The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Kumekua na wimbo ambao umekua ukiimbwa kwenye harakati za chadema kwa mda mrefu safari hii siajausikia kabisa sijajua kwa nini.
Wimbo ulikua ukiimbwa hivi "TUWAMWAGE MAFISADI" huu wimbo ulileta hamasa kubwa sana kwa vijana kuhusiana na tatizo sugu la ufisadi hapa nchini kwetu.
Kwa maoni yangu huu ulikua wimbo muafaka hasa safari hii ili kufuta dhana kwamba chadema ya siku hizi inakumbatia MAFISADI.
Wimbo ulikua ukiimbwa hivi "TUWAMWAGE MAFISADI" huu wimbo ulileta hamasa kubwa sana kwa vijana kuhusiana na tatizo sugu la ufisadi hapa nchini kwetu.
Kwa maoni yangu huu ulikua wimbo muafaka hasa safari hii ili kufuta dhana kwamba chadema ya siku hizi inakumbatia MAFISADI.