issawema
JF-Expert Member
- May 30, 2013
- 776
- 644
aisee hili swala lilinshangaza sana juzi nkiwa natoka mbeya kuja dar kuanzia makambako nilishuhudia bendera zaidi ya 40 pembezon ya highway za CCM na bendera moja pekee ya CDM sasa naileta kwenu hivi nikwel hawajamaa wameshika sana huko mikoani hususan eneo tajwa hapo juu??
nb: sina ushabiki na chama chochote cha siasa ila nmeshangazwa na hili jambo
nb: sina ushabiki na chama chochote cha siasa ila nmeshangazwa na hili jambo