Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Habari ya Kazi wadau wa JF
Napenda kuchukua fruksa hii kiwapa pongezi wale wote waliofanikiwa kuchangia mada zangu za kuomba msaada na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hizi ni shukran zangu kwa woote na uongozi Adm ya JF. Leo nina ombi moja tu. Nataka kugawanya HDD yangu katika Laptop yangu LG HDD 110 Ram 1GB na ina Window Vista Home Basic pamoja na Office 2007 sasa nataka hii HDD niigawanye mafungu matatu moja niweke Drive C , Drive D na Drive E. Hii C nataka kuweka Program pekee, Hii D baadhi Document zangu muhimu, E nataka kuweka Document zote ambazo nazisave pamoja picha ,video n.k Naomba Msaada waheshimiwa wana JF wenzangu. Wik end Njema.
Napenda kuchukua fruksa hii kiwapa pongezi wale wote waliofanikiwa kuchangia mada zangu za kuomba msaada na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hizi ni shukran zangu kwa woote na uongozi Adm ya JF. Leo nina ombi moja tu. Nataka kugawanya HDD yangu katika Laptop yangu LG HDD 110 Ram 1GB na ina Window Vista Home Basic pamoja na Office 2007 sasa nataka hii HDD niigawanye mafungu matatu moja niweke Drive C , Drive D na Drive E. Hii C nataka kuweka Program pekee, Hii D baadhi Document zangu muhimu, E nataka kuweka Document zote ambazo nazisave pamoja picha ,video n.k Naomba Msaada waheshimiwa wana JF wenzangu. Wik end Njema.