Wito kwa wana CHADEMA wote!

Jamani na hat huyo mabunduki sio msafi kama baadhi yenu mnavyofikiri. Ni mlafi, mchoyo, mkabila na fuska mkubwa. jiulizeni aliachishwaje Upadri?? Alistaafu? Je ni kwa nini amepora mke wa mtu (Bibi Josephine) huku akidai ni mchumba? Kama huu sio ufuska ni nini?Na Bw Mbhowh naye yale yale. Huyu ni mpiga Disco maarufu jijini Amefilisi mali ya urithi wa wazazi wake na kuwadhulumu nduguze urithi wa baba yao kana kwamba amezaliwa peke yake katika tumbo la mam yao. Nduguze wanalia sana. mmoja wa nduguze tulikutana kwa lawyer maarufu jijini akijaribu kufungua kesi ya kushitaki kwa kudhulumu mali ya urithi. Je hawa wafaa kuendesha nchi??
 
JK maisha yake yote amekuwa ni mwanasiasa. Mbowe anafanya biashara maisha yake yote. Kama huna akili inayosukumwa kwa 7000 utaelewa tofauti zao. JK hajakatazwa kujenga hata Makka akitaka. Tatizo ni uhalali wa fedha za kujengea huko nje. Ukikutana na ushahidi wa fedha haramu za Mbowe leta hapa jukwaani tumdadavue

Hivi mtu anayedaiwa mabilioni ya pesa anawezaje kununua nyumba ya kifahari dubai tena kwa cash na kwa mkupuo? Hivi kama hela hizo ni safi iweje kusiwe na ushahidi wa kibenki wa manunuzi hayo (manunuzi makubwa ya cash ni dalili kuu ya usafishaji wa fedha chafu) na kama ni mali ya halalii akuwaje anakwepa kuhojiwa kwa zaidi ya miezi sita? Acheni kutetetea uozo uje kuwavundia watanzania huko tuondeko. Safisheni nyumba yenu mapema kabla ya kutaka kuwauzia watanzania!
 
Unaweza kutuarifu ni kwa kiasi gani umejaribu kulishughulikia swala hili au maswala haya ndani kwa ndani thru chnnels zinazotakiwa? Mi nilitegemea kwenye introduction yako ungeanza na maelezo yanayokusukuma kuyaleta hadharani haya uliyoandika badala ya taratibu za ndai kushindinkana... hapo tungejitahidi kujishughulisha nawe... Madaraka watu wengi wanayahitaji including wewe mwenyewe so sio kitu cha ajabu na wao akiyataka au akuendelea kuyataka. Umenishangaza kuamua kuja huku hadharani kuharibu ndoa yako, jifunze kutatua matatizo yako ya ndani mwenyewe yakikushinda ufuate taratibu muafaka otherwise mi naona kama umekurupuka na unatafuta cheap popularity on others' expenses tuuu!!!
 
INASIKITISHA sana kwa watu wanaotumika kwa kurubuniwa na wasioitakiwa mema Nchi yetu hasa katika kipindi hiki nyeti cha kuelekea kwenye chaguzi muhimu,ambapo Watanzania wanaofikiria kuutumia muda wao vizuri kwa kuchagua chama makini na viongozi wake wakishuhudia mbinu chafu toka kwa baadhi ya viongozi wenye nyadhifa ndani ya vyama hivyo wakijitokeza kukosoa au kudai mambo mbalimbali kwa kudhalilisha vyama vyao bila kufuata taratibu.

Haingii akilini kwa mtanzania wa kisasa kuamini mwanachama yeyote toka chama /vyama vya upinzani kwa sasa anayejitokeza eti kwa madai ya kuanika wazi maovu ya chama chake,labda tu mtu/mtanzania huyu hakuwa na maandalizi ya kufikiria namna gani hatafanya makosa ya kuchagua viongozi/ chama ambacho tayari kimeonyesha kushindwa kuongoza kama CCM na kubakia na mbinu chafu za kurubuni wanachama wa vyama vingine kupelekea machafuko na vurugu kwenye vyama vyao.

Ndugu watanzania kupoteza muda wenu kwa kusikiliza wanachama wa aina hii ni kutoitendea nafsi na dhamira yenu ya
muda mrefu ya kutaka kufanya mabadiliko, tuwe waangalifu sana kwa kipindi hiki.

Tumeshuhudia mengi ya CHADEMA kuonyesha dhamira ya kweli ya kutaka kuwaletea watanzania mabadililko ya kweli
basi TUSIKUBALI HATA KIDOGO.
 
Lakini ni kweli CDM kuna ufisadi na ubaguzi wa hali ya juu. Viongozi wake ni wa porojo tu hawawezi kutawala nchi kama hii. ni mahodari kwa kuendesha DISCO tu.
 
Lakini ni kweli CDM kuna ufisadi na ubaguzi wa hali ya juu. Viongozi wake ni wa porojo tu hawawezi kutawala nchi kama hii. ni mahodari kwa kuendesha DISCO tu.
Post yako haisaidii kuondoa ukweli kuwa ccm ipo hoi na imewanyonya watanzania vya kutosha.
 
Ni jambo la ajabu sana kama watu hawatakuwa na haki ya kuongea yaliyomo ndani ya nsfsi zao na hawatapewa muda wa kuwasikiliza watu wengine.Nchi hii ni yetu sote watanzania,na ni jukumu letu sote kuhakikisha tunashiriki kikamilifu katika kuijenga bila kujali tunaijenga kupitia CDM,CCM,CUF,TLP ama vyama vingine au taasisi na nyanja nyingine.
Kama mtu upo ndani ya taasisi fulani,halafu ikatokea hupendezwi na mambo yanavyoendeshwa hapo taasisini,jambo la msingi la kwanza ni kupeleka hoja yako ya msingi kwenye ngazi ama vikao husika,halafu unasubiria kupewa majibu na ikiwezekana kuona hatua zinachukuliwa. Kama umefuata taratibu husika za hiyo taasisi kuwasilisha hoja yako lakini hujasikikiliza na wala hoja yako kufanyiwa kazi,basi hapo sasa ndipo panapokuja suala la kuangalia hatua nyingine za kuchukua ili hoja yako isikilizwe na ifanyiwe kazi.
Tatizo la vijana wengi walio na mapenzi ya upofu ya watu fulani katika vyama ni kuona kuwa mtu yeyote anayemuongelea vibaya mtu anayempenda ni msaliti hata kama kuna ukweli na ushahidi katika jambo linalozungumzwa.
Haya mapenzi ya upofu yatatugharimu sana watanzania kwani yatatufanya tuwe watu wa "ndio mzee" na kuogopa kusema ukweli hata kama mtu anakosea.
MAPENZI YA UPOFU KWA MUSTAKABALI MWEMA WA TAIFA HILI TUYAWEKE PEMBENI,tufanye yale mambo amabyo ni kwa ajili ya ustawi wa tanzania hata kama yatakuwa hayapendwi na baadhi ya wapendwa wetu.
 
Ukweli ni Ukweli tu,haubadiliki sababu unauchukia,Mwigamba aliandika ukweli kuhusu Jeshi la Polisi(Dola)tuliunga Mkono,leo Msumeno umegeuziwa Upande wa Pili Tunaona Maumivu,Ukweli unachukiwa siku zote,Pole Mwigamba
 
Ukombozi wa vijana ktk nchi hii uko mikononi mwa vijana wenyewe na fulsa hii utaipata chadema tu.vijana wanapewa nafasi ya kugombea udiwani,ubunge nk lakini si ccm ambako kuna kujuana sana,mtoto wa nani,una mjomba.
maskini usitegemee kupata nafuu ktk utawala huu wa ccm .viongozi wote hawalipi kodi ila maskini ndio wanalipa,umategemea kuna siku utapata nafuu?sahau.wabunge,mawaziri,na viongozi wa juu wote wanalipwa kuanzia 11m mpaka 32m kwa mwezi na hazikatwi kodi.kwa maana nyingine ni kuwa wanaojenga nchi hii maskini tu. Hivyo vijana ,wakulima na wafanyakazi mnaokatwa kodi mnapaswa kukataa kwa kuipa nguvu chadema ili sheria zitakatungwa huko mbeleni zisipendelee watawala ili wote tulipe kodi .kwa kodi hizo zitapunguza mzigo kwa maskini pia vijana watapa fulsa za ajira na biashara.
chadema hata kama ina tatizo kwa ndani dont give up shughulikia matatizo hayo muyamalize ili muwe na chama imara mbele kuna mwanga but other side is dark.hata. simcard wanataka tulipe kodi aibu.
 
Hii imekufanya ukawekwa bench "MASKINI MKULIMA " kama jina lako ulilotumia ahsante Samson.
 
Vijana hawawezi kujiunga wauwaji, wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu
 
Wakati wakihalalisha maamuzi mazito ya kuwachukulia hatua viongozi wake kwa tuhuma mbalimbali, wakidanganya hawaogopi kumchukulia hatua yeyote kwa kuhofia kukiua chama sababu kimejengwa kitaasisi.

Mnajidanganya. Chama kipo hivyo kilivyo si kwa sera zake, maana CCM wako vizuri zaidi ya CHADEMA, Bali:-

1. Wabunge wake mahiri waliofichua uozo wa gov. Ni Zitto na Slaa.
2. Wabuge wenye bahati ya kupendwa(mvuto) si kwa kazi wazifanyazo (Mfano LEMA)
3. Kukata tamaa kwa watanzania dhidi ya CCM.

Watu wamefuata watu, wakiondoka...
 
"Nothing is more terrible than to see ignorance in action." (Johaan Wolfgang Von Goethe)
 
Watu wamefuata watu, wakindoka nao wataondoka.

Zito kama anavyotuhumiwa kukisaliti chama au kuvunja katiba, mbowe ana tuhuma hizo pia kwa kufanya manunuzi bila kufuata taratibu as if ndo procurement officer.
Slaa naye ana tuhuma za kujkopesha mamilioni halafu akapunguza deni kwa kuandika kiasi kidogo.

Lema naye kuwashambulia viongozi wenzake mitandaoni amefanya sana. Sasa wote wanatuhumiwa kukiuka taratibu za chama, wachukulieni hatua muone kama CHAMA kitasimama tena
 
pole sana ndugu

yaani wewe kumbe unamfuata mtu? unafuata personalities? umekwisha! hujitambui

ndugu untakiwa kufuata taratibu na kanuni za kazi na maisha kwa ujumla - na taasisi is even way more than this, sio umaarufu wa mtu.

tanzania kama nchi ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo ila binadamu yeye siku zake zinahesabika, haina maana akifa kiongozi wa nchi basi taifa linaangamia, hapana. Tunataka kusimamia kwenye misingi ya kitaasisi sio watu

pole najua you can be better than this ndugu.
 
Ni vyema na sawa.

Kama umeona taratibu hazijafuatwa, chukua hatua peleka hoja zake kwenye vikao vya chama. Huko hoja itajadiliwa na evidence yako itazingatiwa then maamuzi yatafikiwa.

Kama utakuwa hujaridhika basi kuna ngazi ya juu kwenye chama, fuata na haki yako utapata

Karibu sana chadema, mkombozi wa kweli wa mtanzania
 
Watu wamefuata watu, wakindoka nao wataondoka.

Zito kama anavyotuhumiwa kukisaliti chama au kuvunja katiba, mbowe ana tuhuma hizo pia kwa kufanya manunuzi bila kufuata taratibu as if ndo procurement officer.
Slaa naye ana tuhuma za kujkopesha mamilioni halafu akapunguza deni kwa kuandika kiasi kidogo.

Lema naye kuwashambulia viongozi wenzake mitandaoni amefanya sana. Sasa wote wanatuhumiwa kukiuka taratibu za chama, wachukulieni hatua muone kama CHAMA kitasimama tena
"People tend to be generous when sharing their nonsense, fear, and ignorance. (Steve Maraboli).
 
Back
Top Bottom