Una fahamu maana ya "OLE WAKO!".
Au mzee umeingia hapa Full kiroba tayari?
Nakuongeza na andiko la agano Jipya Uone Ulevi umewekwa ktk kundi gani hapa.
Wagalatia 5:19-21 ''-Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,-ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,husuda,-ULEVI, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa MUNGU.''
Biblia mnayo lkn Kusoma hamtaki.
Acha Kunywa ULEVI kijana.
Utakufa na Laana ya Mungu.
Na hauto uona wala kuurithi Ufalme Wa MUNGU .
Kwa maana Nyingine UTATUPWA JAHANNAMU Moja kwa moja.