JK maisha yake yote amekuwa ni mwanasiasa. Mbowe anafanya biashara maisha yake yote. Kama huna akili inayosukumwa kwa 7000 utaelewa tofauti zao. JK hajakatazwa kujenga hata Makka akitaka. Tatizo ni uhalali wa fedha za kujengea huko nje. Ukikutana na ushahidi wa fedha haramu za Mbowe leta hapa jukwaani tumdadavue
Post yako haisaidii kuondoa ukweli kuwa ccm ipo hoi na imewanyonya watanzania vya kutosha.Lakini ni kweli CDM kuna ufisadi na ubaguzi wa hali ya juu. Viongozi wake ni wa porojo tu hawawezi kutawala nchi kama hii. ni mahodari kwa kuendesha DISCO tu.
duh... Mkuu maisha yamenitupa mkono sana... Kama kweli kuna dili ya buku 7 nitafute PM basi nijiungeVijana hawawezi kujiunga wauwaji, wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu
"People tend to be generous when sharing their nonsense, fear, and ignorance. (Steve Maraboli).Watu wamefuata watu, wakindoka nao wataondoka.
Zito kama anavyotuhumiwa kukisaliti chama au kuvunja katiba, mbowe ana tuhuma hizo pia kwa kufanya manunuzi bila kufuata taratibu as if ndo procurement officer.
Slaa naye ana tuhuma za kujkopesha mamilioni halafu akapunguza deni kwa kuandika kiasi kidogo.
Lema naye kuwashambulia viongozi wenzake mitandaoni amefanya sana. Sasa wote wanatuhumiwa kukiuka taratibu za chama, wachukulieni hatua muone kama CHAMA kitasimama tena