Wivu kwa mchepuko

Ha ha haaah....mpendwa wakati mwingine labda heavy traffic au mashimo mashimo yaliyoko njia kuu ndio yanaweza ku-dictate mtu uchepuke. Just thinking though!! Ha ha haah
Tatizo ukienda mchepukoni na ukakutana na jam kutoka inakuwa ishu.....bora njia kuu ....foleni ikiisha mnatembea fasta......ni kuvumilia tu na kuyafukia mashimo ya njia kuu ili muende sawa........
 
R mbuna,ni nini ulicho kosa kwa mkeo mpaka una fanya mambo kama hayo!!je hiyo papuchi mkeo hana?maisha yenyewe ya kulenga kwa manati,jaman mbona mkeo ni mzuri hivyo! Ngoja wajanja wampitie mana kama una mchepuko na yeye anatakiwa kuwa nao ili iwe ngoma droo!!! Kati ya wanaume wapuuzi we ni number moja.
 
ulimheshimu zaidi ya mke wako mpaka kumtoa dodoma na kumpangisha mjini sasa anakuona fala, huyo ni kama mke wako mdogo maana naye umembeba mgongoni kwako sasa dawa yake ndogo mkwapue kila kitu, chukua duka lako,kitanda,king'amuzi flat tv yako mpaka bakuli mpelekee mke wako kipenzi ambaye anakusaliti kwa heshima siyo huyo msaliti wa wazi wazi.
 
pole kaka huenda mke wako nae kaenda kwa mchepuko wake....tulia na familia yako...tatizo wew ni kivulana na sio mwanamme ....mwanamme aliyekamilika hachepuki huwa anawaza aifanyie nin familia yake ili wajivunie kuwa nae na sio kuhangaika na micheppuko....badilika kaka...
 
eeeeh, mchepuko sio mali yako wivu wa nini? ukishamfanya mwenzio mchepuko ujue na ww kwake ni mchepuko vile vile
 
Hujafanywa mjinga bali ndio nyumbani kwao na ujinga
 


Mbona ni kawaida sana, yule ni mchepuko na anajitambua, hivyo anajuwa fika wewe hutamuoa kwa hiyo anatupia kete kwingineko kujaribu bahati yake. Asikudanganye mtu, wanawake hawapendi kufanywa mchepuko ila hawana jinsi tu.
 
Mi naona kafanya vzur tu,we una mmke bado ukuni unakuendesha mbio na ukongwe wote huo mmkuu.mpotezeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…