Window nzuri kwa laptop aina ya lenovo

Window nzuri kwa laptop aina ya lenovo

Me natumia lenivo g500,nmeweka windows 8pro,everything z smooth..cjawahi kupata tatz lolote..nawe weka
Utafurahi zaidi iwapo utaweka windows 10.
Win 10 ni bora zaidi kuliko win 8./ win8.1
 
Kwa kuongezea2 tatzo ktk model fulani haimaanishi ni tatzo la brand nzima, kwa mfano tatzo la kuungua mara kw mara graphics card kwenye hp 6030 notebooks haimaanishi ndo hp zote ztakua ivo,
Tunamshukuru lenovo baada ya kujigawa na IBM anatengeneza pc tena kwa bei nafuu kuliko wengne
 
graphics ni nn mkuu?

Na specs unamaanisha specifation? kama ndo hivyo ni, hard disk500GB RAM 2GB, PROCESSOR 2.16 GHZ

computer inakuja na kitu kinaitwa graphics processing unit (gpu), hiki kitu kazi yake kinahandle vitu vyote vinavyoonekana kwa macho kwenye laptop yako. kuanzia ukiplay video, ukicheza games, pixel ziwe na mwanga mdogo au mkubwa (unachoongelea wewe) nk

kama hauna driver za gpu yako mambo mengi hutokea

ili kuhakiki zaidi nenda mycomputer halafu right click then properties then system rating angalia mambo ya graphics rating yake sio 1.0?

kueka driver za graphics itabidi nijue full name ya pc yako mfano lenovo 440p then utapewa link hapa.

kuhusu windows laptop yako ina uwezo wa kuhandle windows zote iwe 7 au 8 au 10 na kwa mambo basics itafanya bila tatizo
 
Kama hiyo computer ni mpya basi imekuja na Cd ya drivers and utility. Lenovo mpya ndio zinavyokuja
 
Ndugu Shijer11

Je umewahi kutumia Lenovo Laptop?
Je ni matatizo yapi ulikumbana nayo?
Zinakera kivipi? ndugu , Tuelimishane kidogo kuhusu hili

KIMSINGI muda huu natumia Lenovo.
m_WP_20160509_10_28_24_Pro.jpg
Laptop zingine nilizonazo ni HP na DELL. Ila zaidi natumia hii lenovo mwaka wa pili sasa. Na sijawahi pata tatizo lolote.

Kwanini nilichagua Lenovo?
- Ubora wa display - LED lcd
- Hainichoshi macho - Sababu huwa natumiamuda mwingi sana kwenye laptop. Hivyo nilizingatia Laptop ambayo haotoshosha macho kwa kadri ya matumizi yangu.

yeah!
kwanza ilikuwa vizuri na ilitoka shop kabisa sio second hand, nilichkua ikiwa na 7 prof 64bit (ilifanyiw configs HQ ya nnapofanyia kazi) nlitumia foe 3 days nikaamua kuweka 32bits, ikaanza mashetani,,,, ilianza kupoteza uwezo wa kuwasha wifi, inshort ilikuw inamisbhv kwny key zako, ikaja ikaanza kukataa kusoma external devices, ikapoteza mwanga... ikikaa muda hujtumia japo ipo on inaleta blue screen... ni g50.
tell me what might be the problem na had now nimeirudsh na majibu ni kwmb haijapona.
nlipata usb drives nikarun in vain
 
Kwa kuongezea2 tatzo ktk model fulani haimaanishi ni tatzo la brand nzima, kwa mfano tatzo la kuungua mara kw mara graphics card kwenye hp 6030 notebooks haimaanishi ndo hp zote ztakua ivo,
Tunamshukuru lenovo baada ya kujigawa na IBM anatengeneza pc tena kwa bei nafuu kuliko wengne

walinunua department ya IBM ya thinkpad, kiufupi hakuna laptop nzuri za biashara na makampuni kushinda Thinkpad.

ila hilo la laptop za bei rahisi Asus na Acer ndio wanastahili pongezi, wanazo laptop kuanzia dola 169 mpya
 
yeah!
kwanza ilikuwa vizuri na ilitoka shop kabisa sio second hand, nilichkua ikiwa na 7 prof 64bit (ilifanyiw configs HQ ya nnapofanyia kazi) nlitumia foe 3 days nikaamua kuweka 32bits, ikaanza mashetani,,,, ilianza kupoteza uwezo wa kuwasha wifi, inshort ilikuw inamisbhv kwny key zako, ikaja ikaanza kukataa kusoma external devices, ikapoteza mwanga... ikikaa muda hujtumia japo ipo on inaleta blue screen... ni g50.
tell me what might be the problem na had now nimeirudsh na majibu ni kwmb haijapona.
nlipata usb drives nikarun in vain
1. ni mistake kubwa kutoka 64bit kwenda 32bit hapo ume downgrade
2. mambo mengi uliyoyataja hapo yanahusiana na kutoeaka driver pamoja na kutotumia key halali zinazokuja na laptop

angalia chini ya laptop kuna key au logo ya windows? kama kimoja wapo kipo fanya clean installation ya windows iliokuja na laptop halafu update drivers zote laptop yako itarudi kama mpya
 
ilianza kupoteza uwezo wa kuwasha wifi, inshort ilikuw inamisbhv kwny key zako, ikaja ikaanza kukataa kusoma external devices, ikapoteza mwanga... ikikaa muda hujtumia japo ipo on inaleta blue screen... ni g50.
Tatizo si laptop.
Tatizo liko kwa aliyefanya kazi ya kubadili OS.
Hakukamilisha kazi ya kuhakikisha Drivers zote ziko OK.

Lejea jibu la msingi la Chief mkwawa hapo juu.
 
Kama hiyo computer ni mpya basi imekuja na Cd ya drivers and utility. Lenovo mpya ndio zinavyokuja

Mkuu ni kwel kabisa ina cd yake lakn tatizo hiyo cd haisomi cjui nifanyeje maana nilifkir ni window 8 nikajaribu kuinstal wakati pc imecolapsi window iliyokuwepo lakini iligoma kabisa kusoma

sijui nifanyeje mkuu ili hyo cd inisaidie eb nielekeze kidogo
 
Mkuu ni kwel kabisa ina cd yake lakn tatizo hiyo cd haisomi cjui nifanyeje maana nilifkir ni window 8 nikajaribu kuinstal wakati pc imecolapsi window iliyokuwepo lakini iligoma kabisa kusoma

sijui nifanyeje mkuu ili hyo cd inisaidie eb nielekeze kidogo
itakuwa ni cd ya driver chini ya laptop yako hakuna logo ya windows?
 
1. ni mistake kubwa kutoka 64bit kwenda 32bit hapo ume downgrade
2. mambo mengi uliyoyataja hapo yanahusiana na kutoeaka driver pamoja na kutotumia key halali zinazokuja na laptop

angalia chini ya laptop kuna key au logo ya windows? kama kimoja wapo kipo fanya clean installation ya windows iliokuja na laptop halafu update drivers zote laptop yako itarudi kama mpya

chini wapi mkuu ambapo hiyo logo inakaa, hebu fafanua kidogo. na hiyo sehemu ya kuapdate pia inaptikana maeneo gani
 
Bila shaka tatizo lililopo kwa hiyo PC yako ni kwamba haina graphic drivers. Drivers mbalimbali huweza kupotea mara ufanyapo installation ya window mpya ktk PC yako, hivyo unahitaji kuikagua PC yako mara tu umalizapo kuifanyia 'Windows installation' ili kuona kama kuna drivers zilizo-miss and uzifanyie 'recovery'.

mkuu hzo driver zinakaa wapi na ntajuaje kama zipo au hazipo
 
Habari ndugu wapendwa!

Naomba tena ushauri kuwa window nzuri kuinstal especialy kwa pc aina ya lenovo, ipi inafaa zaidi!?

Lakini pia nilikuwa nimeinstal window 7 ultimate shida yake ni kwamba haipunguzi mwanga. Nimejaribu kuangalia setting kama brightnes lakini hakuna option ya kupunguza mwanga. Batani zenye alama ya mwanga nazo hazirespond. Mwenye uzoefu wa haya mambo anisaidie tafadhali.

Mwisho ni maandishi yake kwa screen, ni makubwa mno nimeyapuunguza yamepungua kidogo lakini bado hayako normal.

Msaada tafadhali
Window 8.1 iko vizuri sana hutokaa usahau
 
Mkuu fanya hivi download drivers za laptop yako kila kitu kita kuwa sawa kwanza network, graphics, sound, keyboard hasa hasa kwa kutumia driverpack solutions au search "lenovo model aina yadriver"
 
Ukinunua lenovo utapata na cd driver yake ambayo zipo driver za window seven na 8 pia so easy wazi install hauna cd go to lenovo website zipo wala azijafichwa ....am using lenovo g500
 
Ndugu Shijer11

Je umewahi kutumia Lenovo Laptop?
Je ni matatizo yapi ulikumbana nayo?
Zinakera kivipi? ndugu , Tuelimishane kidogo kuhusu hili

KIMSINGI muda huu natumia Lenovo.
m_WP_20160509_10_28_24_Pro.jpg
Laptop zingine nilizonazo ni HP na DELL. Ila zaidi natumia hii lenovo mwaka wa pili sasa. Na sijawahi pata tatizo lolote.

Kwanini nilichagua Lenovo?
- Ubora wa display - LED lcd
- Hainichoshi macho - Sababu huwa natumiamuda mwingi sana kwenye laptop. Hivyo nilizingatia Laptop ambayo haotoshosha macho kwa kadri ya matumizi yangu.
mkuu ili kama chama nilinunua lenovo bro akanunua toshiba yake imekufa betri yangu kama kawiedu yan 3 hours to 4 hours mwaka wa tatu now siwaziii...,lenovo ni jembe
 
Ukinunua lenovo utapata na cd driver yake ambayo zipo driver za window seven na 8 pia so easy wazi install hauna cd go to lenovo website zipo wala azijafichwa ....am using lenovo g500

mkuu hiyo cd ninayo na ndo nimegundua sasa kuwa ni cd ya driver,awali nilifkr ni cd ya window. Nilipewa pamoja na pc wakati nanunua

msaada wako mkuu jinsi ya kuinstall hizo driver tafadhari
 
Back
Top Bottom