Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Kwani uliposema kitaasisi ulimaanisha nini ?au kikundi kilicho kaa kitaasisi kinatambulikaje kisheria ?nataka kujua mkuu.maana hili suala linatusumbua sana huku kijijini kwetu maguu.
Nothing is more terrible than to see ignorance in action. (Johaan Wolfgang Von Goethe)
Would you please respond to me by using the same language?we jidanganye tu, kwani umaarufu wa CDM kabla ya skendo ya List of shame(ile 1st eleve ya mafisadi) Slaa buzwagi-Zitto, richmond, ilikuwaje? Matukio ndo yamekipa uhai.
2007 nilipewa kadi na Slaa akiwa na baregu pale kwenye ukumbi ulio karibu na mliman city, ilikuwa kutambua kazi yake
"Ignorance is a lot like alcohol: the more you have of it, the less you are able to see its effect on you." (Jay M. Bylsma)Baada ya babu kuumbuka na kuwahutubia watu wasiozidi kumi, anaanza kuwadanganya watanzania kuwa kuna watu waliojuzulu, wanataka kuomba msamaha(huyu mzee siasa zinamshinda sasa) yeye badala ya kumwaga sera anaenda kujitetea,
naona itv inawapa tafu, kwenye taharifa ya habari wamesema silaa apokelewa kwa maandamano makubwa, cha kushangaza kwenye video inaonyesha pikipiki tano zikiwa na magari ya polisi. Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu????
Kwani uliposema kitaasisi ulimaanisha nini ?au kikundi kilicho kaa kitaasisi kinatambulikaje kisheria ?nataka kujua mkuu.maana hili suala linatusumbua sana huku kijijini kwetu maguu.
Would you please respond to me by using the same language?
walumumba hao
Wakati wakihalalisha maamuzi mazito ya kuwachukulia hatua viongozi wake kwa tuhuma mbalimbali, wakidanganya hawaogopi kumchukulia hatua yeyote kwa kuhofia kukiua chama sababu kimejengwa kitaasisi.
Mnajidanganya. Chama kipo hivyo kilivyo si kwa sera zake, maana CCM wako vizuri zaidi ya CHADEMA, Bali:-
1. Wabunge wake mahiri waliofichua uozo wa gov. Ni Zitto na Slaa.
2. Wabuge wenye bahati ya kupendwa(mvuto) si kwa kazi wazifanyazo (Mfano LEMA)
3. Kukata tamaa kwa watanzania dhidi ya CCM.
Watu wamefuata watu, wakiondoka...
Wakati wakihalalisha maamuzi mazito ya kuwachukulia hatua viongozi wake kwa tuhuma mbalimbali, wakidanganya hawaogopi kumchukulia hatua yeyote kwa kuhofia kukiua chama sababu kimejengwa kitaasisi.
Mnajidanganya. Chama kipo hivyo kilivyo si kwa sera zake, maana CCM wako vizuri zaidi ya CHADEMA, Bali:-
1. Wabunge wake mahiri waliofichua uozo wa gov. Ni Zitto na Slaa.
2. Wabuge wenye bahati ya kupendwa(mvuto) si kwa kazi wazifanyazo (Mfano LEMA)
3. Kukata tamaa kwa watanzania dhidi ya CCM.
Watu wamefuata watu, wakiondoka...
I have no idea what the heck you are talking about! But you have contributed your view as a great thinker, right? How come that you excuse yourself that you've a language barrier? Isn't English the language of higher learning in Tanzania? Next time do not show up here as a great thinker! Keep your mouth shut and no one will question your ignorance!samahani mkuu, najua unajibuùlichosoma na kuelewa. Mie mtz, lugha ya kabila langu na lugha ya taifa ndo nazozimudu zaidi. Lugha ya wazungu wanatumia wao na waganda na wakenya
I have no idea what the heck you are talking about! But you have contributed your view as a great thinker, right? How come that you excuse yourself that you've a language barrier? Isn't English the language of higher learning in Tanzania? Next time do not show up here as a great thinker! Keep your mouth shut and no one will question your ignorance!
I have no idea what the heck you are talking about! But you have contributed your view as a great thinker, right? How come that you excuse yourself that you've a language barrier? Isn't English the language of higher learning in Tanzania? Next time do not show up here as a great thinker! Keep your mouth shut and no one will question your ignorance!
kwa hiyo wewe kuwa great thinker ni kuandika na kusema kizungu? Tuko gizan sana.
Ignorance is a lot like alcohol: the more you have of it, the less you are able to see its effect on you. (Jay M. Bylsma)
Ukweli lakini mchungukama angekuwa ni jk ana nyumba marekani, uingereza, afrika kusini, na dubai, cjui mngesemaje!! maana chadema kwa kujadili watu wengine ndo sera zao. na sasa mnamjadili zito, badala ya kujadili mapato na matumizi ya chama chenu. mkija kushtuka mmetafunwaaaa