mkuu android na security ni kama kujaza maji kwenye gunia au pakacha kila unapoziba kwengine kuna tundu.
blackberry priv kabla haijatoka app zake xda walioipata simu mwanzo walizi exract watu kibao wanazo. unafikiri wamewezaje kuzi extract? inamaana wamegain uwezo wa kucheza na system files tayari ni useless. hao blackphone watu walibypass security pale pale kwenye uzinduzi wa simu wala usiwataje na knox chainfire kila siku anaidisable.
chukulia mfano mdogo simu zote hizo zinatumia browser gani? ni hizi hizi za kina chrome browser yenye permission zote? browser inatumia mic, camera na vitu ambavyo dhahiri inaonesha inakuspy. sidhani kama it mwenye akili ataipa management au ceo wake simu yenye hatari ya kuspy kama hio.