Delly Mandah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 390
- 194
Wakuu naombakujua kifaa tajwa hapo juu naweza pata wap kwa hapa Dsm
Nairobi zipo nyingi mkuu,nitafute tuongeeWakuu naombakujua kifaa tajwa hapo juu naweza pata wap kwa hapa Dsm
Ukipata niambie mimi pia naitaka
Option nyingine ni kununua mtandaoni
Nimezunguka kariakoo yote pamoja na kuwatumia Mafundi,,,hazipo zaid ya zile za kuunganishwa na simu ya mkononUkipata niambie mimi pia naitaka
Option nyingine ni kununua mtandaoni
Kuna jamaa hapo amesema zipo nairobiNimezunguka kariakoo yote pamoja na kuwatumia Mafundi,,,hazipo zaid ya zile za kuunganishwa na simu ya mkonon