Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

Windmill waterpump kwa kilimo na ufugaji wa samaki

na vipi uimara wake?kwamtu wa mikoani km tabora anawezaje ata hiyo huduma?
Ni imara sana inahitaji servic baada ya miez 6 kwa kuweka vilainishi kwenye bearing nk.
 
Teknolojia inakua, inatusaidia wakulima kupata unafuu. Miaka ya nyuma ilikuwa siyo rahis raia wa kawaida kumiliki WindMill. Tunashukuru kwa taarifa, tutakutafuta
 
Hiz windmill zinatengenezwa hapahapa Tz na vifaa vyote vnapatkana Tz. Pia inaweza kuzalisha umueme na kufanya airation kwenye mabwawa ya samaki kwa wakati mmoja. Ukitaka kuziona ktk Youtube tafuta Tz windmill water pump.
 
bei haipungui? coz wakulima weng tumechoka hatutaweza kuafford
 
bei haipungui? coz wakulima weng tumechoka hatutaweza kuafford
Hiyo ni bei ya chini sana ukilinganisha na bei za windmill za kuimport. Ndio màana tumebuni windmill za bei rahisi zinazo endana na mazngira yetu. Tazama Youtube (Tz windill water pump) windmill zetu wa tanzania hakuna kitu spea znazo toka nje mkuu.
 
bei haipungui? coz wakulima weng tumechoka hatutaweza kuafford
Pia mnaweza kuoganize wakulima watatu wenye mashamba ya pamoja mkafunga mtambo mmoja kwanza then baada ya mavuno mnamchangia mwingine baadae wote mnakua na mitambo!
 
Hiyo ni bei ya chini sana ukilinganisha na bei za windmill za kuimport. Ndio màana tumebuni windmill za bei rahisi zinazo endana na mazngira yetu. Tazama Youtube (Tz windill water pump) windmill zetu wa tanzania hakuna kitu spea znazo toka nje mkuu.
Windmill moja inaweza kuvuta maji na juhudumia shamba lenye ukubwa gani let say kimepandwa vitunguu.
 
Windmill moja inaweza kuvuta maji na juhudumia shamba lenye ukubwa gani let say kimepandwa vitunguu.
Mkuu sina utaalam wa kilimo kua ekar moja inahitaji maji kiasi gani. Ila ni kwamba endapo windmill inavuta maji kwenye mto au bwawa na sehemu yenyewe ikiwa ni tambaral itaweza vuna mji Lita 48,000/hr kwa upepo wenye kasi ya 10m/s kama upepo huu utakua ni mfululizo kwa saa zima.

VISIMA
Kwa visima vyenye urefu kuanzia mita 10 hadi mita 40 Inavuna maji lita 12,000/hr kwa kiwango cha upepo kilicho tajwa hapo juu.

Kwa visima vyenye urefu Wa mita 40 hadi 80m inavuna maji Lita 6,000/hr kwa upepo huo huo.

Kwa vsima vyenye urefu wa mita 80--150 ina vuna maji Lita 3,000/hr.

Hizi data ni za upepo wa kiwngo cha juu na endapo unaweza kuvuma kwa saa moja mfululizo.

Kwa hiyo mkuu mpaka hapo waweza tafuta wataalam wa kilimo wanajua ekar moja ya vtunguu inatumia maji Lita ngapi.
Asante
 
Back
Top Bottom