Yah mkuu utakua poa ukisha jipanga nitafute uanze kunufaika na matunda ya upepo wa mungu!Iko poa ngoja tujipange. Nina ndoto ya kufanya intensive fish farming ila changamoto yangu ilikuwa Umeme usioaminika kwa ajili ya kubadili maji na kuendesha aerators. Thanx a lot.
Karibu sana mkuu ntashukuru endapo utanitafuta tufanye maendeleo ya kweli!Safi sana mkuu umenipa mwanga jinsi gani nitafanikisha ndoto zangu maana tayari nina shamba maeneo ya bagamoyo ila nimeshindwa kuendelea kwasababu ya upatikanaji wa maji ya huhakika nitakutafuta ngoja nijipange asante sana kiongozi
Ndio mkuu kuna sehemu nimeifunga hiyo mitambo na Wateja wangu wameshaanza kufaidikanayo. Pia hata kwenye YouTube mitambo yangu waweza kuiona pia kwa jina la Tz windmill water pump. Karibu sanaTunashukuru kwa taarifa, je kuna sehemu yoyote uliyofunga huo mtambo ili tuje tuuone kama mfano? Au hapo ofisini kwako upo wa mfano?
Nipo mbali kidogo ila shamba langu lipo Morogoro jirani na Mikese...sijafanya survey ya maji yanapopatikana.Je,survey ya maji mnafanya ninyi au inakuwaje.Mkuu sina utaalam wa kilimo kua ekar moja inahitaji maji kiasi gani. Ila ni kwamba endapo windmill inavuta maji kwenye mto au bwawa na sehemu yenyewe ikiwa ni tambaral itaweza vuna mji Lita 48,000/hr kwa upepo wenye kasi ya 10m/s kama upepo huu utakua ni mfululizo kwa saa zima.
VISIMA
Kwa visima vyenye urefu kuanzia mita 10 hadi mita 40 Inavuna maji lita 12,000/hr kwa kiwango cha upepo kilicho tajwa hapo juu.
Kwa visima vyenye urefu Wa mita 40 hadi 80m inavuna maji Lita 6,000/hr kwa upepo huo huo.
Kwa vsima vyenye urefu wa mita 80--150 ina vuna maji Lita 3,000/hr.
Hizi data ni za upepo wa kiwngo cha juu na endapo unaweza kuvuma kwa saa moja mfululizo.
Kwa hiyo mkuu mpaka hapo waweza tafuta wataalam wa kilimo wanajua ekar moja ya vtunguu inatumia maji Lita ngapi.
Asante
Karibu sana tujenge uchumi WA nchi yetu.
Ni pamp inayo faa kwa kilimo na ufugaji wa samaki kwani ina uwezo wa kuvuta maji kwa kiwango kikubwa hadi lita 800 kwa dakika . Namb 0657 139511/0768092950![]()
Bei poa kabisa hiyo, wewe unadhani ni miti hiyo?Kingine 1.5mil mbona bei ipo juu wakati wakulima wengi vipato vyao ni vya chini, jaribu kufanya price iwe affordable kwa watu wengi,mtateka soko watu watasahau water pump za petrol na dizeli.