Window XP no longer in use.

kwan ww hyo service pack 3 ni mpaka hela

mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
 
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
mbona zipo nyingi tu free online..mfano hizi link unaweza pata sp3 free :

Download Windows XP Service Pack 3 Build 5512 FINAL

Download: Windows XP Service Pack 3 Network Installation Package for IT Professionals and Developers - Microsoft Download Center - Download Details

Microsoft Windows XP Service Pack 3 - CNET Download.com
 
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
mbona zipo nyingi tu free online..mfano hizi link unaweza pata sp3 free :

Download Windows XP Service Pack 3 Build 5512 FINAL

Download: Windows XP Service Pack 3 Network Installation Package for IT Professionals and Developers - Microsoft Download Center - Download Details

Microsoft Windows XP Service Pack 3 - CNET Download.com
 
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)

-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)

-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )

-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)

-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)

-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)

Sidhan kama ita affect bongo
hahaha kaka watz ni watu shortcut.
 
Microsoft hawana ubavu kwa sababu:
1. Walitaka kupiga chini na kuipa promo vista na 7 ikashindikana
2. Walitaka kupiga chini 32bit ikawalazimu kwenda kwenye 64bit
why? it is compatible to most industrial softwares ambazo watu wengi wanatumia

Ni sifa ya wabongo kubisha vitu vya ukweli. Soma links hizi hapa chini labda ndio utaamini anachosema mtotomtamu.

Microsoft Support Lifecycle


Support for Windows XP Service Pack 2 ends on July 13, 2010

Microsoft Ends Support of Windows XP, Office 2003 in 2014!
 
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao

Chukua hii hapa Windows XP Professional Service Pack 3 Genuine

ukimaliza tafuta iso burner uburn cd yako fresh
 
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)

-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)

-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )

-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)

-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)

-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)

Sidhan kama ita affect bongo

Like mkuu!, huo ndio ukweli.
 
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao

tafuta windows 7 bana ww mpaka leo unataka kutumia xp...
 
Back
Top Bottom