Windows 10 mobile is officialy out

Windows 10 mobile is officialy out

Wanatumia insider preview, window 10 mobile haijatoka na haina uhakika itatoka lini labda badae sana mwaka huu.
imeanza kutoka toka january ila wanawapa watu wachache tu. seems kuba bugs za kutosha tu ndio maana wanasita sita. even gsmarena wamesitisha hata kufanya battery test za win 10 sababu haijakaa sawa bado
 
safi sana mkuu windows iko mbele

wakati windows rt inatoka kuna watu kama wewe walisema maneno hayo hayo tablet ni za android na ios (ipad) tu, baadae windows rt ikamezwa na win 10 na sasa hivi ukiuliza tablet nzuri sokoni mtu yoyote mwenye akili atakwambia ni surface pro 3 au 4 au surface book, even ipad pro inaonekana toy mbele ya surface na oem wa android kama samsung, huawei, alcatel, xiaomi na wengine wengi high end tablet zao zinarun windows na sio android.

kwenye simu pia ndipo tunapoelekea sasa hivi core m, processor za intel zipo karibu kuanza kutumika kwenye simu na zikianza na windows phone kuhamia x86 ujue tayari kwenye highend android na ios zitapata pigo kubwa sana. imagine simu yenye driver za pc inayokubali mamilioni ya accessory kama mic za waandishi wa habari, gamepad za console mbalimbali duniani, simu inayoemulate vitu kama gamecube na playstation 2, simu ambayo ukiconect na tv au monitor inakuwa full desktop, buometric security za intel (real sense), cortana na mambo kibao.

future is microsoft, hololens, surface phone, surface pro, surface book[/QUOTE
wakati windows rt inatoka kuna watu kama wewe walisema maneno hayo hayo tablet ni za android na ios (ipad) tu, baadae windows rt ikamezwa na win 10 na sasa hivi ukiuliza tablet nzuri sokoni mtu yoyote mwenye akili atakwambia ni surface pro 3 au 4 au surface book, even ipad pro inaonekana toy mbele ya surface na oem wa android kama samsung, huawei, alcatel, xiaomi na wengine wengi high end tablet zao zinarun windows na sio android.

kwenye simu pia ndipo tunapoelekea sasa hivi core m, processor za intel zipo karibu kuanza kutumika kwenye simu na zikianza na windows phone kuhamia x86 ujue tayari kwenye highend android na ios zitapata pigo kubwa sana. imagine simu yenye driver za pc inayokubali mamilioni ya accessory kama mic za waandishi wa habari, gamepad za console mbalimbali duniani, simu inayoemulate vitu kama gamecube na playstation 2, simu ambayo ukiconect na tv au monitor inakuwa full desktop, buometric security za intel (real sense), cortana na mambo kibao.

future is microsoft, hololens, surface phone, surface pro, surface book[/QUOT
 
Kulinganisha wp na android ni sawa na kutaka kulinganisha Land cruiser na three wheel (Bajaj). Android kuongoza kimauzo c sababu tosha ya Ku indicate kwamba ni Os bora kuipita wp, for the simple research I have done nimegundua android users wengi ni wale watu wenye uelewa mdogo na matumiz yao ya simu ni kwa ajili ya kupiga, kutuma msg, kupiga picha, kutumia whatsp, facebook and other social media lakin hawatumii devices zao kwa maswala ya productivity. WP imekaa Kikaz kazi zaidi
Kuongezea mkuu pamoja na kucheza games za zombie na kuedit edit vipicha uchwara,android kariakoo pale kuna mpaka smartphone ya tsh60,000/= kwanini isionekane kwamba inauzika sana!?
 
simu ni WP bana achaneni na hivo viuchwarabvya android. vinachelewa ku load had kero. tumia fastest machine for higher productivity tatizo letu WP hatuna apps za kutosha store yetu sababu ya security sisi twataka usalama na amani bana but tutaboresha store yetu soon tuingie kwenye ushindan wa ma game na android zenu zenye virua kibao
 
jamani mwenye kujua application wp inayofanya kazi kama phoneleash ya android
 
Ivi hapa dsm duka la simu la windows phone liko maeneo gani¿
 
Kwa maisha niliozoea android sitoki ng'o huko kwengine ntafadhaika tu
 
Android iko very user friendly with many usable options ambazo ni innovative kama. Portable hotspot,Network lock, app installation bila kutumia playstore (.apk), stock media player supporting multiple file formats (mp3,mp4,avi,mkv,bluray) etc.
Im a huge fan of android sababu ya hizo baadhi tu ya useful features. Sio rahisi kuzipata kwingine bila usumbufu.
Kitu kimoja android inaboa ni kwenye battery backup, hio os inakamua charge si kitoto kama ni gari basi ni kama engine ya v8 petrol inavokamua wese
 
LUMIA 640XL

Mpya kwenye boxi

Tampered Glass Screen Protector

475,000/=
 
Windows Phone ndio mpango mzima inasaidia Sana kwa shughuli za kiofisi.
Chief mkwawa naweza je kutumia free vpn ktk windows phone. Maana hizi nchi nyengine bila ya vpn Ni shida.
 
Na je kuhusu hizo update to windows 10 zitakuwa ni kwa cm zote. Mimi natumia lumia 1520 ila nimecheck update sijaiona.
 
Nadhani ungekuja na vivid example ya huo uovyo unaouziungumzia wewe.

Hebu cheki tena hii view step by step.

1. Simu ukipewa ikiwa locked inakuwa hivii.

View attachment 327997

2. Ukishaifungua unakutana na home screen ya namna hii.

View attachment 327998

3. Ukiwa hapo unaweza anza access app, kama uliipin katika start. Kama haipo inabidi uswap home screen kuelekea kushoto. Napo utazikuta program zako kama hivii. ( Nimekuwekea Black, na whie themes.. uchague ipi inakuvutia.)


View attachment 328000

View attachment 328001


4. Ukitaka badili settings zako za simu ingia katika settings, napo utakutana na haya.

View attachment 328003

View attachment 328004


5. Say imeingia text. Itapop up juu kama notification. Ukitaka kuiaccess kwa haraka , unaswap tile toka juu kwenda chini kama hivii.

View attachment 328005

View attachment 328006


6. Say unataka cheki phone specs. Nenda katika settings. na huko itaonekana hiviii.

View attachment 328007


View attachment 328008


Just like that. Simple, Perfect and neat view.

Ukiachana na hayo. Ukija katika perfomance, Windows phone na Android phone of the same specs. Android phone itasubiri kwa windows phone. Hili halina ubishi. WP zipo smooth katika operation than Android phones.

Karibu katika ulimwengu wa Window phones boss. Hutojutia.

CC: Chief-mkwawa.
Mkuu naona hapo kilichobadilika ni settings na hiyo screen lock lakini hizo fujo nyingine zote zinapatikana kwenye Windows 8.1 Denim Update.Nna Nokia Lumia 630 na Nokia Lumia 620 zote zina Ram ya MB 512 lkn simu wala sio nzito yaani apps zinafunguka haraka sana.cha ajabu hii Lumia 630 kioo ni inch 4.5 lakini haina ku ganda ganda yaani nafanya shughuli zangu kwa raha kabisa. Sasa waambie wanaosifia android wachukue simu yenye kioo inch 4.5 na RAM 512MB kisha waje hapa kutupa feedback. Kuhusu hiyo update ya windows10 ngoja nitaijaribu kwenye lumia 620.maana niliwahi kutumia preview simu ikawa nzito.Nikataka kurudishia 8.1 nikaua simu ila nashukuru nilienda kuiflash Morogoro na sasa inapiga mzigo kama kawaida
 
Microsoft is beating Apple in a key battle for the future of computing
 
IDC also predicted that Microsoft would dominate the smartphone world. So take it all with a grain of salt.
 
Nadhani ungekuja na vivid example ya huo uovyo unaouziungumzia wewe.

Hebu cheki tena hii view step by step.

1. Simu ukipewa ikiwa locked inakuwa hivii.

View attachment 327997

2. Ukishaifungua unakutana na home screen ya namna hii.

View attachment 327998

3. Ukiwa hapo unaweza anza access app, kama uliipin katika start. Kama haipo inabidi uswap home screen kuelekea kushoto. Napo utazikuta program zako kama hivii. ( Nimekuwekea Black, na whie themes.. uchague ipi inakuvutia.)


View attachment 328000

View attachment 328001


4. Ukitaka badili settings zako za simu ingia katika settings, napo utakutana na haya.

View attachment 328003

View attachment 328004


5. Say imeingia text. Itapop up juu kama notification. Ukitaka kuiaccess kwa haraka , unaswap tile toka juu kwenda chini kama hivii.

View attachment 328005

View attachment 328006


6. Say unataka cheki phone specs. Nenda katika settings. na huko itaonekana hiviii.

View attachment 328007


View attachment 328008


Just like that. Simple, Perfect and neat view.

Ukiachana na hayo. Ukija katika perfomance, Windows phone na Android phone of the same specs. Android phone itasubiri kwa windows phone. Hili halina ubishi. WP zipo smooth katika operation than Android phones.

Karibu katika ulimwengu wa Window phones boss. Hutojutia.

CC: Chief-mkwawa.

Jamaa kama naona uko insider? Public release ya w10m bado!
 
Android iko very user friendly with many usable options ambazo ni innovative kama. Portable hotspot,Network lock, app installation bila kutumia playstore (.apk), stock media player supporting multiple file formats (mp3,mp4,avi,mkv,bluray) etc.
Im a huge fan of android sababu ya hizo baadhi tu ya useful features. Sio rahisi kuzipata kwingine bila usumbufu.
Kitu kimoja android inaboa ni kwenye battery backup, hio os inakamua charge si kitoto kama ni gari basi ni kama engine ya v8 petrol inavokamua wese
-wp pia ina hotspot
-android haiwez kulock network ni skin za oem kama touchwiz ndio zinaweza pure android ipo kama wp
-tetesi win 10 itaweza kusideload apps ila ukiwa developer kwa sasa pia unaweza kusideload
-win 10 inaplay pia hizo format by default
 
Back
Top Bottom