Kama inawekana basi wasisahau na kila siti
kuweka sehemu ya kuchajia simu.
unaongelea wireless wakati magari yanaishiwa mafuta kabla ya mwisho wa kituo!!! na nchi nzima haina broadband, maisha ya ulaya usiyalete bongo. kuna mambo ya msingi tunatakiwa kufanya kwanza kabla ya wireless e.g stable power