Wingi wa Njano na Kijani Kwenye Mikutano ya CCM,Maana yake ni nini?

mbongombishi

JF-Expert Member
Sep 23, 2014
588
291
Hivi hii mikutano ya CCM wahudhuriaji wake ni wanachama wa CCM pekee kila mahali?Mbona kila mkutano asilimia 85 ya wahudhuriaji wanakuwa wamevaa njano na kijani tu? Ukiaangalia mikutano ya kampeni ya vyama vingine,huwezi kuta jambo hili. Hii maana yake ni nini? Je,wanaohudhuria mikutano ya CCM wote ni wanachama wao?Kama ni hivyo,ina maana wanachama wa vyama vingine na wasio na vyama CCM haina haja nao au wao ndio hawana haja ya kwenda kuwasikiliza CCM?Je, huyo mgombea uraisi wa CCM ikitokea bahati mbaya kwa Watanzania kuwa amekuwa raisi wa Tanzania,atakuwa ni raisi wa wanachama na wapenzi wa CCM pekee?
 
Maana yake ni rahisi. Hao watu wamekusanywa, wakapewa uniform ndo wakaenda kwenye mikutano.
Nilishawahi kuelezea maana na umuhimu wa Kampeini. Kampeini kazi yake ni kushawishi watu ambao hawajafanya maamuzi waweze kufanya maamuzi ya kukupigia kura. Unapokuwa kwenye Kampeini na kujaza watu ambao wameshafanya maamuzi ya kukupigia kura mpka wanavaa sare za Chama ina maana wewe siku hiyo hujaongezea kura hata moja kwa sababu hizo kura tayari ulikuwa nazo kabla ya mkutano.

Vyama vyote vinatakiwa kujua kazi ya Kampeini.
 
Wamechanganyikiwa wanagawa tshirt kama njugu wanafuzi ndo wamejazwa hapa uwanjani! Kula ccm kura Ukawa
 
12095295_698199063615283_1720417330175154700_o.jpg
 
Eeh! Umeona he!!! Mimi nilishawashitukia hao siku nyingi!!!!
Hivi hii mikutano ya CCM wahudhuriaji wake ni wanachama wa CCM pekee kila mahali?Mbona kila mkutano asilimia 85 ya wahudhuriaji wanakuwa wamevaa njano na kijani tu? Ukiaangalia mikutano ya kampeni ya vyama vingine,huwezi kuta jambo hili. Hii maana yake ni nini? Je,wanaohudhuria mikutano ya CCM wote ni wanachama wao?Kama ni hivyo,ina maana wanachama wa vyama vingine na wasio na vyama CCM haina haja nao au wao ndio hawana haja ya kwenda kuwasikiliza CCM?Je, huyo mgombea uraisi wa CCM ikitokea bahati mbaya kwa Watanzania kuwa amekuwa raisi wa Tanzania,atakuwa ni raisi wa wanachama na wapenzi wa CCM pekee?
 
Loyal Members Of Ccm Are Still Many Na Ccm Ndio Walioanza Kuwa Na Sare Maalum Tofaut Na Chadema,kwahyo Wengi Wanazo Tofauti Na Chadema!!!
 
Maana yake ni rahisi. Hao watu wamekusanywa, wakapewa uniform ndo wakaenda kwenye mikutano.
Nilishawahi kuelezea maana na umuhimu wa Kampeini. Kampeini kazi yake ni kushawishi watu ambao hawajafanya maamuzi waweze kufanya maamuzi ya kukupigia kura. Unapokuwa kwenye Kampeini na kujaza watu ambao wameshafanya maamuzi ya kukupigia kura mpka wanavaa sare za Chama ina maana wewe siku hiyo hujaongezea kura hata moja kwa sababu hizo kura tayari ulikuwa nazo kabla ya mkutano.

Vyama vyote vinatakiwa kujua kazi ya Kampeini.
Unatambua maana ya umoja ni ushindi?. Kampeni za ccm zinalenga kujenga umoja wa wanachama kwanza, halafu ndo zitafutwe za wasioamua tayari.
 
Hivi hii mikutano ya CCM wahudhuriaji wake ni wanachama wa CCM pekee kila mahali?Mbona kila mkutano asilimia 85 ya wahudhuriaji wanakuwa wamevaa njano na kijani tu? Ukiaangalia mikutano ya kampeni ya vyama vingine,huwezi kuta jambo hili. Hii maana yake ni nini? Je,wanaohudhuria mikutano ya CCM wote ni wanachama wao?Kama ni hivyo,ina maana wanachama wa vyama vingine na wasio na vyama CCM haina haja nao au wao ndio hawana haja ya kwenda kuwasikiliza CCM?Je, huyo mgombea uraisi wa CCM ikitokea bahati mbaya kwa Watanzania kuwa amekuwa raisi wa Tanzania,atakuwa ni raisi wa wanachama na wapenzi wa CCM pekee?

ccm imekuwa na brand kwa miaka mingi sasa!
hakuna watu wanaoipenda chadema ila wapo walioumizwa na ccm, so watu hawajiandaa kuwa wanachama wa chadema, wapo wanaotaka mabadiliko, lakini wengi wanamfuata tu Lowasa, akiwa ccm walikuwepo (ref: ulipo tupo), sasa chadema na akimalizia na act pia wataenda. watu wa aina hii kushona au kununua sare za vyama ni hasara kwa kuwa hawajajitengeneza kwa itikadi za siasa bali kufuata maslahi ya either matumbo, wengine propaganda za kikabila etc! kwa wana ccm wengi wao wanafuata itikadi ndio maana ukikatwa wao wanamfuata aliyepitishwa!
 
Hivi hii mikutano ya CCM wahudhuriaji wake ni wanachama wa CCM pekee kila mahali?Mbona kila mkutano asilimia 85 ya wahudhuriaji wanakuwa wamevaa njano na kijani tu? Ukiaangalia mikutano ya kampeni ya vyama vingine,huwezi kuta jambo hili. Hii maana yake ni nini? Je,wanaohudhuria mikutano ya CCM wote ni wanachama wao?Kama ni hivyo,ina maana wanachama wa vyama vingine na wasio na vyama CCM haina haja nao au wao ndio hawana haja ya kwenda kuwasikiliza CCM?Je, huyo mgombea uraisi wa CCM ikitokea bahati mbaya kwa Watanzania kuwa amekuwa raisi wa Tanzania,atakuwa ni raisi wa wanachama na wapenzi wa CCM pekee?

Kijani ni alama ya uhai. Ndio maana hata pharmacy zote alama ya uhai. Take care.
 
Hivi hii mikutano ya CCM wahudhuriaji wake ni wanachama wa CCM pekee kila mahali?Mbona kila mkutano asilimia 85 ya wahudhuriaji wanakuwa wamevaa njano na kijani tu? Ukiaangalia mikutano ya kampeni ya vyama vingine,huwezi kuta jambo hili. Hii maana yake ni nini? Je,wanaohudhuria mikutano ya CCM wote ni wanachama wao?Kama ni hivyo,ina maana wanachama wa vyama vingine na wasio na vyama CCM haina haja nao au wao ndio hawana haja ya kwenda kuwasikiliza CCM?Je, huyo mgombea uraisi wa CCM ikitokea bahati mbaya kwa Watanzania kuwa amekuwa raisi wa Tanzania,atakuwa ni raisi wa wanachama na wapenzi wa CCM pekee?
Unajua maana ya kuhesabu kura kabla hazijapigwa..? Hicho ndicho CCM wanakifanya. Aliyekubali kuvaa safe hadharani hawezi kukunyima kura yake sirini.
Mikutano ya cdm haitabiri idadi ya kura, ndo maana mgombea akishapita asilimia kama 20 ya wahudhuriaji huibua minong'ono isiyoijenga chama. Mfano, mgombea kuhutubia muda mfupi, kushindwa kabisa kuhutubia, n.k.
 
Wingi husababishwa na mgao wa kofia ,tisheti-fulana,na kanga unaofanyika kwenye mikutano na kabla ya mikutano yao.ukikubali kuvaa una hela yako ya sukari au soda.hiyo ndio habari yenyewe..
 
ccm imekuwa na brand kwa miaka mingi sasa!
hakuna watu wanaoipenda chadema ila wapo walioumizwa na ccm, so watu hawajiandaa kuwa wanachama wa chadema, wapo wanaotaka mabadiliko, lakini wengi wanamfuata tu Lowasa, akiwa ccm walikuwepo (ref: ulipo tupo), sasa chadema na akimalizia na act pia wataenda. watu wa aina hii kushona au kununua sare za vyama ni hasara kwa kuwa hawajajitengeneza kwa itikadi za siasa bali kufuata maslahi ya either matumbo, wengine propaganda za kikabila etc! kwa wana ccm wengi wao wanafuata itikadi ndio maana ukikatwa wao wanamfuata aliyepitishwa!
Hizo Tshirts,kofia,khanga na madera wananunua au wanapewa bure?
 
Unajua maana ya kuhesabu kura kabla hazijapigwa..? Hicho ndicho CCM wanakifanya. Aliyekubali kuvaa safe hadharani hawezi kukunyima kura yake sirini.
Mikutano ya cdm haitabiri idadi ya kura, ndo maana mgombea akishapita asilimia kama 20 ya wahudhuriaji huibua minong'ono isiyoijenga chama. Mfano, mgombea kuhutubia muda mfupi, kushindwa kabisa kuhutubia, n.k.

Hizo Tshirts,kofia,khanga na madera,wamenunua wenyewe au wamepewa?
 
Back
Top Bottom