Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,062
- 3,620
Salamu kwako pia, hapa ni mwendo wa some highland single malts double double doubles tu.
Mkavirondo Yesu kaletewa kwenye meli lakini mvinyo kaujua kabla.
Asante sanaaa Lady doctor, umepoteaa sana dah
Wishing you Washawasha, Kiranga, Nyani Ngabu, Excel, charming Lady, Baba V, Bujubuji, Valentina, masai dada, sokwe, Heaven on Earth, my sweet amu, Ngongoseke, utafiti, ICHANA, Dinazarde, farkhina na mabeste wangu wotee, big hug n happy friday
Mwalimu aliingia darasani akiwa tafrani amechoka sana akawataka w'funzi wote wakae kimya kilikuwa ni kipindi cha dini mara usingizi ukamchukuwa pale pale darasani, ghafla mkaguzi akaingia akasimama pembeni kwa yule mwalim. Mara mwalim alizinduka huku akipiga miayo alipotupa macho pembeni alimuona mkaguzi ndipo alipojibabaisha na kuwaambia w'funzi: "Na Hivi ndivyo walivyolala WANAFUNZI wa YESU, walipokua wanamsubiri kule mlimani, Jee kuna mwenye swali"? mkaguzi akapiga makofi na kumsifia kwa kufundisha kwa vitendo.
Nikutakie kwaresma njema mpendwa KOKUTONA. Afu leo sitaki uchokozi wozap kule.
Pokea salamu zangu za Pasaka Jerry
Kaka Jerrymsigwa nashkuru na sana, na wewe pia heri ya sikukuu hii. kabanga, Mr Rocky, Mndengereko, mwanangu miss chagga, shem DEMBA na wengine weeengi sana nawatakia sikukuu njema, ujumbe ukipata salam nawe kamata kalamu
Waoh thanks sana KOKUTONA nawewe pia uwe na ijumaa kuu njema bila kuwasahau Nicas Mtei mwekundu Rogie miss neddy Mentor Evelyn Salt Madame B lusungo King'ast charming lady Horseshoe Arch Heaven on Earth dah na friends wote miye nawaambia hivi....MUSILE NYAMA LEO wala kugegedana hadi jpiliii!!! Ha ha !!
thanks dady na we pia.. love u