Wimbo wa Bahati Bukuku ''DUNIA HAINA HURUMA''

Wimbo wa Bahati Bukuku ''DUNIA HAINA HURUMA''

Wengi hamjaelewa lengo la wimbo.mlitaka alitaje jina la mungu kila line? Au mlitaka atumie vinanda vya kanisa? Ameonyesha jinsi gani dunia haina huruma.........unapoongelea bongo fleva ama taarabu hapo unaongelea mapigo ya ala yalivyopangika.south African Gospel yaweza isifanane na ya Tanzania ukiisikia utasema siyo nyimbo ya dini??? America kuna rap Gospel doesn't matter what kind of music but the message
amealalisha ngono kuwa ndio iliyomuokoa
 
Halafu kama yeye ni mtu wa mungu kwanini asizidi kuomba kwa nguvu, yeye akampa dokta uroda.mkuu wimbo una shida ule
 
cjui kama umesikiliza vizurihuo wimbo mwimbo ni mzuri hauna shida yoyoye maana mwisho anasema nataka kutengeneza na yesu kwahyo baada ya yote hayo amegundua hata yeye amekosea anataka kupatana na mungu hyo ndio lengo baada ya kisa upo hapo.


Yaan mkuu sikuzaajabu umeniwahi na mm nlitaka kusema hivyo hvyo, ila ngoja niongezee kitu kdg, hili ni si tatizo la mwimbaji wa wimbo bali tatizo ni kwa wasikilizaji hawajazoe kusikiliza ujumbe kwa staili hii, mi ni mmoja kati ya waliouelewa vizur wimbo huu ndo mana kama alivyosema mkuu siku za mwisho kuwa baada ya kuona na kugundua amekosa kwa kutatua tatizo kwa kuongeza tatizo japo mwenywe aliona ndo njia ya kumuokoa mumewe alisema "NAMI NATAKA KUTENGENEZA NA MUNGU" napia funzo lingine tunalilipata ni kua tusihukumiane mana habari ya hukumu ni ya MUNGU mkuu ndo mana kwenye wimbo yule mzee aliposema ambaye hajawahi kukosa awe wa kwanza kumuua mtoto wote walinywea ikonyesha yamkini walikua na mnakosa makubwa pengne kuliko ya wifi/shemej yao!
 
Last edited by a moderator:
Yaan mkuu sikuzaajabu umeniwahi na mm nlitaka kusema hivyo hvyo, ila ngoja niongezee kitu kdg, hili ni si tatizo la mwimbaji wa wimbo bali tatizo ni kwa wasikilizaji hawajazoe kusikiliza ujumbe kwa staili hii, mi ni mmoja kati ya waliouelewa vizur wimbo huu ndo mana kama alivyosema mkuu siku za mwisho kuwa baada ya kuona na kugundua amekosa kwa kutatua tatizo kwa kuongeza tatizo japo mwenywe aliona ndo njia ya kumuokoa mumewe alisema "NAMI NATAKA KUTENGENEZA NA MUNGU" napia funzo lingine tunalilipata ni kua tusihukumiane mana habari ya hukumu ni ya MUNGU mkuu ndo mana kwenye wimbo yule mzee aliposema ambaye hajawahi kukosa awe wa kwanza kumuua mtoto wote walinywea ikonyesha yamkini walikua na mnakosa makubwa pengne kuliko ya wifi/shemej yao!

Amen......
 
Last edited by a moderator:
Hivi kazi/mantiki ya Sanaa ni nini ? Kwa haraka haraka nadhani ni kuburudisha, kufundisha, kuelezea as well as kujipatia kipato n.k. Sasa kama umeshasema umeburudika wewe unataka nini tena?

Sio lazima kazi zote ziwe na uhalisia / ukweli au zifundishe hata kupotosha na propaganda inaweza ikawa dhamira ya kazi. Cha maana kama amefanikiwa kuuza basi ni kwamba amefanikiwa kulenga soko lake.
 
Huo wimbo ni mzuri ila hata mimi niligundua udhaifu huo siku ya kwanza tu.

Kwanza dunia hii bado watu wanatumia vitabu vya bank au alimaanisha cheque.
 
tittle ya wimbo yenyewe haina mantiki. huwezi sema dunia haina huruma, obviously dunia haiwezi kuwa na huruma. kama haikumuhurumia Yesu itakuhurumia wewe?. Mwenye huruma ni Mungu peke yake. Huu wimbo haujengi imani za watu bali unabomoa
 
Halafu kama yeye ni mtu wa mungu kwanini asizidi kuomba kwa nguvu, yeye akampa dokta uroda.mkuu wimbo una shida ule

bahati bukuku alikuwa anahalalisha ngono kuwa msaada katika shida badala ya kumuomba Mungu!
 
Umefanya uchambuzi mzuri pongezi kwahilo!! Ila umesahau kwamba Mungu sio mwanadam'' naamanisha hivi ukiwa kwenye majaribu ambayo Mwenyezi Mungu anataka kukuonyesha utukufu au ukuu wake basi hata uwe nani au una mali kiasi gani vyote havikusaidii paka utimize mission yake na ukili ukuu wake..

Kwamaana hiyo kwajinsi nilivyouelewa ule wimbo nikwamba kwayote aliyoyapitia ilikuwa ni mtihani au majaribu ambayo Mungu alikuwa anayakusudia kumuonesha mumewe na ndivyo alivyohitimisha Bukuku mwishoni mwa wimbo!

Hivyo maudhui ya ule wimbo ipo mwishoni mwa tungo zake!

Kidogo nimeeleweka nadhani!
Ni kweli uhalisia hakuna hata pale aliiposema kama unataka kuendelea na kaka yetu lazima huyo mtoto auawe hadharani, hivi inawezekana kwa maisha ya sasa labda enzi za Musa..........
 
Back
Top Bottom