Toa!,kwani malengo yako yameshindwa kutimilika!
Tumekuwa wapenzi kwa mwaka na miezi sasa, nikadhani nikinasa basi itakuwa rahisi kwa mwenzangu kutangaza ndoa
Kama uko mkoa wajirani na arusha ni pm nikupe ushauri wa kufanya but pole sana kujikwaa sio kuanguka
Tumekuwa wapenzi kwa mwaka na miezi sasa, nikadhani nikinasa basi itakuwa rahisi kwa mwenzangu kutangaza ndoa
eti mie sina sifa za kuwa mkewe, ila nina sifa za kuwa girlfriend tu.
sipati jibu.
Pata Mimba Ulee
sikushauri kabisa kutoa csta,jitahidi tu umlee mwanao,unaweza kukuta ni waziri wa kesho,akaja kukomboa taifa,tafadhali usituondolee tegemeo la ukombozi wa taifa letu.