upungufu wa nguvu za kiume, hivyo ukipata mwanamke huwa unajihami sana kwenye kuhudumia Lakin mwisho wa siku ukweli utabaki pale pale, chakula ya mwanamke yeyote yule duniani ni dushe.

2. Wewe ni raisi wa madomo zege, na huyo bidada ulimbahatisha kwa hiyo unaona akikuacha huwezi kupata mwingine.

Ushauri kwako......

Mwanaume siku zote ni mtawala na kiongozi. Wewe unapaswa uwe na uwezo wa kumuongoza mwanamke yeyote yule, usimpe mwanamke madaraka yako, usiruhusu mwanamke acheze na akili yako kwani utakua umetenda dhambi kubwa sana maana Mungu alikuamini na kukupa mwanamke ili umuongoze,

Jaribu kumpotezea huyo bibie na usijaribu hata siku moja kumtafuta, tuliza akili kwanza kwa miezi 3 alafu tafuta mtoto mmoja mkali tulia nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan kaka angu naomba umwache mara moja uyo ajielew anaish vizur kwa sababu yako alf anafurukuta et alf ana element za umalaya uyo
 
Najua ni kwa jinc gani hili limekugusa kama mwanamke ni kama unaona huyo mwanamke anachezea bahati..
Ningemjua huyo mwanamke ningempa mbata kama mwanamke mwenzie wenzie tunaangaika kusali,kufunga,kuomba,Mungu atupe mume bora linampata yeye anachezea aiseeee Jamani Huyu mwanamke ni pepo bwana Mimi mwanaume anifungulie tu biashara aiseeee ata akitaka nimbebe mgongoni nambeba tu Mungu amlaani uyu Dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom