Wito kwa CHADEMA kutoka Arumeru Mashariki...

Feb 21, 2012
53
23
Kwa viongozi wa chama, mbunge wetu mtarajiwa joshua nassari, wafanya biashara deal...,,,.. Vijana wa jimbo la arumeru mashariki tunahitaji nembo, bendera, magwanda na vitambulisho vya chama.. Tupo tayari kununua kwa bei yoyote tutakayouziwa,,, tunajua chama chetu ni kichanga hakitoweza kutugawia watu wote kama vijana tunaokipenda chama tupo tayari kuchangia pesa kuvipata vitu hivyo...pia waendesha toyo wa kituo cha leganga wanaitaji bendera maana ziliishia usa river... Chama chetu kitajengwa na vijana wenye hari... Nawakilisha...
 
Kwa viongozi wa chama, mbunge wetu mtarajiwa joshua nassari, wafanya biashara deal...,,,.. Vijana wa jimbo la arumeru mashariki tunahitaji nembo, bendera, magwanda na vitambulisho vya chama.. Tupo tayari kununua kwa bei yoyote tutakayouziwa,,, tunajua chama chetu ni kichanga hakitoweza kutugawia watu wote kama vijana tunaokipenda chama tupo tayari kuchangia pesa kuvipata vitu hivyo...pia waendesha toyo wa kituo cha leganga wanaitaji bendera maana ziliishia usa river... Chama chetu kitajengwa na vijana wenye hari... Nawakilisha...


mkuu jaribu kuwasiliana na uongozi wa chadema uliokaribu nawe, hata kama hujui basi uliza kwa wenyeji,sio kila jambo la lu-post humu kabla ya kuonyesha jitihada za kutaka kufanikisha, maswala mengine ni madogo au unataka kuonyesha kuwa cdm hawana ofisi huko arumeru?
 
mkuu jaribu kuwasiliana na uongozi wa chadema uliokaribu nawe, hata kama hujui basi uliza kwa wenyeji,sio kila jambo la lu-post humu kabla ya kuonyesha jitihada za kutaka kufanikisha, maswala mengine ni madogo au unataka kuonyesha kuwa cdm hawana ofisi huko arumeru?

yeye ameona JF inafaa... na nadhani amefikia wengi zaidi, kumbuka amejumuisha wafanyabiashara pia ambao wanweza kuuza magwanda na bendera

umemuelewa vibaya mno.... kwani chadema wanauza magwanda??
 
Kwa viongozi wa chama, mbunge wetu mtarajiwa joshua nassari, wafanya biashara deal...,,,.. Vijana wa jimbo la arumeru mashariki tunahitaji nembo, bendera, magwanda na vitambulisho vya chama.. Tupo tayari kununua kwa bei yoyote tutakayouziwa,,, tunajua chama chetu ni kichanga hakitoweza kutugawia watu wote kama vijana tunaokipenda chama tupo tayari kuchangia pesa kuvipata vitu hivyo...pia waendesha toyo wa kituo cha leganga wanaitaji bendera maana ziliishia usa river... Chama chetu kitajengwa na vijana wenye hari... Nawakilisha...
ukiiga kunya kwa tembo utapasuka msamba. Nani sasa wa kutoa hivyo vitu? Mbowe au SLaa? hapo pagumu.
 
Mgonjwa weee. Vijana bila ya wazee au hujui kuwa mtei ni msemaji mkuu wa chadema?
Kwa viongozi wa chama, mbunge wetu mtarajiwa joshua nassari, wafanya biashara deal...,,,.. Vijana wa jimbo la arumeru mashariki tunahitaji nembo, bendera, magwanda na vitambulisho vya chama.. Tupo tayari kununua kwa bei yoyote tutakayouziwa,,, tunajua chama chetu ni kichanga hakitoweza kutugawia watu wote kama vijana tunaokipenda chama tupo tayari kuchangia pesa kuvipata vitu hivyo...pia waendesha toyo wa kituo cha leganga wanaitaji bendera maana ziliishia usa river... Chama chetu kitajengwa na vijana wenye hari... Nawakilisha...
 
mkuu jaribu kuwasiliana na uongozi wa chadema uliokaribu nawe, hata kama hujui basi uliza kwa wenyeji,sio kila jambo la lu-post humu kabla ya kuonyesha jitihada za kutaka kufanikisha, maswala mengine ni madogo au unataka kuonyesha kuwa cdm hawana ofisi huko arumeru?

Hii nayo ni njia sahihi. CHADEMA inatumia ICT kwa kuwa wanachama wake wengi wanatumia internet. Ulitaka aende kwa mjumbe wa nyumba kumi?
 
Back
Top Bottom