Windows partitioning in Windows Vista

Original Pastor

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
1,274
50
Habari ya Kazi wadau wa JF

Napenda kuchukua fruksa hii kiwapa pongezi wale wote waliofanikiwa kuchangia mada zangu za kuomba msaada na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana hizi ni shukran zangu kwa woote na uongozi Adm ya JF. Leo nina ombi moja tu. Nataka kugawanya HDD yangu katika Laptop yangu LG HDD 110 Ram 1GB na ina Window Vista Home Basic pamoja na Office 2007 sasa nataka hii HDD niigawanye mafungu matatu moja niweke Drive C , Drive D na Drive E. Hii C nataka kuweka Program pekee, Hii D baadhi Document zangu muhimu, E nataka kuweka Document zote ambazo nazisave pamoja picha ,video n.k Naomba Msaada waheshimiwa wana JF wenzangu. Wik end Njema.
 
Right click My Computer, changua Manage, chagua Disk Management, Right click Drive C: Chagua Shrink Volume, weka size unayotaka C iwe.

Ukisha shrink utakuwa na unallocated space, right click hiyo unallocated space then select new volume, weka size unayotaka D iwe etc >>Finish. Itatengeneza drive D.

Right click unalloccated space iliyobaki kisha rudia hatua kutengeneza drive E.
 
Right click My Computer, changua Manage, chagua Disk Management, Right click Drive C: Chagua Shrink Volume, weka size unayotaka C iwe.

Ukisha shrink utakuwa na unallocated space, right click hiyo unallocated space then select new volume, weka size unayotaka D iwe etc >>Finish. Itatengeneza drive D.

Right click unalloccated space iliyobaki kisha rudia hatua kutengeneza drive E.


OK mkuu sasa nimefanikiwa lakini mbona haitaki kugawa kwani inanipa Mb na mimi nataka hiyo HDD 110GB niigawe mara tatu 36.5GB kila moja sasa nitafanyaje kwani inanipa MB 220 tu sasa naomba maelekezo tena mkuu!!
 
OK mkuu sasa nimefanikiwa lakini mbona haitaki kugawa kwani inanipa Mb na mimi nataka hiyo HDD 110GB niigawe mara tatu 36.5GB kila moja sasa nitafanyaje kwani inanipa MB 220 tu sasa naomba maelekezo tena mkuu!!

Kiasi gani kiko free kwenye Hard Drive yako? Itabidi uwe una 36.5 X 2 free kama unataka kuigawa hivo.

Kama nafasi ipo na bado inakataa basi hard drive itakuwa iko fragmented Download Raxco Perfect Disk http://download.cnet.com/PerfectDisk/3000-2094_4-10349543.html?tag=mncol
(30 days free)

Kisha ukiirun chagua option ya "Consolidate Free Space" na tick Boot Time, kisha start defragmentation, inaweza ikachukau muda so ni bora kuiacha unapoenda kulala.
 
Unajua Mkuu HDD imebakiza 20.5 BG sasa wewe unasema 36.5 ninini? MB au GB. sasa naomba ushauri nimedawnload inakataa kwani natumia Vista Home Basic sasa nifanyeje mkuu usichoke
 
Unajua Mkuu HDD imebakiza 20.5 BG sasa wewe unasema 36.5 ninini? MB au GB. sasa naomba ushauri nimedawnload inakataa kwani natumia Vista Home Basic sasa nifanyeje mkuu usichoke

Hauwezi ku shrink zaidi ya freespace kama unataka drive C iwe na 36.5GB itabidi usiwe na data zaidi ya hizo 36.5GB, actually chini zaidi maana kuna system files na vitu kama hivyo.

Imekataa kivipi? Hiyo program inafanya kazi kwenye Vista.
 
Hauwezi ku shrink zaidi ya freespace kama unataka drive C iwe na 36.5GB itabidi usiwe na data zaidi ya hizo 36.5GB, actually chini zaidi maana kuna system files na vitu kama hivyo.

Imekataa kivipi? Hiyo program inafanya kazi kwenye Vista.
Kwa hiyo tiba uliyompa asipopona kiboko!!ukweli hivyo ndivyo anavyotakiwa afanye!!
 
Hauwezi ku shrink zaidi ya freespace kama unataka drive C iwe na 36.5GB itabidi usiwe na data zaidi ya hizo 36.5GB, actually chini zaidi maana kuna system files na vitu kama hivyo.

Imekataa kivipi? Hiyo program inafanya kazi kwenye Vista.


Sawa Mkuu basi inawezekana ku copy data zote then niweze ku shrink? kama inawezekana niweke kwenye External Hard Drive data zote nibakishe Program tu kisha niweze ku shrink? Pia natumia Ant virus ya Kersperk labda ndo ina Block au maana ninayo hapa na net ipo faster nime i save katika desktop yangu nasikiliza ushauri wako mkuu sasa nifanyeje?
 
Sawa Mkuu basi inawezekana ku copy data zote then niweze ku shrink? kama inawezekana niweke kwenye External Hard Drive data zote nibakishe Program tu kisha niweze ku shrink? Pia natumia Ant virus ya Kersperk labda ndo ina Block au maana ninayo hapa na net ipo faster nime i save katika desktop yangu nasikiliza ushauri wako mkuu sasa nifanyeje?

Ya inawezekana, hamisha data zote unazoweza kwenye external. Ukiwa na free space nyingi utakuwa na chance kubwa zaidi ya mafanikio.

Hiyo program (perfect Disk) inachofanya ni kupanga jinsi data zilivyorekodiwa kwenye HD, ili uweze kushrink inabidi free space iwe continuous, so hiyo "Consolidate free space" ndio itakachofanya.
 
Back
Top Bottom