Uchaguzi 2020 Wito: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake yote wajiuzulu

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video (bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura zinazidaiwa kuwa ni feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/ kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM.

Video hii ni tofauti na ile inayoonyesha wananchi wakichoma moto kura walizozikamata.

Ukiacha huko Kawe, kuna video nyingine mtandaoni(twitter), inaonyesha wananchi(mkoani Kigoma) wakivamia kituo cha kupigia kura baada ya kubaini uwepo wa kura feki kwenye mfuko huku mwenye mfuko akigoma kuutoa /kukaguliwa na kusababisha vurugu kituoni hapo.

Kwakuwa hali hii inaripotiwa katika maeneo mengi nchini, ni wazi Tume ya Uchaguzi imeshindwa kutimiza wajibu wake na hivyo inapaswa kujiuzulu yote kuanzia mwenyekiti, mkurugenzi na watendaji wengine wote waliohusika kusimamia huu uchaguzi unless watuthibitishie kuwa madai haya ni ya uongo.

Mwisho, uchaguzi huu wote ufutwe iwapo tuhuma/ madai haya yathibitika kuwa ni ya kweli.
 
Billions za pesa za walipa kodi wamezitumia hawa wahuni kufanya hiki kituko cha hali ya juu ili tu kuiba chaguzi kwa haya maccm ambayo yamechokwa na Watanzania kila kona Nchini lakini kwa uroho wao wa madaraka yanatumia tumeccm/tume FAKE na polisiccm ili kuiba chaguzi kila mara.

Sasa basi imetosha Charles Wilson Mahera na Kaijage na tume yetu wajiuzulu haraka sana na ikiwezekana wafunguliwe mashtaka kwa kuvuruga uchaguzi kwa makusudi.
Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM...
 
Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM...
Screenshot-2020-10-28-at-15.54.29-660x400.png

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.

Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache.

Chanzo: Millard Ayo.
 
Kupitia akaunti ya twitter ya Tundu Lissu,nimeona video(bila shaka ni huko Kawe, Dar-es-salaam) inayoonyesha rundo la kura feki huku Polisi wakishirikishwa kuzitambua/kushuhudia karatasi hizo za kura ambazo zimepigiwa kura mgombea wa CCM...
Billions za pesa za walipa kodi wamezitumia hawa wahuni kufanya hiki kituko cha hali ya juu ili tu kuiba chaguzi kwa haya maccm ambayo yamechokwa na Watanzania kila kona Nchini lakini kwa uroho wao wa madaraka yanatumia tumeccm/tume FAKE na polisiccm ili kuiba chaguzi kila mara. Sasa basi imetosha Charles Wilson Mahera na Kaijage na tume yetu wajiuzulu haraka sana na ikiwezekana wafunguliwe mashtaka kwa kuvuruga uchaguzi kwa makusudi.
Nchi hii imenajisiwa na watu wachache kwa manufaa yao binafsi.
 

2019 si upinzani ulisusia uchaguzi ule wa Mitaa baada ya wagombea wao wengi kuenguliwa kihuni? Kipi kilitokea?

Wangeamua kususia huu uhuni na wizi wa hali ya juu tungeujuaje? Dunia ingeujuaje?
Unadhani kwanini Mkapa alitaka iwepo tume huru ya uchaguzi?
1603891428969.png


Tukiwaambia msusie chaguzi, hamsikii.


Sasa mnalialia nini? Kwani hamkujua zitakuwepo figisu?
 
Screenshot-2020-10-28-at-15.54.29-660x400.png

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.

Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache.

Chanzo: Millard Ayo.
Kaijage ametia aibu sana,
 
Back
Top Bottom