Wimbo wa natamba wa Aslay

Wimbo wa natamba wa Aslay

Rk10

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
1,216
Reaction score
1,375
Wakuu!

Sijawahi kuandika chochote kuhusu huyu Dogo Aslay ila kwa huu wimbo wa natamba imebidi nimsifie kwa kazi nzuri, amekuwa akitoa nyimbo nzuri sana ingawa ni kwa mfululizo lakini namuelewa sana.

Kiujumla dogo ameonyesha kuwa hata kwenye yamoto bandi yeye ndo alikuwa kichwa, namshauli apate uongozi mzuri zaidi atafika mbali maana anakipaji halisi na uwezo mkubwa.

Asante kwa wimbo wa natamba binafsi nimekuelewa sana.

Sijui nyie wana jukwaa mnauzungumziaje huu wimbo?
 
Huyu dogo angekuwa na management inayojielewa huu ndo muda wake wa kupiga pesa..Ana nyimbo kali na watu wanamuelewa..Huyu unamuandalia tour ya peke yake ya mikoa karibia yote..Na huko kote anajaza nyomi ya kutosha anavuta mpunga..Ila still naona anapambana kwenye majukwaa ya Fiesta..Huko sijui kama anapata pesa ya maana..
 
Aslay ni kijana anayefanya muziki maishani kwake kama kipaji chake cha pekee ni kijana mwenye umakini sana ktk nyimbo zake
 
Anajua sana kiba sain ichi kwichwa tema ommy dimpozi kama ww kweli mkurungenzi wa Rstar4000
 
Akiwa na management nzuri anaweza kufika mbali na wakati wake ndo huu autumie vizuri, na apate collabo na watu Wa maana, ili kutengeneza radha tofauti tofauti.
 
Wakuu!

Sijawahi kuandika chochote kuhusu huyu Dogo Aslay ila kwa huu wimbo wa natamba imebidi nimsifie kwa kazi nzuri, amekuwa akitoa nyimbo nzuri sana ingawa ni kwa mfululizo lakini namuelewa sana.

Kiujumla dogo ameonyesha kuwa hata kwenye yamoto bandi yeye ndo alikuwa kichwa, namshauli apate uongozi mzuri zaidi atafika mbali maana anakipaji halisi na uwezo mkubwa.

Asante kwa wimbo wa natamba binafsi nimekuelewa sana.

Sijui nyie wana jukwaa mnauzungumziaje huu wimbo?
Ndio wimbo pekee wa aslay nauelewa!
 
Anajua sana kiba sain ichi kwichwa tema ommy dimpozi kama ww kweli mkurungenzi wa Rstar4000

Hivi Aslay na Kiba nani Zaidi?

Naona Kiba. Sasa kapata mtu wa Kushindana nae kwenye level yake, so tumeshapata madaraja, kuna daraja la Juu yupo Diamond Peke yake.
Daraja la kati wapo wakina Rayvan, Harmonize, Vanessa Mdee, Kiba na sasa Aslay
 
Back
Top Bottom