Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha "kiulinzi" kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu.

Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari mmapya zaidi ya 700 leo na yanasambazwa nchi nzima.

Najiuliza, hatua hizi za kuonyesha ukakamavu na uimara wa ulinzi leo hii ambapo tunakaribia kutimiza haki yetu ya kidemokrasia na kikatiba inatokana na nini?

Iweje ghafla kuwe na umuhimu wa kuhakikisha ulinzi na usalama uko imara zaidi kwa tendo la kuaminiana na linalohitaji amani, busara na hekima kuhakikisha katiba yetu na demkorasia tunayo ihubiri na kujisifia kuwa na amani, utulivu na mshikamano ni kitu cha kweli na si ulaghai na kiini macho?

Ni kitu gani hasa ambacho si sahihi na kina walakini kufikia hatua wananchi wanaweza kukosa imani na utiifu kuanzisha fujo na Serikali kuonelea ulazima wa kutunisha misuli "kudhibiti" amani?

Najiuliza ni wapi tumekosea kwamba Serikali na hasa Chama Tawala kukosa kuaminika kwa wale ambao si wafuasi wa Chama Tawala?

Je ni nchi ya namna gani tunaijenga inapofikia Serikali iliyoko madarakani inaonekana imejenga mazingira yasiyo ya haki, demokrasia na utu kwa manufaa ya Taifa na kuwa na upendeleo au kulazimisha Chama kilichoko madarakani kitumie dola kujihakikishia muendelezo wa utawala wake?

Hisia za hujuma zilizoonyeshwa katika chaguzi zilizopita zimepuuziwa. Mazingira ya rushwa yameendela. Vitisho vya kidola na nguvu za dola na hata kauli kuashiria mwananchi akitumia haki yake kikatiba na kuchagua anachokipenda kwa utashi wake, kuna hatari ya nchi kuingia machafuko na hata kumwaga damu.

Hii imetokea hata wagombea wa urasi, Ubunge na Udiwani kutoa kauli za vitisho kwa wananchi kuwa wakiacha kupigia chama fulani (hasa chama Tawala), nchi itaingiwa matatizo au hata wananchi kutishiwa kunyimwa kusikilizwa au huduma za maendeleo.

Mwaka huu pekee, Mgombea wa Chama Tawala John Magufuli na mgombea mwenza Salma Suluhu wametoa kauli za kuonyesha kuwa wananchi wakiamua kupigia vyama vingine ambavyo si CCM, basi nchi itageuka na kuwa na taswira ya nchi zilioingia vita (libya, Misri) na kuwa chama tawala-CCM kikishinda, basi waliopigia kura upinzani wawakilishi wao hawatasikilizwa wala kukaribishwa ikulu.

Hali hii ilifanyika pia wakati wa Urais wa Mkapa wakati aliyekuwa Waziri Mkuu Sumaye, alipotoa kauli mkoani Kilimanjaro kuwa wakichagua upinzani, watapoteza huduma za maendeleo na mgawanyo wa fungu la fedha kutoka Serikali kuu.

Hata Waziri Mkuu anayeondoka Mizengo Pinda alipotoa kauli yake kuwa "Wapinzani Wapigwe tuu" au Spika wa Bunge (Makinda na Ndungai) kutumia wingi wa kura za Kibunge kuzima hoja, tulikuwa tunajengewa demokrasia ya namna gani?

Je ni kwa nini ulazima huu wa kutumia vitisho kuhakikisha Chama Tawala na Ssrikali zake zinaendela kuwa madarakani?

Ukitafakari hata sheria ya Mtandao (Cyber Crime) au ya Takwimu (Statistics), zimelenga kuleta udhibiti wa nini Serikali inakitaka na kuonelea ni sawa na si uhakiki wa mambo yanayosemwa au usimamizi wa sheria na kanuni.

Leo hii, Serikali imeipa jeshi la Polisi magari zaidi ya 700 kufanya doria na ulinzi wakati wa uchaguzi, kwa nini hatushituki na kuhoji kulikoni?

Serikali hii ambayo imeendelea kusema haina fedha, imetaka kukopa benk za biashara, imeangusha shilingi kwa kukosa thamani, haina fedha za kuzalisha umeme na kupoteza mapato ya uzalishaji kutokana na umeme haba, ilipata wapi fedha kujitutumua kuhakikisha Jeshi liko tayari na Polisi?

Je kulikuwa na ulazima wa kujiimarisha kijeshi kuhakikisha demokrasia na haki ya kikatiba ya kupiga kura inafanyika kwa usalama?

Je "usalama" huu ni kulinda maslahi wa Taifa au kulinda maslahi na ustawi wa mamlaka ya Chama Tawala?

Mwaka 2000-2001 tuliona vurugu za hali ya juu Zanzibar mpaka watu walitolewa kafara walipokuwa anapigania haki yao na kuhoji kudhulumiwa haki hii.

Tumeona kwa miaka 20 sasa, CCM ikituhumiwa kutima dola na kutoa mifano ya nchi zilioingia mifarakano na umwagaji damu kuhakikisha kinaendelea kuhodhi madaraka na dhamana ya kutawala nchi (si kuongoza, bali ni kutawala na hivyo kujiita Chama Tawala)!

Tumeshuhudia malalamiko ya ukiukwaji wa haki na kukosekana na mfumo usio na upendeleo kuendesha siasa na chaguzi zetu: Tume ya uchaguzi, msajili wa vyama, mahakama, polisi, sheria za uchaguzi, serikali za mitaa, usalama wa taifa na hata katiba, vikiegemea kuipa CCM upendeleo na kuihakikishia ushindi.

Je kuna maana gani basi kuwa na uchaguzi mkuu na kuhubiri demokrasia ikiwa mfumo mzima wa uendeshaji siasa, vyama na uchaguzi unategemea ridhaa ya CCM kama chama tawala?

Leo hii Wafadhili na waangalizi wa Uchaguzi wanakuja kufanya nini cha unafiki? kuhakikisha haki inatendeka au kuhakikisha usalama wa maslahi yao unatunzwa?

Leo watendaji wa CCM wanapotoa kauli na kufanya vitendo vya kusema hata kwa goli la mkono ikiwa ni kuashiria hata kwa dhuluma na si uhalali lazima CCM ishinde kunatupa Watanzania hisia gani?

Najiuliza, je kama katiba yetu ingekuwa thabiti na isiyo ya upendeleo, kama tume yta uchaguzi ingekuwa huru, kama Polisi, Mahakama, Usalama wa Taifa na Jeshi vingekuwa vyombo huru na si vijakazi wa Chama Tawala (urithi wa mfumo wa chama kimoja), leo tungekuwa na kutokuaminiana na hata kuwa na haja ya kutenga fungu la fedha kudumisha dola ya CCM na si kuzitumia fedha hizi kwa shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi kama maji safi, zahanati na elimu?

Je magari haya 700 ya polisi yangeweza kujenga visima vingapi katika vijiji vyetu vyote?

Je magari haya 700 na ushee ya polisi kutishia watu yangeweza kutupatia magari mangapi ya kubebea wagonjwa au zimamoto?

Je magari haya 700 gharama yake ingeweza kutujengea vituo vingapi vya afya vidogo vidogo pamoja na zana kutoa huduma za msingi na kwanza za kiafya kuhakikisha kinga na si tiba?

Najiuliza zawadi hii kwa polisi kama ni takrima ya shukrani na kuwakumbusha Polisi kuwa CCM ni baba na mama yao na wajibu wao wa utiifu ni kwa CCM na si katiba ya nchi?

Jeshi letu lilipozawadiwa vifaa vipya vya kijeshi na hata leo kuzinduliwa ujenzi wa kuboresha kituo cha kijeshi Ngerengere ni kurubuni utii wa Jeshi kwa chama Tawala?

Je Katiba yetu, ingekuwa ni yenye demokrasia ya kweli kama wananchi walivyopendekeza (Rasimu ya Katiba ya Warioba), tume ya uchaguzi ingekuwa huru na mchakato mzima wa uchaguzi ungefanyika kwa umakini na haki, kungekuwa na ulazima wa wananchi kuambiwa wahakikishe wanalinda kura na kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura kulinda haki zao?

Je tume ya uchaguzi ingejiendesha bila utata wa Daftari la kupiga kura, uandikishaji wa upiga kura, uhgakiki, usalama na usimamizi wa kupiga kura, haki na usawa wa kutangaza matokeo ya kupiga kura je tungekuwa tunaitilia mashaka ya kuweka kambi ya mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura?

je leo hii tunapoona wagombea wa Chama Tawala wakitoa kauli chafu bila kukemewa lakini vyama vya upinzani wakikemewa na tume ya uchaguzi kwa kauli, aina ya kampeni au vipeperushi tunajiuliza upendeleo huu ni wa nini?

Tulipoona Red brigade ya Chadema au Vikosi vya ulinzi CUF, wakijijenga ilikuwa ni kwa ajili ya nini? ikiwa wao wanashurtishwa kufuta "vikosi" lakini Green Guard wa CCM wana nguvu kuliko hata polisi na wakuu wa Wilaya, hatuoni kuwa tuna tatizo la msingi?

Leo kauli za uchochezi mpaka kufikia Jeshi kuwa mguu sawa na batalioni kusambazwa kila kona ya nchi, je tunajilidna dhidi ya adui gani? Adui demokrasia?

Leo halaiki za ukakamavu na ubora wa vyombo vya ulinzi na usalama ni kuhitimisha na kukamilisha mbegu chafu iliyopandwa kwenye vichwa vya Watanzania kuwa wakichagua Upinzani badala ya Chama Tawala CCM nchi itachafuka?

Leo wagombea wa CCM waliokuwa na madaraka ya Kiserikali wanapotumia madaraka hayo kuabudiwa majimboni mpaka kuitwa Nkurunzinza (Mwakyembe Kyela, na wenginewe), kunatupa picha gani?

Ni taswira gani tunaipanda kwenye vichwa na mawazo ya watoto na vijana wetu watakaopiga kura siku za baadae? Tunajenga taifa la namna gani lenye kujaa vitisho na kuhalalisha utawala wa mabavu?

Je ni kwa miaka na chaguzi ngapi vyama vya upinzani viendelee kuishi kwa woga au kujilinda kishari na kueneza imani ya kutoiamini Serikali na Chama Tawala CCM?

Je ni gharama gani tumetumia mpaka sasa kulihujumu Taifa na Watanzania haki yao ya kidemokrasia kudumisha mfumo dume na dola wa Chama tawala CCM?

Je ni gharama gani za kibajeti na kifedha Serikali imeingina na itaingia na kuminya kodi zetu kujihakikishia ushindi na utawala wa kudumu badala ya kuunda mazingira safi na mfumo bora wa kusimamia haki ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba?

Ni damu nyingi kiasi gani na roho ngapi zipotee kutetea haki hii ya kuzaliwa?
Kwa kweli umeongea kwa uchungu mwenye masikio na asikie
 
Wewe ng'ombe nini!!! Unawaitaje watu wa ukawa wapumbavu? Mbona hivyo vifaa visinunuliwe kipindi hicho kabla ya uchaguzi leo hii kipindi cha uchaguzi ndio imefikia muda wa kuvinunua? Acha kampeni uchwara, umeongea kwasababu wewe ni fisiem, Hamna point ya maana hapo wewe ni pointless na msengenyaji

Acha kumsifia jamaa! Ng'ombe gani mwenye akili fupi namna hiyo??
 
NN,
Jenerali Ulimwengu aliwahi kuandika makala huko nyuma kuwa hata mambo ya kipuuzi sasa yametushinda!!
CCM wamewekeza katika hujuma, vitisho na uchakachuaji illihali eti wanahubiri amani.....ipi? kivipi?

Haki haiombwi bali hudaiwa - hivyo tutaidai na itapatikana tu. Safari hii wakikataa maamuzi ya wananchi kwenye sanduku la kura historia itamhukumu Kikwete, Kinana na CCM sasa na hata milele kwa kosa hilo ovu kabisa.

Rai yangu ni hii: Hata kama CCM wameshindwa kuheshimu katiba na taratibu za chama chao ni budi wasipewe nafasi kufanya hivyo katika ngazi ya Taifa. Lazima tuweke mpaka unaoonekana ya kuwa uhuni huo ni huko kwenye ngazi ya vyama.

Tanzania ni ya kila raia wa Tanzania mwenye na asiye na chama, na ni muhimu kuliko chama chochote cha siasa ikiwemo CCM.

The timing is definitely suspect.

And like I said earlier, it comes off as an intimidation tactic.

I don't think for one second that it [the timing] was an accident. I believe it was by design.

That is why I fully understand when people look at the whole thing with a skewed eye.

Now, they may very well be in need of all those vehicles and other equipment necessary to do their work effectively.

But the timing is one of those things that make you go hmmm.....!!!

Personally I don't think our police are there to 'serve and protect' but rather are pawns in an effort to 'suppress and control'.
 
Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha "kiulinzi" kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu.

Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari mmapya zaidi ya 700 leo na yanasambazwa nchi nzima.

Najiuliza, hatua hizi za kuonyesha ukakamavu na uimara wa ulinzi leo hii ambapo tunakaribia kutimiza haki yetu ya kidemokrasia na kikatiba inatokana na nini?

Iweje ghafla kuwe na umuhimu wa kuhakikisha ulinzi na usalama uko imara zaidi kwa tendo la kuaminiana na linalohitaji amani, busara na hekima kuhakikisha katiba yetu na demkorasia tunayo ihubiri na kujisifia kuwa na amani, utulivu na mshikamano ni kitu cha kweli na si ulaghai na kiini macho?

Ni kitu gani hasa ambacho si sahihi na kina walakini kufikia hatua wananchi wanaweza kukosa imani na utiifu kuanzisha fujo na Serikali kuonelea ulazima wa kutunisha misuli "kudhibiti" amani?

Najiuliza ni wapi tumekosea kwamba Serikali na hasa Chama Tawala kukosa kuaminika kwa wale ambao si wafuasi wa Chama Tawala?

Je ni nchi ya namna gani tunaijenga inapofikia Serikali iliyoko madarakani inaonekana imejenga mazingira yasiyo ya haki, demokrasia na utu kwa manufaa ya Taifa na kuwa na upendeleo au kulazimisha Chama kilichoko madarakani kitumie dola kujihakikishia muendelezo wa utawala wake?

Hisia za hujuma zilizoonyeshwa katika chaguzi zilizopita zimepuuziwa. Mazingira ya rushwa yameendela. Vitisho vya kidola na nguvu za dola na hata kauli kuashiria mwananchi akitumia haki yake kikatiba na kuchagua anachokipenda kwa utashi wake, kuna hatari ya nchi kuingia machafuko na hata kumwaga damu.

Hii imetokea hata wagombea wa urasi, Ubunge na Udiwani kutoa kauli za vitisho kwa wananchi kuwa wakiacha kupigia chama fulani (hasa chama Tawala), nchi itaingiwa matatizo au hata wananchi kutishiwa kunyimwa kusikilizwa au huduma za maendeleo.

Mwaka huu pekee, Mgombea wa Chama Tawala John Magufuli na mgombea mwenza Salma Suluhu wametoa kauli za kuonyesha kuwa wananchi wakiamua kupigia vyama vingine ambavyo si CCM, basi nchi itageuka na kuwa na taswira ya nchi zilioingia vita (libya, Misri) na kuwa chama tawala-CCM kikishinda, basi waliopigia kura upinzani wawakilishi wao hawatasikilizwa wala kukaribishwa ikulu.

Hali hii ilifanyika pia wakati wa Urais wa Mkapa wakati aliyekuwa Waziri Mkuu Sumaye, alipotoa kauli mkoani Kilimanjaro kuwa wakichagua upinzani, watapoteza huduma za maendeleo na mgawanyo wa fungu la fedha kutoka Serikali kuu.

Hata Waziri Mkuu anayeondoka Mizengo Pinda alipotoa kauli yake kuwa "Wapinzani Wapigwe tuu" au Spika wa Bunge (Makinda na Ndungai) kutumia wingi wa kura za Kibunge kuzima hoja, tulikuwa tunajengewa demokrasia ya namna gani?

Je ni kwa nini ulazima huu wa kutumia vitisho kuhakikisha Chama Tawala na Ssrikali zake zinaendela kuwa madarakani?

Ukitafakari hata sheria ya Mtandao (Cyber Crime) au ya Takwimu (Statistics), zimelenga kuleta udhibiti wa nini Serikali inakitaka na kuonelea ni sawa na si uhakiki wa mambo yanayosemwa au usimamizi wa sheria na kanuni.

Leo hii, Serikali imeipa jeshi la Polisi magari zaidi ya 700 kufanya doria na ulinzi wakati wa uchaguzi, kwa nini hatushituki na kuhoji kulikoni?

Serikali hii ambayo imeendelea kusema haina fedha, imetaka kukopa benk za biashara, imeangusha shilingi kwa kukosa thamani, haina fedha za kuzalisha umeme na kupoteza mapato ya uzalishaji kutokana na umeme haba, ilipata wapi fedha kujitutumua kuhakikisha Jeshi liko tayari na Polisi?

Je kulikuwa na ulazima wa kujiimarisha kijeshi kuhakikisha demokrasia na haki ya kikatiba ya kupiga kura inafanyika kwa usalama?

Je "usalama" huu ni kulinda maslahi wa Taifa au kulinda maslahi na ustawi wa mamlaka ya Chama Tawala?

Mwaka 2000-2001 tuliona vurugu za hali ya juu Zanzibar mpaka watu walitolewa kafara walipokuwa anapigania haki yao na kuhoji kudhulumiwa haki hii.

Tumeona kwa miaka 20 sasa, CCM ikituhumiwa kutima dola na kutoa mifano ya nchi zilioingia mifarakano na umwagaji damu kuhakikisha kinaendelea kuhodhi madaraka na dhamana ya kutawala nchi (si kuongoza, bali ni kutawala na hivyo kujiita Chama Tawala)!

Tumeshuhudia malalamiko ya ukiukwaji wa haki na kukosekana na mfumo usio na upendeleo kuendesha siasa na chaguzi zetu: Tume ya uchaguzi, msajili wa vyama, mahakama, polisi, sheria za uchaguzi, serikali za mitaa, usalama wa taifa na hata katiba, vikiegemea kuipa CCM upendeleo na kuihakikishia ushindi.

Je kuna maana gani basi kuwa na uchaguzi mkuu na kuhubiri demokrasia ikiwa mfumo mzima wa uendeshaji siasa, vyama na uchaguzi unategemea ridhaa ya CCM kama chama tawala?

Leo hii Wafadhili na waangalizi wa Uchaguzi wanakuja kufanya nini cha unafiki? kuhakikisha haki inatendeka au kuhakikisha usalama wa maslahi yao unatunzwa?

Leo watendaji wa CCM wanapotoa kauli na kufanya vitendo vya kusema hata kwa goli la mkono ikiwa ni kuashiria hata kwa dhuluma na si uhalali lazima CCM ishinde kunatupa Watanzania hisia gani?

Najiuliza, je kama katiba yetu ingekuwa thabiti na isiyo ya upendeleo, kama tume yta uchaguzi ingekuwa huru, kama Polisi, Mahakama, Usalama wa Taifa na Jeshi vingekuwa vyombo huru na si vijakazi wa Chama Tawala (urithi wa mfumo wa chama kimoja), leo tungekuwa na kutokuaminiana na hata kuwa na haja ya kutenga fungu la fedha kudumisha dola ya CCM na si kuzitumia fedha hizi kwa shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi kama maji safi, zahanati na elimu?

Je magari haya 700 ya polisi yangeweza kujenga visima vingapi katika vijiji vyetu vyote?

Je magari haya 700 na ushee ya polisi kutishia watu yangeweza kutupatia magari mangapi ya kubebea wagonjwa au zimamoto?

Je magari haya 700 gharama yake ingeweza kutujengea vituo vingapi vya afya vidogo vidogo pamoja na zana kutoa huduma za msingi na kwanza za kiafya kuhakikisha kinga na si tiba?

Najiuliza zawadi hii kwa polisi kama ni takrima ya shukrani na kuwakumbusha Polisi kuwa CCM ni baba na mama yao na wajibu wao wa utiifu ni kwa CCM na si katiba ya nchi?

Jeshi letu lilipozawadiwa vifaa vipya vya kijeshi na hata leo kuzinduliwa ujenzi wa kuboresha kituo cha kijeshi Ngerengere ni kurubuni utii wa Jeshi kwa chama Tawala?

Je Katiba yetu, ingekuwa ni yenye demokrasia ya kweli kama wananchi walivyopendekeza (Rasimu ya Katiba ya Warioba), tume ya uchaguzi ingekuwa huru na mchakato mzima wa uchaguzi ungefanyika kwa umakini na haki, kungekuwa na ulazima wa wananchi kuambiwa wahakikishe wanalinda kura na kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura kulinda haki zao?

Je tume ya uchaguzi ingejiendesha bila utata wa Daftari la kupiga kura, uandikishaji wa upiga kura, uhgakiki, usalama na usimamizi wa kupiga kura, haki na usawa wa kutangaza matokeo ya kupiga kura je tungekuwa tunaitilia mashaka ya kuweka kambi ya mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura?

je leo hii tunapoona wagombea wa Chama Tawala wakitoa kauli chafu bila kukemewa lakini vyama vya upinzani wakikemewa na tume ya uchaguzi kwa kauli, aina ya kampeni au vipeperushi tunajiuliza upendeleo huu ni wa nini?

Tulipoona Red brigade ya Chadema au Vikosi vya ulinzi CUF, wakijijenga ilikuwa ni kwa ajili ya nini? ikiwa wao wanashurtishwa kufuta "vikosi" lakini Green Guard wa CCM wana nguvu kuliko hata polisi na wakuu wa Wilaya, hatuoni kuwa tuna tatizo la msingi?

Leo kauli za uchochezi mpaka kufikia Jeshi kuwa mguu sawa na batalioni kusambazwa kila kona ya nchi, je tunajilidna dhidi ya adui gani? Adui demokrasia?

Leo halaiki za ukakamavu na ubora wa vyombo vya ulinzi na usalama ni kuhitimisha na kukamilisha mbegu chafu iliyopandwa kwenye vichwa vya Watanzania kuwa wakichagua Upinzani badala ya Chama Tawala CCM nchi itachafuka?

Leo wagombea wa CCM waliokuwa na madaraka ya Kiserikali wanapotumia madaraka hayo kuabudiwa majimboni mpaka kuitwa Nkurunzinza (Mwakyembe Kyela, na wenginewe), kunatupa picha gani?

Ni taswira gani tunaipanda kwenye vichwa na mawazo ya watoto na vijana wetu watakaopiga kura siku za baadae? Tunajenga taifa la namna gani lenye kujaa vitisho na kuhalalisha utawala wa mabavu?

Je ni kwa miaka na chaguzi ngapi vyama vya upinzani viendelee kuishi kwa woga au kujilinda kishari na kueneza imani ya kutoiamini Serikali na Chama Tawala CCM?

Je ni gharama gani tumetumia mpaka sasa kulihujumu Taifa na Watanzania haki yao ya kidemokrasia kudumisha mfumo dume na dola wa Chama tawala CCM?

Je ni gharama gani za kibajeti na kifedha Serikali imeingina na itaingia na kuminya kodi zetu kujihakikishia ushindi na utawala wa kudumu badala ya kuunda mazingira safi na mfumo bora wa kusimamia haki ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba?

Ni damu nyingi kiasi gani na roho ngapi zipotee kutetea haki hii ya kuzaliwa?

Watz bwana hawaishiwi vimbwanga. Na hii ni ufinyu wa elimu ktk vichwa vyetu. Siku ikitokea jeshi la polisi wameshindwa kufanya kazi kwasababu ya ukosefu wa vitendea kazi utakuwa wa kwanza kuilaumu serikali leo wamejitahidi kununua hivyo vitendea kazi mnalaumu. Nyie ndio watanzania tunaowategemea kuleta mabadiliko!!!!!!!
 
nimemkumbuka Rev Masanilo huyu jamaa majibu yake kwa Magamba yalikuwa yananikosha sana,ivi yuko wapi siku izi!!
 
Mkuu jamii01


Kwa akili za Kushikiwa mtu hawezi liona hili. OLESAIDIMU Akili yake Kashikiwa na Watu
Hawezi kuliona hili

Amani kwanza hata hao wanaozalia chini wanataka amani wakati wa kujifungua, wakirudi nyumbani na watoto wao wanataka mazingira salama, watoto hao wakienda shule wanahitaji utulivu. . . .

Kama yamenunuliwa nje ya bajeti sawa ila kama yamenunuliwa ndani ya bajeti iliyopitishwa na bunge huna hoja
 
Last edited by a moderator:
Hakuna amani itayokavunjika, kuna watu wapo kuombea taifa usiku na mchana.
 
Kama huna la kuchangia ni bora ukae kimya kuliko kumwaga uharo hapa!

Amani, amani, amani. . . .Mkuranga unakumbuka??!!! Misugusugu??!! Shinyanga??!! Staki Shari??!!

Rapid Response Units bila gari utawabeba mgongoni kwako??!!!
Wewe na mkeo mnaweza beba askari wangapi wa RRU???!!

Nyambaf kabsaaaaa
 
Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha "kiulinzi" kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu.

Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari mmapya zaidi ya 700 leo na yanasambazwa nchi nzima.

Najiuliza, hatua hizi za kuonyesha ukakamavu na uimara wa ulinzi leo hii ambapo tunakaribia kutimiza haki yetu ya kidemokrasia na kikatiba inatokana na nini?

Iweje ghafla kuwe na umuhimu wa kuhakikisha ulinzi na usalama uko imara zaidi kwa tendo la kuaminiana na linalohitaji amani, busara na hekima kuhakikisha katiba yetu na demkorasia tunayo ihubiri na kujisifia kuwa na amani, utulivu na mshikamano ni kitu cha kweli na si ulaghai na kiini macho?

Ni kitu gani hasa ambacho si sahihi na kina walakini kufikia hatua wananchi wanaweza kukosa imani na utiifu kuanzisha fujo na Serikali kuonelea ulazima wa kutunisha misuli "kudhibiti" amani?

Najiuliza ni wapi tumekosea kwamba Serikali na hasa Chama Tawala kukosa kuaminika kwa wale ambao si wafuasi wa Chama Tawala?

Je ni nchi ya namna gani tunaijenga inapofikia Serikali iliyoko madarakani inaonekana imejenga mazingira yasiyo ya haki, demokrasia na utu kwa manufaa ya Taifa na kuwa na upendeleo au kulazimisha Chama kilichoko madarakani kitumie dola kujihakikishia muendelezo wa utawala wake?

Hisia za hujuma zilizoonyeshwa katika chaguzi zilizopita zimepuuziwa. Mazingira ya rushwa yameendela. Vitisho vya kidola na nguvu za dola na hata kauli kuashiria mwananchi akitumia haki yake kikatiba na kuchagua anachokipenda kwa utashi wake, kuna hatari ya nchi kuingia machafuko na hata kumwaga damu.

Hii imetokea hata wagombea wa urasi, Ubunge na Udiwani kutoa kauli za vitisho kwa wananchi kuwa wakiacha kupigia chama fulani (hasa chama Tawala), nchi itaingiwa matatizo au hata wananchi kutishiwa kunyimwa kusikilizwa au huduma za maendeleo.

Mwaka huu pekee, Mgombea wa Chama Tawala John Magufuli na mgombea mwenza Salma Suluhu wametoa kauli za kuonyesha kuwa wananchi wakiamua kupigia vyama vingine ambavyo si CCM, basi nchi itageuka na kuwa na taswira ya nchi zilioingia vita (libya, Misri) na kuwa chama tawala-CCM kikishinda, basi waliopigia kura upinzani wawakilishi wao hawatasikilizwa wala kukaribishwa ikulu.

Hali hii ilifanyika pia wakati wa Urais wa Mkapa wakati aliyekuwa Waziri Mkuu Sumaye, alipotoa kauli mkoani Kilimanjaro kuwa wakichagua upinzani, watapoteza huduma za maendeleo na mgawanyo wa fungu la fedha kutoka Serikali kuu.

Hata Waziri Mkuu anayeondoka Mizengo Pinda alipotoa kauli yake kuwa "Wapinzani Wapigwe tuu" au Spika wa Bunge (Makinda na Ndungai) kutumia wingi wa kura za Kibunge kuzima hoja, tulikuwa tunajengewa demokrasia ya namna gani?

Je ni kwa nini ulazima huu wa kutumia vitisho kuhakikisha Chama Tawala na Ssrikali zake zinaendela kuwa madarakani?

Ukitafakari hata sheria ya Mtandao (Cyber Crime) au ya Takwimu (Statistics), zimelenga kuleta udhibiti wa nini Serikali inakitaka na kuonelea ni sawa na si uhakiki wa mambo yanayosemwa au usimamizi wa sheria na kanuni.

Leo hii, Serikali imeipa jeshi la Polisi magari zaidi ya 700 kufanya doria na ulinzi wakati wa uchaguzi, kwa nini hatushituki na kuhoji kulikoni?

Serikali hii ambayo imeendelea kusema haina fedha, imetaka kukopa benk za biashara, imeangusha shilingi kwa kukosa thamani, haina fedha za kuzalisha umeme na kupoteza mapato ya uzalishaji kutokana na umeme haba, ilipata wapi fedha kujitutumua kuhakikisha Jeshi liko tayari na Polisi?

Je kulikuwa na ulazima wa kujiimarisha kijeshi kuhakikisha demokrasia na haki ya kikatiba ya kupiga kura inafanyika kwa usalama?

Je "usalama" huu ni kulinda maslahi wa Taifa au kulinda maslahi na ustawi wa mamlaka ya Chama Tawala?

Mwaka 2000-2001 tuliona vurugu za hali ya juu Zanzibar mpaka watu walitolewa kafara walipokuwa anapigania haki yao na kuhoji kudhulumiwa haki hii.

Tumeona kwa miaka 20 sasa, CCM ikituhumiwa kutima dola na kutoa mifano ya nchi zilioingia mifarakano na umwagaji damu kuhakikisha kinaendelea kuhodhi madaraka na dhamana ya kutawala nchi (si kuongoza, bali ni kutawala na hivyo kujiita Chama Tawala)!

Tumeshuhudia malalamiko ya ukiukwaji wa haki na kukosekana na mfumo usio na upendeleo kuendesha siasa na chaguzi zetu: Tume ya uchaguzi, msajili wa vyama, mahakama, polisi, sheria za uchaguzi, serikali za mitaa, usalama wa taifa na hata katiba, vikiegemea kuipa CCM upendeleo na kuihakikishia ushindi.

Je kuna maana gani basi kuwa na uchaguzi mkuu na kuhubiri demokrasia ikiwa mfumo mzima wa uendeshaji siasa, vyama na uchaguzi unategemea ridhaa ya CCM kama chama tawala?

Leo hii Wafadhili na waangalizi wa Uchaguzi wanakuja kufanya nini cha unafiki? kuhakikisha haki inatendeka au kuhakikisha usalama wa maslahi yao unatunzwa?

Leo watendaji wa CCM wanapotoa kauli na kufanya vitendo vya kusema hata kwa goli la mkono ikiwa ni kuashiria hata kwa dhuluma na si uhalali lazima CCM ishinde kunatupa Watanzania hisia gani?

Najiuliza, je kama katiba yetu ingekuwa thabiti na isiyo ya upendeleo, kama tume yta uchaguzi ingekuwa huru, kama Polisi, Mahakama, Usalama wa Taifa na Jeshi vingekuwa vyombo huru na si vijakazi wa Chama Tawala (urithi wa mfumo wa chama kimoja), leo tungekuwa na kutokuaminiana na hata kuwa na haja ya kutenga fungu la fedha kudumisha dola ya CCM na si kuzitumia fedha hizi kwa shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi kama maji safi, zahanati na elimu?

Je magari haya 700 ya polisi yangeweza kujenga visima vingapi katika vijiji vyetu vyote?

Je magari haya 700 na ushee ya polisi kutishia watu yangeweza kutupatia magari mangapi ya kubebea wagonjwa au zimamoto?

Je magari haya 700 gharama yake ingeweza kutujengea vituo vingapi vya afya vidogo vidogo pamoja na zana kutoa huduma za msingi na kwanza za kiafya kuhakikisha kinga na si tiba?

Najiuliza zawadi hii kwa polisi kama ni takrima ya shukrani na kuwakumbusha Polisi kuwa CCM ni baba na mama yao na wajibu wao wa utiifu ni kwa CCM na si katiba ya nchi?

Jeshi letu lilipozawadiwa vifaa vipya vya kijeshi na hata leo kuzinduliwa ujenzi wa kuboresha kituo cha kijeshi Ngerengere ni kurubuni utii wa Jeshi kwa chama Tawala?

Je Katiba yetu, ingekuwa ni yenye demokrasia ya kweli kama wananchi walivyopendekeza (Rasimu ya Katiba ya Warioba), tume ya uchaguzi ingekuwa huru na mchakato mzima wa uchaguzi ungefanyika kwa umakini na haki, kungekuwa na ulazima wa wananchi kuambiwa wahakikishe wanalinda kura na kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura kulinda haki zao?

Je tume ya uchaguzi ingejiendesha bila utata wa Daftari la kupiga kura, uandikishaji wa upiga kura, uhgakiki, usalama na usimamizi wa kupiga kura, haki na usawa wa kutangaza matokeo ya kupiga kura je tungekuwa tunaitilia mashaka ya kuweka kambi ya mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura?

je leo hii tunapoona wagombea wa Chama Tawala wakitoa kauli chafu bila kukemewa lakini vyama vya upinzani wakikemewa na tume ya uchaguzi kwa kauli, aina ya kampeni au vipeperushi tunajiuliza upendeleo huu ni wa nini?

Tulipoona Red brigade ya Chadema au Vikosi vya ulinzi CUF, wakijijenga ilikuwa ni kwa ajili ya nini? ikiwa wao wanashurtishwa kufuta "vikosi" lakini Green Guard wa CCM wana nguvu kuliko hata polisi na wakuu wa Wilaya, hatuoni kuwa tuna tatizo la msingi?

Leo kauli za uchochezi mpaka kufikia Jeshi kuwa mguu sawa na batalioni kusambazwa kila kona ya nchi, je tunajilidna dhidi ya adui gani? Adui demokrasia?

Leo halaiki za ukakamavu na ubora wa vyombo vya ulinzi na usalama ni kuhitimisha na kukamilisha mbegu chafu iliyopandwa kwenye vichwa vya Watanzania kuwa wakichagua Upinzani badala ya Chama Tawala CCM nchi itachafuka?

Leo wagombea wa CCM waliokuwa na madaraka ya Kiserikali wanapotumia madaraka hayo kuabudiwa majimboni mpaka kuitwa Nkurunzinza (Mwakyembe Kyela, na wenginewe), kunatupa picha gani?

Ni taswira gani tunaipanda kwenye vichwa na mawazo ya watoto na vijana wetu watakaopiga kura siku za baadae? Tunajenga taifa la namna gani lenye kujaa vitisho na kuhalalisha utawala wa mabavu?

Je ni kwa miaka na chaguzi ngapi vyama vya upinzani viendelee kuishi kwa woga au kujilinda kishari na kueneza imani ya kutoiamini Serikali na Chama Tawala CCM?

Je ni gharama gani tumetumia mpaka sasa kulihujumu Taifa na Watanzania haki yao ya kidemokrasia kudumisha mfumo dume na dola wa Chama tawala CCM?

Je ni gharama gani za kibajeti na kifedha Serikali imeingina na itaingia na kuminya kodi zetu kujihakikishia ushindi na utawala wa kudumu badala ya kuunda mazingira safi na mfumo bora wa kusimamia haki ya kidemokrasia kwa mujibu wa katiba?

Ni damu nyingi kiasi gani na roho ngapi zipotee kutetea haki hii ya kuzaliwa?



AHSANTE KWA MKEKA GO FOR PhD by Dissertation.
 
Watanzania sijui tumekuwaje kila kitu kikifanyika lazima kikosolewe na kuwekwa sura ya kisiasa,masuala haya ya ulinzi na Usalama ni muhimu bila ya kujali chama chochote,polisi kupewa vitendea kazi sidhani kama ni jambo la ajabu maana wao ndiyo wenye dhamana hiyo na wala si kwa ajili ya kuegemea upande wowote.Siasa imewafanya watu kujiondoa ufahamu mifano ipo mingi mno,mtu anajeruhi watu anakamatwa na kufikishwa polisi ili sheria ichukue mkondo wake,mgombea bila aibu anakusanya watu na kuanzisha Maandamano eti kwenda polisi kumtoa mtuhumiwa kwa nguvu,polisi wanatumia mbinu zao wanamkamata muhusika na wapambe anafikishwa mahakamani,akitoka huko anaanda Press Conference na kulaumu vyombo vya dola kuwa vimembambikizia kesi,ki vipi?,waandishi hata hawahoji maswali kujua sababu za yeye kukamatwa ni zipi,jee iwapo anajua maana ya utawala wa sheria,jee sheria zinasemaje once akitenda kosa la Jinai utaratibu uliopo.Piga kura yako nenda kafanye shughuli zako halafu uone kama kuna polisi atakuja kukufuata kwako na kukukamata,Akili za kuambiwa changanya na zako,kule ndani kuna Wakala wa Chama,kinachokufanya ushinde nje kutwa nzima ni nini,hao wanaokuambia linda kura wako majumbani kwao na familia zao Watch out.
 
The timing is definitely suspect.

And like I said earlier, it comes off as an intimidation tactic.

I don't think for one second that it [the timing] was an accident. I believe it was by design.

That is why I fully understand when people look at the whole thing with a skewed eye.

Now, they may very well be in need of all those vehicles and other equipment necessary to do their work effectively.

But the timing is one of those things that make you go hmmm.....!!!

Personally I don't think our police are there to 'serve and protect' but rather are pawns in an effort to 'suppress and control'.
Me I think,there is nothing to worry about-Kikwete anajua fika kwamba eyes and ears of the world are focusing on Tanzania-a slight miscalculation on his part and ICC will beep him-sioni kama ana guts za kuishia The Hague-hapa ndio watanznia tumebahatika
 
Me I think,there is nothing to worry about-Kikwete anajua fika kwamba eyes and ears of the world are focusing on Tanzania-a slight miscalculation on his part and ICC will beep him-sioni kama ana guts za kuishia The Hague-hapa ndio watanznia tumebahatika

You can't be serious!

I mean, you want to tell me the whole thing happening this close to the election is not a calculated move?

You think it's just a mere coincidence?

And the looks of it don't bother you one bit?

Wow...just wow!!
 
Back
Top Bottom